Mwl Mwakujonga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2023
- 286
- 597
Maana ya Kwanza
Kuhokoka nikukombolewa kutoka kwenye hatari
Matendo ya Mitume 27:41-44
[41]Lakini wakafikia mahali palipokutana bahari mbili, wakaiegesha merikebu, omo ikakwama ikakaa isitikiswe, bali tezi ilikuwa imefumuliwa kwa nguvu za mawimbi.
.
[42]Shauri la askari lilikuwa kuwaua wafungwa, mtu asiogelee na kukimbia.
[43]Bali akida, akitaka kumponya Paulo, akawazuia, wasifanye kama walivyokusudia, akawaamuru wale wawezao kuogelea wajitupe kwanza baharini, wafike nchi kavu;
:
[44]nao waliosalia, hawa juu ya mbao na hawa juu ya vitu vingine vya merikebu. Na hivyo watu wote wakapata kuifikilia nchi kavu salama.
Matendo ya Mitume 28:1
[1]Tulipokwisha kuokoka, ndipo tulipojua ya kuwa kisiwa kile chaitwa Melita.
Kwa hiyo MTU aliyeokoka ni MTU ambaye amekombolewa au kunyakuliwa kutoka kwenye Moto WA milele
Mathayo 25:41,46
[41]Kisha atawaambia na wale walioko mkono wake wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika moto wa milele, aliowekewa tayari Ibilisi na malaika zake;
:
[46]Na hao watakwenda zao kuingia katika adhabu ya milele; bali wenye haki watakwenda katika uzima wa milele.
Maana ya pili
Kuokoka maana yake ni Kuzaliwa katika Roho, kama vile mwanadamu anavyozaliwa katika mwili kadharika wokovu ni Kuzaliwa katika Roho
Yohana 3:3-6
[3]Yesu akajibu, akamwambia, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu.
[4]Nikodemo akamwambia, Awezaje mtu kuzaliwa, akiwa mzee? Aweza kuingia tumboni mwa mamaye mara ya pili akazaliwa?
[5]Yesu akajibu, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuuingia ufalme wa Mungu.
[6]Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa Roho ni roho.
Maana ya Tatu
Kuokoka ni kuhamishwa kutoka chini ya ufalme wa Giza ( ufalme wa shetani na malaika zake) na kuingizwa katika ufalme wa nuru ( ufalme wa Mungu aliyehai katika Kristo Yesu)
Wakolosai 1:13 Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake;
Kuhokoka nikukombolewa kutoka kwenye hatari
Matendo ya Mitume 27:41-44
[41]Lakini wakafikia mahali palipokutana bahari mbili, wakaiegesha merikebu, omo ikakwama ikakaa isitikiswe, bali tezi ilikuwa imefumuliwa kwa nguvu za mawimbi.
.
[42]Shauri la askari lilikuwa kuwaua wafungwa, mtu asiogelee na kukimbia.
[43]Bali akida, akitaka kumponya Paulo, akawazuia, wasifanye kama walivyokusudia, akawaamuru wale wawezao kuogelea wajitupe kwanza baharini, wafike nchi kavu;
:
[44]nao waliosalia, hawa juu ya mbao na hawa juu ya vitu vingine vya merikebu. Na hivyo watu wote wakapata kuifikilia nchi kavu salama.
Matendo ya Mitume 28:1
[1]Tulipokwisha kuokoka, ndipo tulipojua ya kuwa kisiwa kile chaitwa Melita.
Kwa hiyo MTU aliyeokoka ni MTU ambaye amekombolewa au kunyakuliwa kutoka kwenye Moto WA milele
Mathayo 25:41,46
[41]Kisha atawaambia na wale walioko mkono wake wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika moto wa milele, aliowekewa tayari Ibilisi na malaika zake;
:
[46]Na hao watakwenda zao kuingia katika adhabu ya milele; bali wenye haki watakwenda katika uzima wa milele.
Maana ya pili
Kuokoka maana yake ni Kuzaliwa katika Roho, kama vile mwanadamu anavyozaliwa katika mwili kadharika wokovu ni Kuzaliwa katika Roho
Yohana 3:3-6
[3]Yesu akajibu, akamwambia, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu.
[4]Nikodemo akamwambia, Awezaje mtu kuzaliwa, akiwa mzee? Aweza kuingia tumboni mwa mamaye mara ya pili akazaliwa?
[5]Yesu akajibu, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuuingia ufalme wa Mungu.
[6]Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa Roho ni roho.
Maana ya Tatu
Kuokoka ni kuhamishwa kutoka chini ya ufalme wa Giza ( ufalme wa shetani na malaika zake) na kuingizwa katika ufalme wa nuru ( ufalme wa Mungu aliyehai katika Kristo Yesu)
Wakolosai 1:13 Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake;