Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Sijajua dts ipi mkuu, ila kuna dts ambayo ni kampuni (Digital theater system) hii kazi yao ni kutengeneza Multi chanell audio, ambazo hutumika kwenye speaker za vifaa mbalimbali kama Home theater, sabufa, etcHivi dts nayo ni Nini?
Mkuu nunua (MI) au (LG) ni tv nzuri sana.Nilitaka nichukue Hisense 50 nch lakini naona wadau wengi wanaprefer TCL, majuzi nimeenda bar fulani kuna TV kama 6, moja ikawa inaonesha quality mbovu na ni Hisense, ya TCL ikawa ipo clear japo ni 65 nch. Yamkini hii brand kuna baadhi ya TV zake zinazingua.
Yeah ndo hiyoSijajua dts ipi mkuu, ila kuna dts ambayo ni kampuni (Digital theater system) hii kazi yao ni kutengeneza Multi chanell audio, ambazo hutumika kwenye speaker za vifaa mbalimbali kama Home theater, sabufa, etc
Inawezekana simu yako ikawa na stereo speaker, yaani speaker mbili ya juu na chini, ili uwe na multi chanell audio unahitaji angalau speaker mbili.Yeah ndo hiyo View attachment 2932812
Hata mimi mkuuπ πNi Mungu tu akuongezee maisha marefu kwani kupitia wewe mtaani kwangu mimindio mwana techbora, Uishi sana Chief, jamii forum ukifa usioze
Ooh!! kumbe!Inawezekana simu yako ikawa na stereo speaker, yaani speaker mbili ya juu na chini, ili uwe na multi chanell audio unahitaji angalau speaker mbili.
MBONA Chief-Mkwawa kaema badhi ya channels ni SD sio zote zinasupport HDUnatakiwa uweke settings za display unaweza adjust quality ya display vile unavotaka
Doooh, sasa unazitofautisha vipi mkuu?Hisense Kuna fake Na original Mimi natumia Hisense picha IPO clear
Sijafahamu Mimi yangu nilinunua duka la Hisense pale kariakoo kikubwa nunua dukani kwao kabisaDoooh, sasa unazitofautisha vipi mkuu?
Ni kweli pamoja Na settings nlizoweka channels zinatofautiana display Kuna ambazo Ni most clear Na nyingine more clearMBONA Chief-Mkwawa kaema badhi ya channels ni SD sio zote zinasupport HD
Wewe acha kuwa na roho mbaya mkuu siyo kweli kuwa na simu ya 5G au ya gharama kubwa inaweza kukupa kila kitu ebu acha watu waelimishe wenzao ww mwenyewe usingeenda darasani usingeijua ata hiyo google.Kunagaida gani kuwa na simu ya 5G halafu huwezi kupata unachokitaka bila kumtegemea mtu mwingine, simu yako ya bei kali inakupa kila ukitakacho.
Ubarikiwe sana mkubwa..!! Hii ndiyo namna GT anaelezea jambo analolijua.Idadi ya pixel, kioo chochote kiwa cha simu ama tv kinatengenezwa na vidoti vidogo vidogo vinaitwa pixel, jinsi pixel zinavyokua nyingi ndio jinsi Quality ya picha inavyoongezeka.
4k inamaanisha kuna pixel 3840 upana na pixel 2160 kiurefu.
Pia 4k inaenda sambamba na technology kama Hdr10 na Dolby vision kuongeza huo mng'ao wa picha.
Mwisho wa siku angalia matumizi yako, kama unaangalia tu TV za kina Azam, Dstv na Startimes sio lazima tv iwe 4k, tafuta tv ambayo ina upscale hizo content vizuri.
Chukua TCL hutojutaNilitaka nichukue Hisense 50 nch lakini naona wadau wengi wanaprefer TCL, majuzi nimeenda bar fulani kuna TV kama 6, moja ikawa inaonesha quality mbovu na ni Hisense, ya TCL ikawa ipo clear japo ni 65 nch. Yamkini hii brand kuna baadhi ya TV zake zinazingua.
Inawezekana simu yako ikawa na stereo speaker, yaani speaker mbili ya juu na chini, ili uwe na multi chanell audio unahitaji angalau speaker mbili.
Mkuu hizi ndio zile simu watu wanapigwa huku kama iphone, hazina issue, hio ni simu tu ya kichina ambayo imetengenezwa kama iphone.Mkuu nimepita eBay nimekutana na hiki kitu naomba Kwa uzoefu wako unishauri niichukue au niiache?
View attachment 2937018View attachment 2937019
Ok sawa mkuu ππππMkuu hizi ndio zile simu watu wanapigwa huku kama iphone, hazina issue, hio ni simu tu ya kichina ambayo imetengenezwa kama iphone.
Kudownload movie weka option ya HD mara nyingi ni 2gb or 2.5gb haizidi hapo ukifanya hivyo utaweza angalia in quality movies,huko tunakoenda local channels nyingi either zitakufa or zitaachwa nyuma na technology kwakua streaming inaenda chukua hatamu majumbani sema Ttcl hawajachangamka wangeweza weka pamoja na umeme wakawa wanakula hela sambamba.Content za 4K tatizo ni chache sana, ukidownload movi ya 4K (2160) inaweza kugonga 20GB au zaidi au utumie baadhi ya blueray disk, dtsv naamini walionyesha World Cup kwenye 4K ila sijui kama wana content nyingine za 4K, netflix kama unalipia premium pia kuna baadhi ya movie ni 4k ila data itakugharimu.