Nini maana ya TV yenye 4K UHD

Nini maana ya TV yenye 4K UHD

Hiki ni chanzo kingine cha kuchanganyikiwa, kwa kuwa miongo kadhaa ya majadiliano ya TV yamezungumza kuhusu maazimio ya wima, na kisha ghafla tunazungumza kuhusu "TV za 4K," ambayo inahusu azimio la usawa. Usinilaumu, halikuwa wazo langu.

Ndiyo maana 1080p sio "1K." Ikiwa chochote, kama ilivyotajwa hapo juu, ni "2K" kwa mantiki sawa kwamba UHD TV ni 4K. Hiyo ilisema, watu wengi hawapigi simu 1080p 2K; wanaiita 1080p au Full HD.

Kwa njia, 1080i ni azimio sawa na 1080p, lakini hakuna TV ya kisasa ni 1080i. Hata hivyo, matangazo mengi ya HDTV, ikiwa ni pamoja na yale kutoka CBS na NBC, bado ni 1080i.
Google translation 😅😅
 
Wadau! Mambo ya teknolojia sio kila mtu anayajua. Ninataka kununua TV. Katika kufanya window shopping, jamaa mmoja ananiambia..hii TV (anaitaja brand) ni nzuri sana, halafu ni 4K UHD. Nikamuuliza, ukisema 4k UHD una maana gani? Hakunipa jibu zaidi ya kuniambia, fanya utafiti mwenyewe.

Ninakuja kwenu wadau wa group hili. Ukiambiwa hii TV ni 4k UHD ina maana gani?
Shule ni muhimu, simu unayo MB kibao za kuchati na JF ila unashindwa kuingia Google kwa sababu kiingereza unakiogopa, ungepata jibu Google bila kumuuliza mtu.
 
Kumbuka idadi ya pixels za picha yaani vile viboxi vidogo vinavyounda picha ni ile ile so screen ndogo pixels zinakuwa nyingi katika eneo dogo unapata pixel per inch kubwa picha inaonekana sharp, TV kubwa pixel zinabidi zipanuke zaidi pixel moja inabidi ichukue eneo kubwa zaidi ppi inakuwa imeshuka na picha inaonekana haijakolea ni kama ufungue picha kwenye simu kisha ufanye zoom mara ×20. Ndo maana screen kubwa bila HD source material haipendezi sana.

Zaidi ya hapo kuna mambo mengi sana yanaathiri "ubora" wa picha aina ya screen, software inayofanya processing ya hiyo video, settings etc.
Vyema.
 
Shule ni muhimu, simu unayo MB kibao za kuchati na JF ila unashindwa kuingia Google kwa sababu kiingereza unakiogopa, ungepata jibu Google bila kumuuliza mtu.
Umekasilishwa na nini mkuu?
Huoni km ktokana na swali lake tumenufaika wengi kutokana na elimu waliyotoa wataalamu wenye utaalamu kukuzidi wewe na Google yako?

Lkn pia elewa kwamba tonatofautiana,mimi na baadhi ya wataalamu hapa huwa ninanufaika zaidi pale ninapo mpatia mtu maarifa juu ya jambo nililo na ujuzi nalo,kwao Chief Makwawa na wengineo hapa ni miongoni mwa watu wa aina hiyo.
 
Umekasilishwa na nini mkuu?
Huoni km ktokana na swali lake tumenufaika wengi kutokana na elimu waliyotoa wataalamu wenye utaalamu kukuzidi wewe na Google yako?

Lkn pia elewa kwamba tonatofautiana,mimi na baadhi ya wataalamu hapa huwa ninanufaika zaidi pale ninapo mpatia mtu maarifa juu ya jambo nililo na ujuzi nalo,kwao Chief Makwawa na wengineo hapa ni miongoni mwa watu wa aina hiyo.
Kunagaida gani kuwa na simu ya 5G halafu huwezi kupata unachokitaka bila kumtegemea mtu mwingine, simu yako ya bei kali inakupa kila ukitakacho.
 
Umekasilishwa na nini mkuu?
Huoni km ktokana na swali lake tumenufaika wengi kutokana na elimu waliyotoa wataalamu wenye utaalamu kukuzidi wewe na Google yako?

Lkn pia elewa kwamba tonatofautiana,mimi na baadhi ya wataalamu hapa huwa ninanufaika zaidi pale ninapo mpatia mtu maarifa juu ya jambo nililo na ujuzi nalo,kwao Chief Makwawa na wengineo hapa ni miongoni mwa watu wa aina hiyo.
"utaalamu kukuzidi wewe na Google yako?" Sijaelewa maana hili swali lako linaunga mkono mimi na Google. Hata hivyo Google inakuunganisha wewe na mtengenezaji wa bidhaa husika, sasa sijui kwa vipi mtengenezaji asiijue bidhaa aliyoitengeneza, Google ni tofauti na JF ambamo tunajadiliana kwa hisia binafsi.
 
Kumbuka idadi ya pixels za picha yaani vile viboxi vidogo vinavyounda picha ni ile ile so screen ndogo pixels zinakuwa nyingi katika eneo dogo unapata pixel per inch kubwa picha inaonekana sharp, TV kubwa pixel zinabidi zipanuke zaidi pixel moja inabidi ichukue eneo kubwa zaidi ppi inakuwa imeshuka na picha inaonekana haijakolea ni kama ufungue picha kwenye simu kisha ufanye zoom mara ×20. Ndo maana screen kubwa bila HD source material haipendezi sana.

Zaidi ya hapo kuna mambo mengi sana yanaathiri "ubora" wa picha aina ya screen, software inayofanya processing ya hiyo video, settings etc.
Shukran sana,somo limeeleweka
 
Hiki ni chanzo kingine cha kuchanganyikiwa, kwa kuwa miongo kadhaa ya majadiliano ya TV yamezungumza kuhusu maazimio ya wima, na kisha ghafla tunazungumza kuhusu "TV za 4K," ambayo inahusu azimio la usawa. Usinilaumu, halikuwa wazo langu.

Ndiyo maana 1080p sio "1K." Ikiwa chochote, kama ilivyotajwa hapo juu, ni "2K" kwa mantiki sawa kwamba UHD TV ni 4K. Hiyo ilisema, watu wengi hawapigi simu 1080p 2K; wanaiita 1080p au Full HD.

Kwa njia, 1080i ni azimio sawa na 1080p, lakini hakuna TV ya kisasa ni 1080i. Hata hivyo, matangazo mengi ya HDTV, ikiwa ni pamoja na yale kutoka CBS na NBC, bado ni 1080i.
Google translator ina kiswahili kibovu boss. Usirudie tena
 
Nilitaka nichukue Hisense 50 nch lakini naona wadau wengi wanaprefer TCL, majuzi nimeenda bar fulani kuna TV kama 6, moja ikawa inaonesha quality mbovu na ni Hisense, ya TCL ikawa ipo clear japo ni 65 nch. Yamkini hii brand kuna baadhi ya TV zake zinazingua.
Kama unamudu ni vyema uchukue Samsung au LG. U'll never be dissapointed
 
Nilitaka nichukue Hisense 50 nch lakini naona wadau wengi wanaprefer TCL, majuzi nimeenda bar fulani kuna TV kama 6, moja ikawa inaonesha quality mbovu na ni Hisense, ya TCL ikawa ipo clear japo ni 65 nch. Yamkini hii brand kuna baadhi ya TV zake zinazingua.
Hisense Kuna fake Na original Mimi natumia Hisense picha IPO clear
 
Sababu tv Za Tanzania nyingi ni sd, ukitoa Azam sport HD na tv chache nyengine za HD kina ITV, TBC, Chanell 10 na wengineo zina resolution ndogo, hivyo vyema kupima kwa 480P badala ya 1080P unless unatumia Dstv ama king'amuzi chenye Chanell za HD.
Sawa sawa mkuu nimekupata
 
Back
Top Bottom