Nini madhara ya kuoa binti kutoka familia fukara?

Nini madhara ya kuoa binti kutoka familia fukara?

Hata kuolewa na mwanaume fukara anaetokea familia fukara ni tatizo kwa afya ya maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bahati nzuri mwanaume ni source ya nguvu za utajiri kwa kaya zilizonyingi! Mwanaune ushawishi wa historia ya umasikini au utajiri wa kwenu inaisha ukifika 30 wewe ndo unakuwa historia
 
Karma is bitch,usioe kwenye familia yenye historia ya talaka au kuachana. Laana za familia Huwa zinaendelea gf a kutoka generation to generation.Nimeoa mwanamke wa namna hiyo ananisumbua sana,nahisi huenda nisifike nae mwisho.
 
Hapa mtaani kuna dada mmoja anafanyakazi mjini (nadhani kariakoo) amejenga nyumba yake. Sasa huyu dada ana msichana wa kazi mzuri anaridhisha sura, umbo, na chura. Umri wake kama miaka 17 kuelekea 18 na anaanza kujitambua. Sasa kuna jamaa (kijana in his late 20s and early 30s) anajiweza yuko vizuri kiasi na kavutiwa na huyo binti kuchukua jiko. Baada ya kuongea na huyo msichana kutaka kujua ABC kagundua mama yake aliachana na baba yake na hakuwahi kumuona hila anasikia bado yupo. Baba yake ni mvuvi huko kanda ya ziwa. Huyo bosi wake anayemfanyiakazi anadai ni ndugu wa karibu alimchukua kumsaidia kulea mwanae! Kilichomshitua jamaa ni kuona baba yake analialia kwa mwanae amtumie chochote anachokipata huko mjini kuonyesha kwa jinsi gani choka mbaya. Sasa akaja kuniomba ushauri kuhusu kuoa binti aliyetoka familia duni kama hiyo hata kama ni mzuri si atakuwa na yeye kajidumbukiza kwenye ufukara?
Pumbafu na nusu au anataka mishangazi? Ufukara utakusaidia nini kwenye mapenzi yenu owa toto lawatu be happ🐸👈😂😂.
 
Kuna msela wangu aliwahi kuniambia kisa chake na mzee mmoja don mkubwa mjini.
In short, kijana wa yule mzee alitaka kuvuta jiko lakini mzee akamkataa binti kwakua kwao sio mambo poa kama kwao na kijana.
Baadae akaletewa dodo kutoka familia tajiri mwamba akaoa.
Sasa mshkaji wangu kwakua n marafiki na huyo mshua ikabd amuulize swali kama lako na jibu lake lilikua hivi..
"Kijana wangu, huyo msichana na mwanangu ni watu tofauti kabisa kifedha. mwanangu akimuoa huyo binti, atatumia muda mrefu kumtoa huyo binti hyo level ya chini hadi kufikia hapa tulipo. Na hapo itabd amtoe binti pamoja na nduguze wote. Wakishafika hii level then ndo waanze kupambana kwenda mbele. Kwa mantiki hyo lazma watachelewa na hakutakua na progression kwenye hii familia."

Kwangu mimi shida sio umaskini, shida n kwamba, mtazamo kuhusu maisha unatengenezwa tangu mtu akiwa mtoto mdogo anapokua chini ya familia. Thats why wanasema ufukara unaambukizwa, kwa sababu ni ngumu fukara kupambanua mambo kwa mtazamo sawa na mtu aliekulia kwenye kipato.
Lakn kwakua mapenz hayashauriwi, miki nasema more power to everybody
 
Hapa mtaani kuna dada mmoja anafanyakazi mjini (nadhani kariakoo) amejenga nyumba yake. Sasa huyu dada ana msichana wa kazi mzuri anaridhisha sura, umbo, na chura. Umri wake kama miaka 17 kuelekea 18 na anaanza kujitambua. Sasa kuna jamaa (kijana in his late 20s and early 30s) anajiweza yuko vizuri kiasi na kavutiwa na huyo binti kuchukua jiko. Baada ya kuongea na huyo msichana kutaka kujua ABC kagundua mama yake aliachana na baba yake na hakuwahi kumuona hila anasikia bado yupo. Baba yake ni mvuvi huko kanda ya ziwa. Huyo bosi wake anayemfanyiakazi anadai ni ndugu wa karibu alimchukua kumsaidia kulea mwanae! Kilichomshitua jamaa ni kuona baba yake analialia kwa mwanae amtumie chochote anachokipata huko mjini kuonyesha kwa jinsi gani choka mbaya. Sasa akaja kuniomba ushauri kuhusu kuoa binti aliyetoka familia duni kama hiyo hata kama ni mzuri si atakuwa na yeye kajidumbukiza kwenye ufukara?
Wewe na huyo aliekuuliza baba na mama zenu wote wametoka familia za kitajiri?
 
Kuna msela wangu aliwahi kuniambia kisa chake na mzee mmoja don mkubwa mjini.
In short, kijana wa yule mzee alitaka kuvuta jiko lakini mzee akamkataa binti kwakua kwao sio mambo poa kama kwao na kijana.
Baadae akaletewa dodo kutoka familia tajiri mwamba akaoa.
Sasa mshkaji wangu kwakua n marafiki na huyo mshua ikabd amuulize swali kama lako na jibu lake lilikua hivi..
"Kijana wangu, huyo msichana na mwanangu ni watu tofauti kabisa kifedha. mwanangu akimuoa huyo binti, atatumia muda mrefu kumtoa huyo binti hyo level ya chini hadi kufikia hapa tulipo. Na hapo itabd amtoe binti pamoja na nduguze wote. Wakishafika hii level then ndo waanze kupambana kwenda mbele. Kwa mantiki hyo lazma watachelewa na hakutakua na progression kwenye hii familia."

Kwangu mimi shida sio umaskini, shida n kwamba, mtazamo kuhusu maisha unatengenezwa tangu mtu akiwa mtoto mdogo anapokua chini ya familia. Thats why wanasema ufukara unaambukizwa, kwa sababu ni ngumu fukara kupambanua mambo kwa mtazamo sawa na mtu aliekulia kwenye kipato.
Lakn kwakua mapenz hayashauriwi, miki nasema more power to everybody
Huko sahihi! Oa mke angalau kwao wawe wanajitambua hata katika kiwango cha kujibidiisha kumsomesha binti sekondari! Sasa binti kwao choka mbaya darasa la saba failure anafanyakazi za house girl ndo utegemee kutoboa! Hakuna mwujiza wa namna hiyo! Wako wanawake wengi zungukazunguka utampata wa level yako! Thanks broh!
 
Madhara yapo mengi.. Yanayoonekana na yasiyoonekana..

Yanayoinekana ni kama Mizinga mingi toka ukweni, mke kukosa exposure na kujiamini, au akabadilika na kuwa mwenye kiburi na dharau, kulazimika kusomesha mashemeji zako nk..

Athari zisizoonekana ndio mbaya zaidi.. Hapa unaweza kukuta ukoo unaoingia una mikataba ya umasikini au laana za ukoo.. Ukikitana na hali hiyo lazima na wewe utaporomoka kwa kuwa utakuwa na mkataba wa damu na mtu wao..

BE CAREFUL BRO..
 
mtu unakuta babu mzaa babu yake alikuwa masikini hoehae hadi anakufa hajamiliki hata ng'ombe wala mbwa wa kwake mwenyewe. Babu mzaa babaake ikawa ivoivo. Babaake nae akapita mulemule. Leo ww ndo unajifanya mkombozi wa kubeba msalaba kama jizazi. c'mon! utakufa mdomo wazi. apo kuna laana ya vizazi inatembea kaa mbali sana. moto mbaya uo.
 
Hata kuolewa na mwanaume fukara anaetokea familia fukara ni tatizo kwa afya ya maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo hawataki kukwambia ila kwa WANAWAKE inaonekana sawa

Huwezi kufanikiwa Bila kuwa na mtu SAHIHI awe TAJIRI au FUKARA

wangapi waliachiwa UTAJIRI na WAZAZI wao na wakaupukutisha wote
Tena Kuna wale walioachiwa mali zisizoamishika MAJUMBA/MASHAMBA na wakauza yote
now ni MAFUKARA wa kutupwa

Na Kuna waliozariwa katika familia zenye UFUKARA mkubwa now wapo katika MAISHA manzuri kabisa

Kuomba kusaidiwa na MWANAO si shida je wewe unajua huyo BABAMTU aliangaika kiasi gani kumkuza mwanae mpk Leo ukaliona Hilo TAKO na SURA NZURI SHAPE No8

MWANAMKE ANATENGENEZEWA MAISHA NA MWANAUME KISHA ANAKUWA MWANAMKE KAMILI AMBAYE NDIO MNAUNDA FAMILIA
INATIA SHAKA UANAUME WAKO IKIWA UNAOGOPA JAMBO KAMA HILO

UMASIKINI SI KILEMA YULE UNAYEMDHALAU WEWE NOW HUJUI KESHO ATAKUAJE.
Jiulize wewe MIAKA 5 au 10 nyuma ulikuwaje now upo wapi
angalia SHILOLE miaka 10 nyuma tulikuwa tumamshikashika MATAKO komakoma pale kwenye KIPUB chake Leo yuko wapi
SHILOLE pamoja na mapungufu yake ila MAFANIKIO yake hayakutokana na UMALAYA ni kujituma bila kujari watu watamjaji vipi
Alikuja STUDIO kurecord akasema hivi alimwambia PRODUCER " Mimi sijui kuimba Wala kuandika nyimbo ila nataka niwe mwanamuziki nifundisheni"

MAISHA ni PROCESS bro hakuna aliyependa kuzariwa FUKARA inatokea tu hvyo
So ukiwa katika Hali hiyo ni juhudi zako ndo zitakufikisha UNAPOPATAKA

MASIKINI ni WEWE(najua fika ni wewe ila umejifanya Kuna mtu)
MASIKINI NI WEWE ULOKOSA AKILI UKAPATA HIVYO VIJIMALI
HAKIKA BORA UKOSE MALI UPATE AKILI

Mimi NINGEKUWA wewe ningechukua JIKO ningeweka Ndani mara moja

Rickross anasema yeye aombwi ela na NDUGU zake na WAZAZI wake kwa kuwa wote now ni milionea
7bu alivyofanikiwa aliwawezesha kwa kuwafungulia BIASHARA na alitumia JINA lake kuhakikisha BIASHARA zao zinakuwa na kufikia MALENGO
 
Back
Top Bottom