OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Naomba nisiseme chochote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata na mimi nilimshangaa! OKW BOBAN SUNZUSaaa huu uzi una shida gani, watu wengine mnajionaje sijui
Kweli kabisa! Njemba zikiona kalio zinasahau mstakabali wa maisha!Kalio lina ushawishi mkubwa sana japo akili za kuendeshea maisha ni muhimu.
Ndio upate funzo kuwa mapenzi hayana formulaNdo maana namshangaa huyo jamaa kudata kwa huyo binti ili hali hawafanani hata kwa 1%
Mapenzi hayana formula lakini kuoa kuna formula mbu wa dengueNdio upate funzo kuwa mapenzi hayana formula
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani kumudu Milo mitatu na hako Kavitz ka mkopo tayar unaona wezio mafukara[emoji855]Africa bhana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tofautisha familia ya kitajiri na familia inayojimudu! Tofautisha familia inayojimudu na hile ambayo inategema TASAF!
Mbona wanaolewa saana na wanaume wa size zao kiuchumi? Tena hao wanolewa kuliko wale wanaojimudu kiuchumi! Tiamajitiamaji hawana mambo mengi! Unapiga sound asubuhi jioni katia timu geto na kabegi! Mtaenda kujitambulisha baada ya kupata watoto kadhaa! Wakikinukishana wanatimuana kila mtu 50 zake!Ko wanawake wanaotoka familia ya kifukara hawatakiwi kuolewa au? Hii sasa kaliiii woiiiiiih
Hakuna formula ya kuoa ndio maana hadi Marais wanaachika,hadi matajiri namba moja wa dunia wanayumba kwenye mapenziMapenzi hayana formula lakini kuoa kuna formula mbu wa dengue
Nilitaka nipite kimya ila acha nikoment kama ifuatavyo:Hapa mtaani kuna dada mmoja anafanyakazi mjini (nadhani kariakoo) amejenga nyumba yake. Sasa huyu dada ana msichana wa kazi mzuri anaridhisha sura, umbo, na chura. Umri wake kama miaka 17 kuelekea 18 na anaanza kujitambua. Sasa kuna jamaa (kijana in his late 20s and early 30s) anajiweza yuko vizuri kiasi na kavutiwa na huyo binti kuchukua jiko.
Baada ya kuongea na huyo msichana kutaka kujua ABC kagundua mama yake aliachana na baba yake na hakuwahi kumuona hila anasikia bado yupo. Baba yake ni mvuvi huko kanda ya ziwa. Huyo bosi wake anayemfanyiakazi anadai ni ndugu wa karibu alimchukua kumsaidia kulea mwanae!
Kilichomshitua jamaa ni kuona baba yake analialia kwa mwanae amtumie chochote anachokipata huko mjini kuonyesha kwa jinsi gani choka mbaya.
Sasa akaja kuniomba ushauri kuhusu kuoa binti aliyetoka familia duni kama hiyo hata kama ni mzuri si atakuwa na yeye kajidumbukiza kwenye ufukara?