Nini madhara ya kupandikiza mbegu za mtu usiyemfahamu kutoka sperms bank?

Nini madhara ya kupandikiza mbegu za mtu usiyemfahamu kutoka sperms bank?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Kumekuwa na katabia fulani hivi kutoka kwa wadada daraja fulani hivi wanaoona eti hamna mwanaume anayeweza kuwapa mimba kwa njia asilia kwa sababu wao ni wazuri sana na wana hela sana.

Wadada hao hupandikizwa mbegu kutoka benki ya mbegu za kiume.

Je, ni nini usalama wa mbegu hizo kwa kizazi kijacho?

Je, ni zipi athari ya mbegu hizo kwa mama wa mtoto atakayezaliwa na kwa jamii kwa ujumla?
 
Unapandikiziwa mashahawa ya mtu humjui, hujui asili yake, hujui tabia zake. Unazaa litoto livivu, lichawi, lishoga, lina magonjwa, linakusumbua kila siku hospitalini, lichonganishi, yaaani kerooooooo
 
Kumekuwa na katabia fulani hivi kutoka kwa wadada daraja fulani hivi wanaoona eti hamna mwanaume anayeweza kuwapa mimba kwa njia asilia kwa sababu wao ni wazuri sana na wana hela sana...

Angalia katika mazingira yako mtoto mwenye tabia ya hovyo au maradhi ya kurithi, donor anaweza kuwa Baba yake!

Jinsi wanadamu wanavyotoka mbali na utaratibu wa ki Mungu ndo shida zinavyoongezeka!
 
Madhara unaweza pewa mbegu zenye mchanganyiko wa binaadamu nusu na nusu nyingine ni wale mbwa wa Ujerumani 😁😁

Usije kushangaa mdada ni mzuri ila anazaa kitoto chenye sura ya nguruwe si nguruwe, panya si panya
 
Dawa watoto wa dizaini hii watengwe na wasipatiwe huduma mashuleni na kwingineko hii itafanya hao mama wenye vichaa wanaojidunga sperms ambazo ni modified kuwa na akili.

Huu ni upuuzi kabisa. Yaan unazaa mtoto bila baba
 
Dawa watoto wa dizaini hii watengwe na wasipatiwe huduma mashuleni na kwingineko hii itafanya hao mama wenye vichaa wanaojidunga sperms ambazo ni modified kuwa na akili.

Huu ni upuuzi kabisa. Yaan unazaa mtoto bila baba
Sidhani kama zinapatikana kirahisi na kiholela namna hiyo. Kuna ethics zake na mchakato wake. Waliopitia na kupata watoto kupitia njia ya IVF wanajua kimbebe chake and it's very costly. Nje ya nchi hapo bondeni tu bei yake ni sawa na kununua Toyota crown. Na hakuna grantee kuwa kuifanya mara moja unafanikiwa wengi hurudi a hata mara 3.
 
Back
Top Bottom