Nini madhara ya kupandikiza mbegu za mtu usiyemfahamu kutoka sperms bank?

Nini madhara ya kupandikiza mbegu za mtu usiyemfahamu kutoka sperms bank?

Sidhani kama zinapatikana kirahisi na kiholela namna hiyo. Kuna ethics zake na mchakato wake. Waliopitia na kupata watoto kupitia njia ya IVF wanajua kimbebe chake and it's very costly. Nje ya nchi hapo bondeni tu bei yake ni sawa na kununua Toyota crown. Na hakuna grantee kuwa kuifanya mara moja unafanikiwa wengi hurudi a hata mara 3.
We itakua haujamuelewa mtoa mada,wanaofanya IVF wanakua na matatizo ya kuzaa yani amehangaika mpaka basii na ndio mana wengi hua wapo tayari kuingia garama kubwa na hii pia sio lazima anunue sperm,anaweza kuamua kutumia sperm za mwenza wake.

Mtoa mada anaongelea hawa wadada hawana changamoto yeyote ya kuzaa ila ananunua sperm huko kwenye fertility clinics ,na hii hua IVF haifanyiki wanawekewa tu sperm kwa bomba kipindi cha ovulation na hatimae mimba hutunga.
 
peloton-toy-story.gif
 
dah hatari sana, Mwenyezi Mungu ana njia zake alizotuwekea wanadamu kwenye suala zima la kupata watoto na kujamiina, Tatizo la wanadamu ujuaji ni mwingi na matokeo yake ni giza huko mbele.
Tutazaa mashetani kwa ukaidi wetu
 
KWeli hakunielewa
We itakua haujamuelewa mtoa mada,wanaofanya IVF wanakua na matatizo ya kuzaa yani amehangaika mpaka basii na ndio mana wengi hua wapo tayari kuingia garama kubwa na hii pia sio lazima anunue sperm,anaweza kuamua kutumia sperm za mwenza wake.

Mtoa mada anaongelea hawa wadada hawana changamoto yeyote ya kuzaa ila ananunua sperm huko kwenye fertility clinics ,na hii hua IVF haifanyiki wanawekewa tu sperm kwa bomba kipindi cha ovulation na hatimae mimba hutunga.
 
Mleta mada mzushi tu!! Kwa africa hiii! hakuna kitu km hichooooo!!!...utamu wooote huo upelekee mikono ya daktari mweeee!
 
Tanzania kwa scam ,hii ishu ipo siku mdada atakuja kuuziwa mbegu za nguruwe adanganywe za binadamu.
 
Unapandikiziwa mashahawa ya mtu humjui, hujui asili yake, hujui tabia zake. Unazaa litoto livivu, lichawi, lishoga, lina magonjwa, linakusumbua kila siku hospitalini, lichonganishi, yaaani kerooooooo
Punguza makasiriko.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Dunia imeendelea! Mambo ni mengi,mengine ya kutuchocha.
 
Changamoro itakuja pale watoto wawili wa sperm donor mmoja wakazaa....
 
Hakuna kwa maana kabla ya yote unatakiwa kumfahamu mtu uliyechukua mbegu yake je kama kwao wanatabia ya kupata ukichaa ukubwani lazima.ujue
 
Kwani wao wanasemaje?
Si hata Mbegu za VIBWWNGO ni sawa tu?
 
Back
Top Bottom