demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Nimejiuliza hadi nikakosa jawabu.
Ni kwamba wizara imefanya tathmini yake na kugundua kuwa Idadi ya wageni kutoka nje ya Bara la Afrika inatosha na kuamua kuweka jitihada za kuwatafuta wageni kutoka katika Bara Masikini kama Afrika?
Wa-Thailand wakijitangaza kwenye Bara la Nje. (Visitors Market)
Wanyarwanda wakijitangaza kwenye Bara la Nje (Visitors Market)
Taifa la Malaysia likijitangaza kwenye bara la nje (Visitors Market).
......................................................................................................................................................................
Sasa hapa kwetu tumekuja na mpya hapo juu. Sisi tumeamua kuweka jitihada za kuwaita waafrika wenzetu yaani walio masikini kama sisi waje kuutembelea mlima wa Kilimanjaro.
Ni nani aliyeturoga Watanzania?
Ni kwamba wizara imefanya tathmini yake na kugundua kuwa Idadi ya wageni kutoka nje ya Bara la Afrika inatosha na kuamua kuweka jitihada za kuwatafuta wageni kutoka katika Bara Masikini kama Afrika?
Wa-Thailand wakijitangaza kwenye Bara la Nje. (Visitors Market)
Wanyarwanda wakijitangaza kwenye Bara la Nje (Visitors Market)
Taifa la Malaysia likijitangaza kwenye bara la nje (Visitors Market).
......................................................................................................................................................................
Sasa hapa kwetu tumekuja na mpya hapo juu. Sisi tumeamua kuweka jitihada za kuwaita waafrika wenzetu yaani walio masikini kama sisi waje kuutembelea mlima wa Kilimanjaro.
Ni nani aliyeturoga Watanzania?