Nini Mantiki ya kuwatangazia Waafrika Waitembelee Tanzania?

Mkuu usifikiri kila mtu Ni Utopolo Kam wewe!
 
Kwani hyo #visit Tanzania itaonwa na waafrica tu
Ni kama visit Rwanda ya arsenal wew umeiona wakat huenda haupo UK
 
Kwani hyo #visit Tanzania itaonwa na waafrica tu
Ni kama visit Rwanda ya arsenal wew umeiona wakat huenda haupo UK
 
Kwani hyo #visit Tanzania itaonwa na waafrica tu
Ni kama visit Rwanda ya arsenal wew umeiona wakat huenda haupo UK
Hahaha angalia huyu takataka..#visit Rwanda unafananisha na #visit Tanzania? Visit Rwanda ipo duniani huko ambako ndo walengwa wakuu ..wewe visit Tanzania unamwandikia mmatumbi mwenzako wa Congo, Chad, sijui Guinea hali yao duni bora ya wewe ..ndo maana mikia ni mikia tu haiwezi kuwa kichwa..

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Mikia ni mikia tu haiwezi kuwa kichwa hata siku moja
 
kumbe umeandika kishabiki ndyo maana unategemea kama mtu n shabik wa simba akukosoe
 
Hivi unategemea hawa Watz wafanye nini zaidi ya hapo?
 
Nani anaangalia mpira wa Africa huko ulaya, lazima tuwe wakweli, tafuta number ya watazamaji, Mfano lini uliangalia mpira wa kikapu wa Tz?
 

Hizo ndio station zilizonunua tv right ya kurusha Africa champions league nchi za ulaya na marekani. Unaamini zimenunua hizo mechi ili wawaonyeshe wakina nani huko?
 
Nani anaangalia mpira wa Africa huko ulaya, lazima tuwe wakweli, tafuta number ya watazamaji, Mfano lini uliangalia mpira wa kikapu wa Tz?
Hakuna watazamaji wa mpila wa kikapu na ndio maana hakuna station inayolusha. So kwa akili zako una amini hizo station zimenunua tv right wakijua kuwa hakuna anayeangalia? Unajua airtime kwa marekani na ulaya inaghalimu kiasi gani. Hizo ni station ubwa sana kule, usijitoe ufahamu
 
View attachment 1700851
Hizo ndio station zilizonunua tv right ya kurusha Africa champions league nchi za ulaya na marekani. Unaamini zimenunua hizo mechi ili wawaonyeshe wakina nani huko?
Niambie game ya simba vs As vita itaoneshwa kwenye channel zote hizo?? Sitaki kuamini..hapa tutgemee hizi local channels tu azam, startime

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Eti Stendi ya Mbezi Luis [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…