Nini maoni yako kama kolabo ya Magufuli × Ruto × Museven ingekuwepo?

Nini maoni yako kama kolabo ya Magufuli × Ruto × Museven ingekuwepo?

kocha Nabi

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2022
Posts
709
Reaction score
1,881
mimi siijui sana siasa ila kwa mwendo huu wa Rais Ruto kuanza kuipinga dora ya marekani na rais Museven kupinga vikali tamaduni za magharibi, naona kabisa kama Hayati Magufuli angekuwa hai, lingepigwa korabo moja ambalo watu wa East Africa tusingekaa tulisahau.

hii inaonesha uthubutu wa kutenda pasi na uoga wowote kwa walioishika dunia.
 
mimi siijui sana siasa ila kwa mwendo huu wa Rais Ruto kuanza kuipinga dora ya marekani na rais Museven kupinga vikali tamaduni za magharibi, naona kabisa kama Hayati Magufuli angekuwa hai, lingepigwa korabo moja ambalo watu wa East Africa tusingekaa tulisahau.

hii inaonesha uthubutu wa kutenda pasi na uoga wowote kwa walioishika dunia.
Wote hao ni wanasiasa uchwara . Museveni anapambana na mashoga ilhali wanachi wake hata barabara nzuri hawana!!
Mutukula hadi kampala barabara ina mashimo ya kutosha , museven yupo bize kupambana na Usa.
 
mimi siijui sana siasa ila kwa mwendo huu wa Rais Ruto kuanza kuipinga dora ya marekani na rais Museven kupinga vikali tamaduni za magharibi, naona kabisa kama Hayati Magufuli angekuwa hai, lingepigwa korabo moja ambalo watu wa East Africa tusingekaa tulisahau.

hii inaonesha uthubutu wa kutenda pasi na uoga wowote kwa walioishika dunia.
Mtoe Museven hapo maana alikuwepo hapo zaidi ya miaka 40 hakuna cha maana alichofanya.

Labda kwa sasa ndo anajaribu kuonesha watu kwamba na yeye ni Magufuli mungine baada ya mwamba wetu kuwaonesha njia.

Museven anatumia mambo mengi kisiasa ili kuwahadaa watu na wananchi wake waendelee kumchagua miaka mingine 10 ijayo.
 
Mtoe Museven hapo maana alikuwepo hapo zaidi ya miaka 40 hakuna cha maana alichofanya.

Labda kwa sasa ndo anajaribu kuonesha watu kwamba na yeye ni Magufuli mungine baada ya mwamba wetu kuwaonesha njia.

Museven anatumia mambo mengi kisiasa ili kuwahadaa watu na wananchi wake waendelee kumchagua miaka mingine 10 ijayo.
ila kweli Museven kama ndo anazinduka sku hizi. kuna yule rais sijui wa zambia, sijui ni wa malawi ni mtu na nusu.
 
Nguvu ya uchumi ndio kila kitu, tofauti na hapo utapiga kelele huku wao wakijua watakufinyia wapi.
 
ila kweli Museven kama ndo anazinduka sku hizi. kuna yule rais sijui wa zambia, sijui ni wa malawi ni mtu na nusu.
Ni kweli, kuzinduka kwa Mseven sasa hivi hakumaanishi kuwa yupo serious na kile anachofanya, bali ni siasa ndio iliyompa msukumo wa kujifanya na yeye hakubaliani na mabeberu kama Magufuli ili wananchi wake waweze kumchagua katika chaguzi zao zinazokuja.

Kuhusu raisi wa Zambia huyo nakubaliana nae jamaa yuko vizuri na ana wapinzani wanaojitambua na kuelewa kile anachofanya. Tofauti na kwetu.
 
Ni kweli, kuzinduka kwa Mseven sasa hivi hakumaanishi kuwa yupo serious na kile anachofanya, bali ni siasa ndio iliyompa msukumo wa kujifanya na yeye hakubaliani na mabeberu kama Magufuli ili wananchi wake waweze kumchagua katika chaguzi zao zinazokuja.

Kuhusu raisi wa Zambia huyo nakubaliana nae jamaa yuko vizuri na ana wapinzani wanaojitambua na kuelewa kile anachofanya. Tofauti na kwetu.
Acheni upumbavu uyo magufuri alikuwa hakubaliani na mabeberu wapi wkati hao ndo watoa misaada na mikopo na alikuwa anachukua. Alichokfanya n kuhakiksha serikali yake kutokuwa na uwazi mambo akawa anayafanyia gzan akija kwa wananchi anaongea pumba pumba tu.
Rais wa zambia hakuna mahali kasema anapambana na wazungu ila anafanya kaz na wananchi, amejshusha kbs kwa kila ktu hapa mnaandka pumba za muuaji na mtesi magufuri
 
Ni kweli, kuzinduka kwa Mseven sasa hivi hakumaanishi kuwa yupo serious na kile anachofanya, bali ni siasa ndio iliyompa msukumo wa kujifanya na yeye hakubaliani na mabeberu kama Magufuli ili wananchi wake waweze kumchagua katika chaguzi zao zinazokuja.

Kuhusu raisi wa Zambia huyo nakubaliana nae jamaa yuko vizuri na ana wapinzani wanaojitambua na kuelewa kile anachofanya. Tofauti na kwetu.
Kocha Nabi, tutashinda Leo? Tafadhali Sana weka kikosi cha maangamizi leo wananchi tunataka kombe. Kuhusu hiyo collaboration, Muondoe kwanza Ruto.hamna kitu hapo,
 
Akili za watanzania zina kasoro nyingi sana, mfano mtoa mada. Ebu fikiria ni wapi nchi za Kenya, Uganda na Tanzania zinaweza tuniana misuli na nchi za magharibi.
Yaani ujinga mtupu...Ruto anajipya gani hapo Kenya inayofanyika na kuimarisha uchumi wa watu wake?

Hapo Uganda kuna jipya gani? Kama ni Ushoga ilikwepo tokea kitambo...ebu fikiria unatunga sheria ya kuwasulubu ushoga alafu unaacha mazingira ya kusababisha ushoga uendelee...AKILI MATOPE?

Unazungumzia Magufuli, kitu gani alikifanya kuonesha anapambana na west au USA? au ulichotwa na siasa uchwara za kuziba watu mdogo then msikie yeye tu.
 
Back
Top Bottom