Nini maoni yako kama kolabo ya Magufuli × Ruto × Museven ingekuwepo?

Nini maoni yako kama kolabo ya Magufuli × Ruto × Museven ingekuwepo?

Ni kweli, kuzinduka kwa Mseven sasa hivi hakumaanishi kuwa yupo serious na kile anachofanya, bali ni siasa ndio iliyompa msukumo wa kujifanya na yeye hakubaliani na mabeberu kama Magufuli ili wananchi wake waweze kumchagua katika chaguzi zao zinazokuja.

Kuhusu raisi wa Zambia huyo nakubaliana nae jamaa yuko vizuri na ana wapinzani wanaojitambua na kuelewa kile anachofanya. Tofauti na kwetu.
Zambia hii hii yenye Polisi Wachina?
 
mimi siijui sana siasa ila kwa mwendo huu wa Rais Ruto kuanza kuipinga dora ya marekani na rais Museven kupinga vikali tamaduni za magharibi, naona kabisa kama Hayati Magufuli angekuwa hai, lingepigwa korabo moja ambalo watu wa East Africa tusingekaa tulisahau.

hii inaonesha uthubutu wa kutenda pasi na uoga wowote kwa walioishika dunia.
Museveni na Kagame sio Wajamaa wanekuwepo miaka yote na Uchumi wao unapanda..

Yule wa kwenu alikuwa hamnazo na Itikadi yake ya ujamaa mbuzi ndio maana wafanyabiashara na investors walimkimbia.
 
Museveni na Kagame sio Wajamaa wanekuwepo miaka yote na Uchumi wao unapanda..

Yule wa kwenu alikuwa hamnazo na Itikadi yake ya ujamaa mbuzi ndio maana wafanyabiashara na investors walimkimbia.
hakuna investors mkuu, wengi walikuwa wapigaji **** mda inafika mtu unaona upigaji hadi roho yako inauma. ndio maana jiwe alisema ni heri ikaingia meli moja inayolipa ushuru kuliko meli 100 zisizolipa ushuru.
 
hakuna investors mkuu, wengi walikuwa wapigaji **** mda inafika mtu unaona upigaji hadi roho yako inauma. ndio maana jiwe alisema ni heri ikaingia meli moja inayolipa ushuru kuliko meli 100 zisizolipa ushuru.
Wangekuwa ni wapigaji usingekuta kwala imejaa,Wala Kiwanda Cha Mbolea Dom Wala biashara kurejerea kama zamani
 
halafu sijatoa hii post kuonesha ushabiki, mimi namkubali mno mama samia kwa kazi anazofanya, ila nimejikita kwenye mambo ya ujasiri wa kiongozi kwenye mambo magumu.
 
Wazungu wanatulazimisha tupandane ili watupe misaada hii ni kuvunja haki za binadam kabisa
 
Tukana matusi yote lkn ht wewe mwenyewe wajua lililokufa ni lile shetani lenu la Chato tena kwa kifo cha fedheha
Chuki yako ni ile ya Magu kumdhulumu mama yako wakati anauza nyapu pale Kimboka..
 
Chuki yako ni ile ya Magu kumdhulumu mama yako wakati anauza nyapu pale Kimboka..
yani africa mtu ukipigania nchi yako unaitwa shetani. yaani wanatuibia wananchi akipatikana wa kuwafinya kelele kibao.
 
Back
Top Bottom