Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Zambia hii hii yenye Polisi Wachina?Ni kweli, kuzinduka kwa Mseven sasa hivi hakumaanishi kuwa yupo serious na kile anachofanya, bali ni siasa ndio iliyompa msukumo wa kujifanya na yeye hakubaliani na mabeberu kama Magufuli ili wananchi wake waweze kumchagua katika chaguzi zao zinazokuja.
Kuhusu raisi wa Zambia huyo nakubaliana nae jamaa yuko vizuri na ana wapinzani wanaojitambua na kuelewa kile anachofanya. Tofauti na kwetu.
Museveni na Kagame sio Wajamaa wanekuwepo miaka yote na Uchumi wao unapanda..mimi siijui sana siasa ila kwa mwendo huu wa Rais Ruto kuanza kuipinga dora ya marekani na rais Museven kupinga vikali tamaduni za magharibi, naona kabisa kama Hayati Magufuli angekuwa hai, lingepigwa korabo moja ambalo watu wa East Africa tusingekaa tulisahau.
hii inaonesha uthubutu wa kutenda pasi na uoga wowote kwa walioishika dunia.
hakuna investors mkuu, wengi walikuwa wapigaji **** mda inafika mtu unaona upigaji hadi roho yako inauma. ndio maana jiwe alisema ni heri ikaingia meli moja inayolipa ushuru kuliko meli 100 zisizolipa ushuru.Museveni na Kagame sio Wajamaa wanekuwepo miaka yote na Uchumi wao unapanda..
Yule wa kwenu alikuwa hamnazo na Itikadi yake ya ujamaa mbuzi ndio maana wafanyabiashara na investors walimkimbia.
Wangekuwa ni wapigaji usingekuta kwala imejaa,Wala Kiwanda Cha Mbolea Dom Wala biashara kurejerea kama zamanihakuna investors mkuu, wengi walikuwa wapigaji **** mda inafika mtu unaona upigaji hadi roho yako inauma. ndio maana jiwe alisema ni heri ikaingia meli moja inayolipa ushuru kuliko meli 100 zisizolipa ushuru.
Gadafi alisalitiwa na watawala wa kiafrika wangemkingia kifua asinguwawa.Ongezea na mzee gadaffi angekuwepo bado kule Libya
we ni mfanyabiashara au raia wa kawaida, coz unaongea too general.Wangekuwa ni wapigaji usingekuta kwala imejaa,Wala Kiwanda Cha Mbolea Dom Wala biashara kurejerea kama zamani
sure watawala wa kiafrika ni ndumi la kuwili. wengi hawaaminiki.Gadafi alisalitiwa na watawala wa kiafrika wangemkingia kifua asinguwawa.
Mfanyabishara mkulimawe ni mfanyabiashara au raia wa kawaida, coz unaongea too general.
Chuki yako ni ile ya Magu kumdhulumu mama yako wakati anauza nyapu pale Kimboka..Tukana matusi yote lkn ht wewe mwenyewe wajua lililokufa ni lile shetani lenu la Chato tena kwa kifo cha fedheha
yani africa mtu ukipigania nchi yako unaitwa shetani. yaani wanatuibia wananchi akipatikana wa kuwafinya kelele kibao.Chuki yako ni ile ya Magu kumdhulumu mama yako wakati anauza nyapu pale Kimboka..