Nini msimamo wa TLS kwa wanachama wake kuwatetea wabakaji na walawiti ambao jamii nzima imeona unyama wao?

Nini msimamo wa TLS kwa wanachama wake kuwatetea wabakaji na walawiti ambao jamii nzima imeona unyama wao?

Mimi siyo mwanasheria, lakini nimeona msimamo wa TLS kulaani tukio la unyama uliofanywa na wabakaji na walawiti na TKZ imetowa wito kuhakikisha haki inatendeka.

Sasa napata tabu kidogo kusikia kuna mawakili wanne wanaowatetea hawa washenzi wasiostahili huruma hata chembe.

Mimi ningekuwa wakili hata niwe na njaa kiasi gani siwezi kukubali clients wa aina hii.

Hivyo basi JF ni kubwa natowa wito tupate majina ya mawakili wote wanaowatetea hawa washenzi ili jamii iwajuwe wanaounga mkono ujahili.
I tells the stoty which is wrongly perceived. Kwamb watu wa system they can get away with any criminality they do. Sisi tulikuwa Darful nani anatuambiaje?
 
Mimi siyo mwanasheria, lakini nimeona msimamo wa TLS kulaani tukio la unyama uliofanywa na wabakaji na walawiti na TKZ imetowa wito kuhakikisha haki inatendeka.

Sasa napata tabu kidogo kusikia kuna mawakili wanne wanaowatetea hawa washenzi wasiostahili huruma hata chembe.

Mimi ningekuwa wakili hata niwe na njaa kiasi gani siwezi kukubali clients wa aina hii.

Hivyo basi JF ni kubwa natowa wito tupate majina ya mawakili wote wanaowatetea hawa washenzi ili jamii iwajuwe wanaounga mkono ujahili.
Kila mtu awe mhalifu au la, ana haki ya utetezi wa kisheria. TLS haitapinga watuhumiwa kupata utetezi.
 
Mimi siyo mwanasheria, lakini nimeona msimamo wa TLS kulaani tukio la unyama uliofanywa na wabakaji na walawiti na TLS imetowa wito kuhakikisha haki inatendeka.

Sasa napata tabu kidogo kusikia kuna mawakili wanne wanaowatetea hawa washenzi wasiostahili huruma hata chembe.

Mimi ningekuwa wakili hata niwe na njaa kiasi gani siwezi kukubali clients wa aina hii.

Hivyo basi JF ni kubwa natowa wito tupate majina ya mawakili wote wanaowatetea hawa washenzi ili jamii iwajuwe wanaounga mkono ujahili.
Mkuu mshitakiwa yeyote anayo haki ya kupata utetezi wa kisheria ( Wakili)
 
Mimi siyo mwanasheria, lakini nimeona msimamo wa TLS kulaani tukio la unyama uliofanywa na wabakaji na walawiti na TLS imetowa wito kuhakikisha haki inatendeka.

Sasa napata tabu kidogo kusikia kuna mawakili wanne wanaowatetea hawa washenzi wasiostahili huruma hata chembe.

Mimi ningekuwa wakili hata niwe na njaa kiasi gani siwezi kukubali clients wa aina hii.

Hivyo basi JF ni kubwa natowa wito tupate majina ya mawakili wote wanaowatetea hawa washenzi ili jamii iwajuwe wanaounga mkono ujahili.
Ni haki ya kikatiba na kibinadamu kwa kila mtuhumiwa kupata utetezi na wakiki mahakamani.

Bila kujali mtuhumiwa ana makosa au hana makosa.

Hii ni kwa sababu, hata mtuhumiwa aliyefanya makosa anatakiwa achukuliwe kama hana makosa mpaka mahakama itakapompata na makosa.

Lakini pia, mtuhumiwa mwenye makosa asipewe nafasi ya kulalamika kwamba amepatikana na makosa kwa sababu hakupewa nafasi ya kutetewa na wakili.

Kuna Mmarekani mmoja alimtetea Saddam Hussein katika kesi ya Saddam na Wamarekani, akasema kuwa anajisikia raha sana kumtetea Saddam, kwa sababu hilo linaonesha kuwa mfumo wa haki wa Kimarekani unampa utetezi hata mtu muovu kabisa.

Kutetewa mahakamani ni haki ya kikatiba na kibinadamu.

Mimi nafurahi sana watuhumiwa wanapewa utetezi, wakipatikana na hatia kusiweze kuwepo malalamiko kwamba wamepatikana na hatia kwa kunyimwa mawakili wa kuwatetea.

Mwabukusi anaelewa haki hizi za kikatiba na kibinadamu, ndiyo maana haoni tatizo kulaani ubakaji, halafu mawakili walio wanachama wa TLS kutetea watuhumiwa wa ubakaji.

Kwa elimu yake na uongozi wake wa TLS, anatakiwa kuona tatizo ikiwa watuhumiwa wa ubakaji wanashitakiwa bila ya kuwa na mawakili wa kuwatetea. Hilo jambo ndilo lingekuwa scandal.

Watuhumiwa kukosa mawakili wa kuwatetea ndiyo scandal, si watuhumiwa kuwa na mawakili.
 
Mimi siyo mwanasheria, lakini nimeona msimamo wa TLS kulaani tukio la unyama uliofanywa na wabakaji na walawiti na TLS imetowa wito kuhakikisha haki inatendeka.

Sasa napata tabu kidogo kusikia kuna mawakili wanne wanaowatetea hawa washenzi wasiostahili huruma hata chembe.

Mimi ningekuwa wakili hata niwe na njaa kiasi gani siwezi kukubali clients wa aina hii.

Hivyo basi JF ni kubwa natowa wito tupate majina ya mawakili wote wanaowatetea hawa washenzi ili jamii iwajuwe wanaounga mkono ujahili.
Ni Hali Yao kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi.
 
Sheria ngumu sana joh,washitakiwa nao wanahaki zao moja wapo ndo hiyo yakuwa nawakili wakumtetea haijalishi nikesi yanamna gani
Pamoja na kumbaka binti kwa zamu hadi akaomba maji bado wahuni hawa wa haki ya kutetewa.

Huu ndio mfumo wa Dunia yetu iliyostaarabika.
 
Tuna mahakama zetu za kitaa, ndio maana kitaa tunachoma moto hatuhitaji usanii wa mawakili.
Wish hizi mahakama za kitaa zingekuwa smart sana na ku handle ishu kubwa kubwa.mfano: Watu kutekwa na kunyimwa haki ya kuishi, fulani kaingiziwa chupa, fulani sijui kafanya mkataba ya ovyo, watu kutumia madaraka vibaya etc.

Ukipata muda ukiwa na mahakimu wengine wa kitaaa waeleze na hayo tunayataka, nchi ingekuwa salama sanaaaa.
 
Sheria haina kona kona, imenyookaa.
Ni haki yao kuwa na mawakili wa utetezi.
 
hapa mie ndio napowapendea taliban, wala tusingefika huko kote. wangekuwa six feet under zamaniiii
 
Mimi siyo mwanasheria, lakini nimeona msimamo wa TLS kulaani tukio la unyama uliofanywa na wabakaji na walawiti na TLS imetowa wito kuhakikisha haki inatendeka.

Sasa napata tabu kidogo kusikia kuna mawakili wanne wanaowatetea hawa washenzi wasiostahili huruma hata chembe.

Mimi ningekuwa wakili hata niwe na njaa kiasi gani siwezi kukubali clients wa aina hii.

Hivyo basi JF ni kubwa natowa wito tupate majina ya mawakili wote wanaowatetea hawa washenzi ili jamii iwajuwe wanaounga mkono ujahili.
Duuuu elimu ya bongo bwana hivi hata huyu naye ana Phd
 
  • Thanks
Reactions: FWC
Back
Top Bottom