daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Wakili hakatai kesi so long as analipwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukataa kesi ni kosa.Wakili hakatai kesi so long as analipwa
I tells the stoty which is wrongly perceived. Kwamb watu wa system they can get away with any criminality they do. Sisi tulikuwa Darful nani anatuambiaje?Mimi siyo mwanasheria, lakini nimeona msimamo wa TLS kulaani tukio la unyama uliofanywa na wabakaji na walawiti na TKZ imetowa wito kuhakikisha haki inatendeka.
Sasa napata tabu kidogo kusikia kuna mawakili wanne wanaowatetea hawa washenzi wasiostahili huruma hata chembe.
Mimi ningekuwa wakili hata niwe na njaa kiasi gani siwezi kukubali clients wa aina hii.
Hivyo basi JF ni kubwa natowa wito tupate majina ya mawakili wote wanaowatetea hawa washenzi ili jamii iwajuwe wanaounga mkono ujahili.
Kila mtu awe mhalifu au la, ana haki ya utetezi wa kisheria. TLS haitapinga watuhumiwa kupata utetezi.Mimi siyo mwanasheria, lakini nimeona msimamo wa TLS kulaani tukio la unyama uliofanywa na wabakaji na walawiti na TKZ imetowa wito kuhakikisha haki inatendeka.
Sasa napata tabu kidogo kusikia kuna mawakili wanne wanaowatetea hawa washenzi wasiostahili huruma hata chembe.
Mimi ningekuwa wakili hata niwe na njaa kiasi gani siwezi kukubali clients wa aina hii.
Hivyo basi JF ni kubwa natowa wito tupate majina ya mawakili wote wanaowatetea hawa washenzi ili jamii iwajuwe wanaounga mkono ujahili.
Tuna mahakama zetu za kitaa, ndio maana kitaa tunachoma moto hatuhitaji usanii wa mawakili.Utashangaa hiyo kesi hao madogo wanashinda
HahhahTuna mahakama zetu za kitaa, ndio maana kitaa tunachoma moto hatuhitaji usanii wa mawakili.
Mkuu mshitakiwa yeyote anayo haki ya kupata utetezi wa kisheria ( Wakili)Mimi siyo mwanasheria, lakini nimeona msimamo wa TLS kulaani tukio la unyama uliofanywa na wabakaji na walawiti na TLS imetowa wito kuhakikisha haki inatendeka.
Sasa napata tabu kidogo kusikia kuna mawakili wanne wanaowatetea hawa washenzi wasiostahili huruma hata chembe.
Mimi ningekuwa wakili hata niwe na njaa kiasi gani siwezi kukubali clients wa aina hii.
Hivyo basi JF ni kubwa natowa wito tupate majina ya mawakili wote wanaowatetea hawa washenzi ili jamii iwajuwe wanaounga mkono ujahili.
Ni haki ya kikatiba na kibinadamu kwa kila mtuhumiwa kupata utetezi na wakiki mahakamani.Mimi siyo mwanasheria, lakini nimeona msimamo wa TLS kulaani tukio la unyama uliofanywa na wabakaji na walawiti na TLS imetowa wito kuhakikisha haki inatendeka.
Sasa napata tabu kidogo kusikia kuna mawakili wanne wanaowatetea hawa washenzi wasiostahili huruma hata chembe.
Mimi ningekuwa wakili hata niwe na njaa kiasi gani siwezi kukubali clients wa aina hii.
Hivyo basi JF ni kubwa natowa wito tupate majina ya mawakili wote wanaowatetea hawa washenzi ili jamii iwajuwe wanaounga mkono ujahili.
Punguza mihemko kwenye taaluma za watu. Kama ulivyo-declare kwamba wewe si mwanasheria, ingekuwa busara uombe kuelimishwa badala ya kuandika hii sentensi!mawakili wote wanaowatetea hawa washenzi ili jamii iwajuwe wanaounga mkono ujahili
Ni Hali Yao kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi.Mimi siyo mwanasheria, lakini nimeona msimamo wa TLS kulaani tukio la unyama uliofanywa na wabakaji na walawiti na TLS imetowa wito kuhakikisha haki inatendeka.
Sasa napata tabu kidogo kusikia kuna mawakili wanne wanaowatetea hawa washenzi wasiostahili huruma hata chembe.
Mimi ningekuwa wakili hata niwe na njaa kiasi gani siwezi kukubali clients wa aina hii.
Hivyo basi JF ni kubwa natowa wito tupate majina ya mawakili wote wanaowatetea hawa washenzi ili jamii iwajuwe wanaounga mkono ujahili.
Pamoja na kumbaka binti kwa zamu hadi akaomba maji bado wahuni hawa wa haki ya kutetewa.Sheria ngumu sana joh,washitakiwa nao wanahaki zao moja wapo ndo hiyo yakuwa nawakili wakumtetea haijalishi nikesi yanamna gani
Gaps ziko sehemu gani za jamaa kuchomoka? Labda wamkorupt bint aseme wamekubaliana walikuwa wanaigiza tuKesi za hivi mtu anashinda kabisa
Wish hizi mahakama za kitaa zingekuwa smart sana na ku handle ishu kubwa kubwa.mfano: Watu kutekwa na kunyimwa haki ya kuishi, fulani kaingiziwa chupa, fulani sijui kafanya mkataba ya ovyo, watu kutumia madaraka vibaya etc.Tuna mahakama zetu za kitaa, ndio maana kitaa tunachoma moto hatuhitaji usanii wa mawakili.
Nakubaliana na wewe kabisa, siyo kila kitu cha kuwacopy wamagharibi.hapa mie ndio napowapendea taliban, wala tusingefika huko kote. wangekuwa six feet under zamaniiii
Duuuu elimu ya bongo bwana hivi hata huyu naye ana PhdMimi siyo mwanasheria, lakini nimeona msimamo wa TLS kulaani tukio la unyama uliofanywa na wabakaji na walawiti na TLS imetowa wito kuhakikisha haki inatendeka.
Sasa napata tabu kidogo kusikia kuna mawakili wanne wanaowatetea hawa washenzi wasiostahili huruma hata chembe.
Mimi ningekuwa wakili hata niwe na njaa kiasi gani siwezi kukubali clients wa aina hii.
Hivyo basi JF ni kubwa natowa wito tupate majina ya mawakili wote wanaowatetea hawa washenzi ili jamii iwajuwe wanaounga mkono ujahili.
Hii lugha huwa mnaongea wapi? Au mnaishia kuandika tu?Ei incumbit probatio qui dicit, non qui negat