Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
- #41
Wana upinde kila siku mnakuja kutafuta mabasha kinguvu.Bwege wewe tuliza kishundu hiko low IQ kama wewe utachallenge mfumo gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana upinde kila siku mnakuja kutafuta mabasha kinguvu.Bwege wewe tuliza kishundu hiko low IQ kama wewe utachallenge mfumo gani?
Wewe ndio shoga unawaza kuliwa tuWana upinde kila siku mnakuja kutafuta mabasha kinguvu.
Wanaccm kama kawaida ya wanaisakama tls kwa kutetea Haki za wahanga eti kwa sababuMimi siyo mwanasheria, lakini nimeona msimamo wa TLS kulaani tukio la unyama uliofanywa na wabakaji na walawiti na TLS imetowa wito kuhakikisha haki inatendeka.
Sasa napata tabu kidogo kusikia kuna mawakili wanne wanaowatetea hawa washenzi wasiostahili huruma hata chembe.
Mimi ningekuwa wakili hata niwe na njaa kiasi gani siwezi kukubali clients wa aina hii.
Hivyo basi JF ni kubwa natowa wito tupate majina ya mawakili wote wanaowatetea hawa washenzi ili jamii iwajuwe wanaounga mkono ujahili.
Unafahamu maana ya haki ya kusikilizwa. Hata ufanye kosa la namna gani lazima upewe haki ya kusikilizwa kabla ya kuhukumiwa. Haki ya kusikilizwa inakwenda sambamba na kuwa na mawakili mahakamani.Mimi siyo mwanasheria, lakini nimeona msimamo wa TLS kulaani tukio la unyama uliofanywa na wabakaji na walawiti na TLS imetowa wito kuhakikisha haki inatendeka.
Sasa napata tabu kidogo kusikia kuna mawakili wanne wanaowatetea hawa washenzi wasiostahili huruma hata chembe.
Mimi ningekuwa wakili hata niwe na njaa kiasi gani siwezi kukubali clients wa aina hii.
Hivyo basi JF ni kubwa natowa wito tupate majina ya mawakili wote wanaowatetea hawa washenzi ili jamii iwajuwe wanaounga mkono ujahili.
Imebaki lugha ya kitaalamu, inatumika na wanasheria na madaktari. Inasadikika ndio Lugha ambayo Mungu anaongea ndio maana iliondolewa kwenye matumizi ya kawaida. Hivyo ukitaka Maombi yako Mungu ayajibu haraka jifunze kusali Kilatini. In nómine Patris, et Fílii, et Spírutus sacti . Amen 🙏Hii lugha huwa mnaongea wapi? Au mnaishia kuandika tu?
Ni haki ya kila mtu kutetewa mahakamani. Nia ni kuifanya mahakama kufikia uamuzi sahihi.Mimi siyo mwanasheria, lakini nimeona msimamo wa TLS kulaani tukio la unyama uliofanywa na wabakaji na walawiti na TLS imetowa wito kuhakikisha haki inatendeka.
Sasa napata tabu kidogo kusikia kuna mawakili wanne wanaowatetea hawa washenzi wasiostahili huruma hata chembe.
Mimi ningekuwa wakili hata niwe na njaa kiasi gani siwezi kukubali clients wa aina hii.
Hivyo basi JF ni kubwa natowa wito tupate majina ya mawakili wote wanaowatetea hawa washenzi ili jamii iwajuwe wanaounga mkono ujahili.
Kila mtu ana haki, hivyo ni halali kwao kutetewa, mtu hana hatia mpaka atiwe hatianiMimi siyo mwanasheria, lakini nimeona msimamo wa TLS kulaani tukio la unyama uliofanywa na wabakaji na walawiti na TLS imetowa wito kuhakikisha haki inatendeka.
Sasa napata tabu kidogo kusikia kuna mawakili wanne wanaowatetea hawa washenzi wasiostahili huruma hata chembe.
Mimi ningekuwa wakili hata niwe na njaa kiasi gani siwezi kukubali clients wa aina hii.
Hivyo basi JF ni kubwa natowa wito tupate majina ya mawakili wote wanaowatetea hawa washenzi ili jamii iwajuwe wanaounga mkono ujahili.
Umepigaje hapa? Finita Causa.Imebaki lugha ya kitaalamu, inatumika na wanasheria na madaktari. Inasadikika ndio Lugha ambayo Mungu anaongea ndio maana iliondolewa kwenye matumizi ya kawaida. Hivyo ukitaka Maombi yako Mungu ayajibu haraka jifunze kusali Kilatini. In nómine Patris, et Fílii, et Spírutus sacti . Amen 🙏