Kama una akili kubwa kwanini utumie muda mwingi kumfuatilia mtu na ujiulize yote nayo juu yake ?umbea kwa mtoto wa kiume mbaya..
mshana jr eti kuna mtu nyuma yako??? Anataka nini labla.?? Angalie usijekuta huyo mtu ni nyoso
haaa hhaaaa wewe nyoso asikusikie, yupo hapa jf ana id yake kabisa.
Mimi hapa ndio nipo nyuma yake...........namtuma kila kitu........
halafu mbona anachoandika mshana jr ni general knowledge tu.........kama ni mtu wa kutaka kujua mambo tofauti tofauti........anachoandika ni cha kawaida kabisa..........sijui kwa nini hatupendi kujifunza.........
Huyu Jamaa anayejiita mshana humu ndani amekuwa akitumia muda mwingi kuandika na kujibu comment za watu kuhusu mambo ya uganga, uchawi , ushetani na mambo ya kuzimu. Maswali yangu ni haya: 1.Nani anayemtuma?
2. Analipwa na nani?
3.Kwa mini anatimia muda mwingi kuandika haya?
4. Je siyo mmoja Wa waabudu shetani?
5. Lengo lake ni nini?
Naomba hoja zenu wana jf na yeye mshana Jr atajibu maswali haya na hoja zenu.
Huyu Jamaa anayejiita mshana humu ndani amekuwa akitumia muda mwingi kuandika na kujibu comment za watu kuhusu mambo ya uganga, uchawi , ushetani na mambo ya kuzimu. Maswali yangu ni haya: 1.Nani anayemtuma?
2. Analipwa na nani?
3.Kwa mini anatimia muda mwingi kuandika haya?
4. Je siyo mmoja Wa waabudu shetani?
5. Lengo lake ni nini?
Naomba hoja zenu wana jf na yeye mshana Jr atajibu maswali haya na hoja zenu.
acha kufuatilia maisha ya watu hovyo ndug yangu unaonekana una tabia za kimbea Sana kufuatiia watu pasipo na sababu za msingi
Ndugu nikuambie kitu humu ndani naamini kuna viumbe wa ajabu sana ila kwa macho twawaona ni watu kumbe ni pepo wanatafuta wafuasi wapo kila mahala na kamfano kadogo tu nenda kwenye jukwaa la Dini uone kama lilishawahi kutumika hata siku moja ndio utaelewa namaanisha nini Mungu atunusuru na hili .