Rk10
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 1,216
- 1,372
- Thread starter
- #41
Kama una akili kubwa kwanini utumie muda mwingi kumfuatilia mtu na ujiulize yote nayo juu yake ?umbea kwa mtoto wa kiume mbaya..
Akili yangu kubwa ndiyo inayokufanya we we mwenye akili ndogo ucnielewe. So I give you more time to update your reasoning capacity.