Nini na nani yuko nyuma ya mshana jr?

Nini na nani yuko nyuma ya mshana jr?

Due! Kuna watoto wamemaliza mtihani Wa kidato cha pili hapa mawazo yao yanamuwaza nyoso tu!

Tena nyosso angekumbana na wewe angekupiga chubwa
hapo kati
avatar283075_2.gif
mpaka ungedata na biti.
 
Utaiona mpya kwa sababu inaandika na kukoment penye umuhimu

Kijana achana na hi I thread naona iko juu ya uwezo wako Wa kufikiri.
 
Akili yangu kubwa ndiyo inayokufanya we we mwenye akili ndogo ucnielewe. So I give you more time to update your reasoning capacity.

Ndugu yangu watu wenye akili kubwa hua hawana muda wa kufuatilia watu wako bize na mambo ambayo ni more productive na inspirational kwa wengine ,ujuvi mwingi kumbe chenga tu.
 
Wewe unaejita jembe umekosa utashi mana mashwali yote nimazuri so kwann we unapanik kama ww unajua mjibie Mshana sikusema asijibu namshana kwaninavyo kujua nakoment zako namin utajibu nasikumfuata uyo mfinyu wamawazo labda niongezee kidogo unaweza juakitu ambacho ukifanyi kwakujifunza kwanae Fanya sasa weweje?

Punguza jaziba ndugu andika taratibu ueleweke!.
 
Ndugu yangu watu wenye akili kubwa hua hawana muda wa kufuatilia watu wako bize na mambo ambayo ni more productive na inspirational kwa wengine ,ujuvi mwingi kumbe chenga tu.
IQ yako iko below normal ndiyo maana hata unachokiandika hakieleweki.
 
Huyu Jamaa anayejiita mshana humu ndani amekuwa akitumia muda mwingi kuandika na kujibu comment za watu kuhusu mambo ya uganga, uchawi , ushetani na mambo ya kuzimu. Maswali yangu ni haya: 1.Nani anayemtuma?
2. Analipwa na nani?
3.Kwa mini anatimia muda mwingi kuandika haya?
4. Je siyo mmoja Wa waabudu shetani?
5. Lengo lake ni nini?

Naomba hoja zenu wana jf na yeye mshana Jr atajibu maswali haya na hoja zenu.

Nawewe umetumwa na Nani?
 
Huyu jamaa huwa anajifanya Mganga mganga,
So, kuongelea hayo mambo ya Mashetani sanaaa huwa ni kama anajitangaza ili kupata wateja zaidi..Si unajua biashara ni matangazo..
 
Huyu jamaa huwa anajifanya Mganga mganga,
So, kuongelea hayo mambo ya Mashetani sanaaa huwa ni kama anajitangaza ili kupata wateja zaidi..Si unajua biashara ni matangazo..

Wewe ni msome unajibu kistaarabu asante kwa kutujuza.
 
Nawewe nani yupo nyuma yako? Nani amekutumaa uje uanzishe Uzi...!! Hey mshana njoo wape chembe, wamekinukisha eti!!
 
Mleta mada anaonekana Ana tabia ya umbea na ushambenga kufuatilia maisha ya watu.
 
Huyu Jamaa anayejiita mshana humu ndani amekuwa akitumia muda mwingi kuandika na kujibu comment za watu kuhusu mambo ya uganga, uchawi , ushetani na mambo ya kuzimu. Maswali yangu ni haya: 1.Nani anayemtuma?
2. Analipwa na nani?
3.Kwa mini anatimia muda mwingi kuandika haya?
4. Je siyo mmoja Wa waabudu shetani?
5. Lengo lake ni nini?

Naomba hoja zenu wana jf na yeye mshana Jr atajibu maswali haya na hoja zenu.

1.Kwan ww umetumwa na nan kufatilia maisha na interest za MTU???
2.Unapata faida gn ukimchafua???
3.Lengo ni nn hasa???
4.Unalipwa na nan pia???
5.Kwann umetumia muda mwing kumfatilia mwenzako????
 
Huyu Jamaa anayejiita mshana humu ndani amekuwa akitumia muda mwingi kuandika na kujibu comment za watu kuhusu mambo ya uganga, uchawi , ushetani na mambo ya kuzimu. Maswali yangu ni haya: 1.Nani anayemtuma?
2. Analipwa na nani?
3.Kwa mini anatimia muda mwingi kuandika haya?
4. Je siyo mmoja Wa waabudu shetani?
5. Lengo lake ni nini?

Naomba hoja zenu wana jf na yeye mshana Jr atajibu maswali haya na hoja zenu.

Ndugu sijiiti mshana jr hilo ndilo jina langu halisi mengine utajibiwa na wengine
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom