Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kama we unaona hilo ni tatizo kwa nini unasoma threads zake? Si upite kwengine ukasome.
Tena umwache habiby wangu usijetaka kumhusudu.
Loving wife kwenye maisha lazima awepo wa kukuchukia ili uweze kusonga mbele kumbuka tulikotoka...tusingekuwa na hekima leo hii tungeongea mengine! !! Jf ni familia kubwa kuna kila tabia humu twende nao mdogomdogo