Nini Sababu: Mume amehama ghafla na kwenda kupanga bila ugomvi wala maelezo yoyote

Sasa unadhani mke wa jamaa ataendelea kukaa kwa mkuu DeepPond si akimzalisha?
Mie nikahisi Deep yuko na mke wake wanashirikiana tu kumuhifadhi mgonjwa🤔,.
Ila huyo aliyemuhama mke inabidi achunguzwe vizuri hizi sio akili za kawaida
 
Kuna shida bro?
 
Labda alimfuma akichepuka, kibaya zaidi ukute ni 0714
 
Kakimbia unnecessary noise, kelele ndio chanzo cha wanaume wengi kufa mapema.
Kuanzia miaka 50 kama mkeo ana makelele wataalamu ushauri kaa mbali nae kama unataka kufika miaka ya kibiblia.
 
Ukiona hivyo ujue mke ni gitaa hivyo jamaa kaamua akapumzishe akili
 
Hivyo ni vitu vya kawaida mno. Hapo kuna uwezekano wa yafuatayo
1. Mwanaume kamfuma mwanamke na mwanaume mwingine au kapewa taarifa kisirisiri kuwa mke wako analiwa na watu wengi mno
2. Mwanaume kagundua watoto sio wa kwake
3. Mwanaume kaumwa kajikuta na umeme ambao anamhisi mke kamuambukiza
4. Mwanamke ana mdomo sana
5. Mwanaume kapenyezewa taarifa kisirisiri kuwa mwanamke anamroga au masuala ya uchawi
6. Mwanaume kanusurika kuwekewa sumu kwenye chakula na mke wake
7. Mwanaume kaona biashara haziendi kaenda kwa mganga au nabii kamwambia kaa mbali na mkeo anakuroga
8. Mwanaume kaambiwa na mke wake hauniridhishi kitandani, kibamia, unakojoa haraka, n.k
9. Mwanaume kanyimwa utamu muda mrefu na mke wake
10. Kuna kitu mwanamke kafanya kimemtia hasira mwanaume mpaka anajihisi akiwa karibu naye anaweza akamdhuru au akamuua. Kaona kuepusha yote kaona akae mbali na mke wake.



Ni vitu vya kawaida mno
 
Mwanaumea kamili ni kama huyo sasa. Kuna magumu na makubwa anayo kifuani maana siyo rahisi kabisa
Mimi mwenyew siku wife akiyakanyaga nitaenda na pajama tu kuanza maisha mapyaa
Mambo ni magumu sana.
Dharau za kimya kimya za hawa ndugu zetu wapendwa.
Wakati Mwanaume anatulia ndani ya House,huja dharau kubwa sana toka huko.
Haijalishi uko na pesa au mali ya aina gani.Ukizoeleka na akakumbukwa X,wakutane na wacheshi mara type zao..unaenda na maji.

Ndoa hizi ni force ya mambo mengi sana.Si kila Ndoa inapaswa iwepo...
Wako wengi walioamua kuacha familia kwa mfumo huo.
 
Mie nikahisi Deep yuko na mke wake wanashirikiana tu kumuhifadhi mgonjwa🤔,.
Ila huyo aliyemuhama mke inabidi achunguzwe vizuri hizi sio akili za kawaida
Hili suala lifanyiwe uchunguzi wa kina. Inawezekana mkuu DeepPond yupo nyuma ya msala huu. Na hiyo kuzuga kuwa eti mke anaumwa inawezekana ni kisingizio tu cha kujisogeza karibu na huduma ya kijamii
Lisemwalo lipo.
 
Sasa ndiyo agome kufunguka hata kwa rafiki yake mkuu DeepPond
 
Sasa ndiyo agome kufunguka hata kwa rafiki yake mkuu DeepPond
Afunguke kuwa kaambukizwa umeme na mke wake
Afunguke kuwa kabambikiziwa watoto na mke wake
Afunguke kuwa yeye ni kibamia na anakojoa haraka na kaambiwa na mke wake



Sio kila mtu anaweza kufunguka
 
Afunguke kuwa kaambukizwa umeme na mke wake
Afunguke kuwa kabambikiziwa watoto na mke wake
Afunguke kuwa yeye ni kibamia na anakojoa haraka na kaambiwa na mke wake



Sio kila mtu anaweza kufunguka
Afunguke tu mkuu. Mficha uchi hazai.
 
Mie nikahisi Deep yuko na mke wake wanashirikiana tu kumuhifadhi mgonjwa🤔,.
Ila huyo aliyemuhama mke inabidi achunguzwe vizuri hizi sio akili za kawaida
Mkuu Deep kaokota dodo chini ya mkorosho anajihondomolea bila shida. Kufa kufaana.
 
Jambo ambalo ufahamu n kuwa jiran yako wakiume ni msiri sana na hapendi kuendelea kuteseka ana jambo kubwa moyoni mwake siku akikwambia hata unaweza kutokwa na machozi
 
Kutokana na wingi wa chai siku hizi humu JF tunahofu hata ya kuchangia watu wanaleta stori ili tu tupige gumbo.Unatoa ushauri wa maana kabisa kumbe ni kachai mnanyweshwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…