Nini Sababu: Mume amehama ghafla na kwenda kupanga bila ugomvi wala maelezo yoyote

Nini Sababu: Mume amehama ghafla na kwenda kupanga bila ugomvi wala maelezo yoyote

Wakuu,
Huyu jamaa ni jirani yangu haswa, yaani tunashare upande mmoja WA ukuta wa fensi,shughuli nyingi za kifamilia Huwa anashiriki vizuri Sana, migogoro pia anakuja kusuluhisa na kunishauri pia.

Japo Kwa ndoa yake niliamini Ni ndoa iliyokamilika haswa maana tangu miaka yote tuishi hapa sijawahi kusikia kagombana na mkewe Hata siku moja, hivyo Huwa nawaheshimu sn.

Kuna siku mkewe alileta malalamiko kwangu kua mmewe kahama nyumbani kwake ghafla,

Anasema siku ya mwisho kuonekana NYUMBANI, aliaga Kama kawaida anaenda kazini kwake asbh na MAPEMA na ndo hakurudi mazima mpaka Leo hii.

Anadai hakubeba chochote kile nyumbani, Kila kitu Kiko Kama kilivyo kua, hawajagombana na wala hajaambiwa kipi kamkosea.

Anadai Mume wake tangu ahame matumizi ya Kila siku anatoa vzur Ila haifiki kabisa nyumbani. anapewa boda ndo apeleke.

Anasema mumewe akipigiwa simu anapokea anadai atarudi TU Ila kavumilia Sana anaona haioni dalili yoyote ya mumewe kurudi nyumbani.

Anasema alishapeleleza Sana hadi kujua anapoishi, kaenda Sana pale (Hadi mida ya usiku sn) labda Kuna mwanamke anaishi nae pale Ila kathibitisha mumewe anaishi peke yake TU na haijawai kuleta mwanamke yeyote pale Hata siku moja.

Anasema keshapeleka kesi Kwa wazazi pande zote mbili, mumewe anadai hamna tatzo, Kuna mambo anayaweka sawa, yakikaa sawa atarudi nyumbani,wala Hana tatzo nae.

Kavumilia Sana Ila haoni dalili yoyote mumewe kurudi. Anadai keshapeleka kesi kanisani, mumewe alishaitwa Sana kagoma kwenda na Kuna siku kapigiwa kamtukana Hadi askofu.

Anasema ilivyofika miezi 3 haoni dalili yoyote akajaribu kwenda ustawi WA jamii kumfungulia kesi ya kutelekeza familia (labda atapata hofu ya serikali), mumewe alivotoka uko ndo kamchukia kabisa na kamblock kwenye mawasiliano yake yote na pesa za matumizi ya familia Kwa Sasa anachukulia ustawi WA jamii.

Jamaa nimejaribu kumdadisi tatzo Nini,hataki kabisa kufunguka, anadai hana tatzo lolote na mkewe, Kuna mambo yake kadhaa anayaweka sawa, punde tu atarejea home nisijali.

Kila mara nimejaribu kumkubushia mkewe anavoteseka kuukosa uwepo wake nyumbani, jamaa Wala haoneshi kujali, miezi 6 sasa inakatika, jamaa hana mahusiano yoyote nje, kuoa mke mwingine Wala Hana mpango wowote WA kurejea nyumbani kwake.

Watoto wao wote sahv wamerejea mashuleni, mkewe juzi kati kaumwa sn mpk kalazwa, jamaa kataarifiwa Ila katuma pesa TU Hata hajakanyaga hospital Wala kumpiga simu kumjulia hali.

Aliporuhusiwa ikabd ahamie kwangu mpk atakapokaa sawa maana watoto wao wote wamesharud mashuleni, jamaa nilimtaarifu Hilo ili atoe ruksa mkewe augulie kwangu, kasema sawa Haina shida. Ni Mwezi Sasa mkewe anashinda,kula na kulala nyumbani kwangu. Jamaa Hana Hata wasiwasi.

Juzi kati kanunua kiwanja nje ya mji, kaniita nimsainie Kama shahidi na kashaanza msingi anasema hapa ndo anajenga makazi yake mapya.

Namuuliza hii inamaanisha Nini khs hatma ya familia yake, anasema haihusiani kbs na familia yake, na Wala nisije thubutu kumwambia chochote mkewe khs hili suala TUTAGOMBANA. Nkamwambia sawa Haina shida.

Hebu wakuu,
Huenda mi sio nzur kwny mambo kusuluhisha migogoro ya ndoa za watu.

Najua humu mna mawazo mazur sn na wataalam tele WA ishu hizi za ndoa.

Hebu nipeni mawazo mawili matatu niweze kuinusuru hii ndoa ya Hawa jirani zangu.

Mkewe tangu jamaa ahame, saivi Kawa Kama kuchanganyikiwa , simuelewi elewi kabisa. Hata anachoumwa Hata hakieleweki, nahisi ni stress za ndoa zake.

Pia, KUISHI NA MKE WA MTU NYUMBANI KWANGU, KIUKWELI binafsi nijistukia kua kimaadili HAIKAI VIZURI kabisa.

Nawasilisha wakuu🙏
Kuepusha kuchomana na magunia ya mkaa it's better kukaa pembeni. Wanaume wengi sasa hivi wakiona kuna dalili ya kupotezana uhai wanaondoka na kwenda kupanga. Hii hali ipo sana sasa hivi. Huenda mwanamke kuna jambo amefanya la hatari au alikuwa katika mission na jamaa kajua hajataka malumbano kamuachia mji akae na watoto na kuhudumia kila kitu.

Usilazimishe kumpeleka jamaa kwenye moto. Mpe muda
 
Wakuu,
Huyu jamaa ni jirani yangu haswa, yaani tunashare upande mmoja WA ukuta wa fensi,shughuli nyingi za kifamilia Huwa anashiriki vizuri Sana, migogoro pia anakuja kusuluhisa na kunishauri pia.

Japo Kwa ndoa yake niliamini Ni ndoa iliyokamilika haswa maana tangu miaka yote tuishi hapa sijawahi kusikia kagombana na mkewe Hata siku moja, hivyo Huwa nawaheshimu sn.

Kuna siku mkewe alileta malalamiko kwangu kua mmewe kahama nyumbani kwake ghafla,

Anasema siku ya mwisho kuonekana NYUMBANI, aliaga Kama kawaida anaenda kazini kwake asbh na MAPEMA na ndo hakurudi mazima mpaka Leo hii.

Anadai hakubeba chochote kile nyumbani, Kila kitu Kiko Kama kilivyo kua, hawajagombana na wala hajaambiwa kipi kamkosea.

Anadai Mume wake tangu ahame matumizi ya Kila siku anatoa vzur Ila haifiki kabisa nyumbani. anapewa boda ndo apeleke.

Anasema mumewe akipigiwa simu anapokea anadai atarudi TU Ila kavumilia Sana anaona haioni dalili yoyote ya mumewe kurudi nyumbani.

Anasema alishapeleleza Sana hadi kujua anapoishi, kaenda Sana pale (Hadi mida ya usiku sn) labda Kuna mwanamke anaishi nae pale Ila kathibitisha mumewe anaishi peke yake TU na haijawai kuleta mwanamke yeyote pale Hata siku moja.

Anasema keshapeleka kesi Kwa wazazi pande zote mbili, mumewe anadai hamna tatzo, Kuna mambo anayaweka sawa, yakikaa sawa atarudi nyumbani,wala Hana tatzo nae.

Kavumilia Sana Ila haoni dalili yoyote mumewe kurudi. Anadai keshapeleka kesi kanisani, mumewe alishaitwa Sana kagoma kwenda na Kuna siku kapigiwa kamtukana Hadi askofu.

Anasema ilivyofika miezi 3 haoni dalili yoyote akajaribu kwenda ustawi WA jamii kumfungulia kesi ya kutelekeza familia (labda atapata hofu ya serikali), mumewe alivotoka uko ndo kamchukia kabisa na kamblock kwenye mawasiliano yake yote na pesa za matumizi ya familia Kwa Sasa anachukulia ustawi WA jamii.

Jamaa nimejaribu kumdadisi tatzo Nini,hataki kabisa kufunguka, anadai hana tatzo lolote na mkewe, Kuna mambo yake kadhaa anayaweka sawa, punde tu atarejea home nisijali.

Kila mara nimejaribu kumkubushia mkewe anavoteseka kuukosa uwepo wake nyumbani, jamaa Wala haoneshi kujali, miezi 6 sasa inakatika, jamaa hana mahusiano yoyote nje, kuoa mke mwingine Wala Hana mpango wowote WA kurejea nyumbani kwake.

Watoto wao wote sahv wamerejea mashuleni, mkewe juzi kati kaumwa sn mpk kalazwa, jamaa kataarifiwa Ila katuma pesa TU Hata hajakanyaga hospital Wala kumpiga simu kumjulia hali.

Aliporuhusiwa ikabd ahamie kwangu mpk atakapokaa sawa maana watoto wao wote wamesharud mashuleni, jamaa nilimtaarifu Hilo ili atoe ruksa mkewe augulie kwangu, kasema sawa Haina shida. Ni Mwezi Sasa mkewe anashinda,kula na kulala nyumbani kwangu. Jamaa Hana Hata wasiwasi.

Juzi kati kanunua kiwanja nje ya mji, kaniita nimsainie Kama shahidi na kashaanza msingi anasema hapa ndo anajenga makazi yake mapya.

Namuuliza hii inamaanisha Nini khs hatma ya familia yake, anasema haihusiani kbs na familia yake, na Wala nisije thubutu kumwambia chochote mkewe khs hili suala TUTAGOMBANA. Nkamwambia sawa Haina shida.

Hebu wakuu,
Huenda mi sio nzur kwny mambo kusuluhisha migogoro ya ndoa za watu.

Najua humu mna mawazo mazur sn na wataalam tele WA ishu hizi za ndoa.

Hebu nipeni mawazo mawili matatu niweze kuinusuru hii ndoa ya Hawa jirani zangu.

Mkewe tangu jamaa ahame, saivi Kawa Kama kuchanganyikiwa , simuelewi elewi kabisa. Hata anachoumwa Hata hakieleweki, nahisi ni stress za ndoa zake.

Pia, KUISHI NA MKE WA MTU NYUMBANI KWANGU, KIUKWELI binafsi nijistukia kua kimaadili HAIKAI VIZURI kabisa.

Nawasilisha wakuu🙏
Pole sana kwa wote wawili.kama siyo mambo ya kishirikina yamehusika basi inawezekana jamaa amejithibitishia kwamba akiendelea kuisha hapo nyumbani anakitafuta kifo au jela. Kuna kisa kimoja kilinishangaza kidogo.

SOMA HIKI KISA
Kuna jamaa alifiwa na mke wake akaoa mke mwingine harakaharaka mpaka kila mtu alishangaa.kumbe yule mwanamke alimpumbaza jamaa kwa ushirikina.akaamua kumuoa bila kujitambua.baada ya kuishi miaka kama 4, Jamaa ndiyo anakuja kuanza kushangaa kwamba huyo mwanamke ni nani na anafanya nini chumbani kwake. At first watu walidhani amerukwa na akili,baadaye wakajithibitishia kwamba yuko sawa.ndiyo ikagundulika huyo mwanamke alimpiga upofu jamaa. So wakaseperate kwa cost kubwa. Na huyo alimuoa kwa ndoa kabisa ya kanisani iliyotanguliwa na vikao vya maandalizi ya harusi
 
Hayo mambo ya kushauriana shauriana hayo ndio wengine hawapendi.
Kwanin mtu asiwe na akili tu mpaka ashauriwe.
Ukiona mtu anabadilika kisa kashauriwa vizuri bas usishangae siku aka change kisa kashauriwa vibaya. Hayo wanaume hatupendi kabisaa
🤣😂🤣😂👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿
 
Hili suala lifanyiwe uchunguzi wa kina. Inawezekana mkuu DeepPond yupo nyuma ya msala huu. Na hiyo kuzuga kuwa eti mke anaumwa inawezekana ni kisingizio tu cha kujisogeza karibu na huduma ya kijamii
Lisemwalo lipo.
Lisemalo lipo,. Kama halipo basi linakuja😄
 
Wanawake wanashaurianaga vibaya sana.
Halaf kuna sababu zingine ni very intangible kiasi kwqmba hakuna namna jnaweza mwambia mtu akakuelewa.
Mfano, unagundua mkeo mwanga, utaanzaje kusema na huwez eleza umejuaje??
Au unakuja tu kugundua mkeo ni kiwingu na chamzo cha nuksi kwenye mishe zako, unatumia nguvu nyingi sana kupiga hatua chanzo ni yeye, haya utakuja eleza vipi hili suala watu wakakuelewa??

Acheni watu wapige kimya tu
Maisha yana mengi, ila taabu tupu....
 
Pole sana kwa wote wawili.kama siyo mambo ya kishirikina yamehusika basi inawezekana jamaa amejithibitishia kwamba akiendelea kuisha hapo nyumbani anakitafuta kifo au jela. Kuna kisa kimoja kilinishangaza kidogo.

SOMA HIKI KISA
Kuna jamaa alifiwa na mke wake akaoa mke mwingine harakaharaka mpaka kila mtu alishangaa.kumbe yule mwanamke alimpumbaza jamaa kwa ushirikina.akaamua kumuoa bila kujitambua.baada ya kuishi miaka kama 4, Jamaa ndiyo anakuja kuanza kushangaa kwamba huyo mwanamke ni nani na anafanya nini chumbani kwake. At first watu walidhani amerukwa na akili,baadaye wakajithibitishia kwamba yuko sawa.ndiyo ikagundulika huyo mwanamke alimpiga upofu jamaa. So wakaseperate kwa cost kubwa. Na huyo alimuoa kwa ndoa kabisa ya kanisani iliyotanguliwa na vikao vya maandalizi yaharusi
Wachungaji waliofungisha ndoa walishindwaje kuona kuwa jamaa karogwa?
 
Hayo mambo ya kushauriana shauriana hayo ndio wengine hawapendi.
Kwanin mtu asiwe na akili tu mpaka ashauriwe.
Ukiona mtu anabadilika kisa kashauriwa vizuri bas usishangae siku aka change kisa kashauriwa vibaya. Hayo wanaume hatupendi kabisaa
Unajua Mkuu nimetoka kusoma Uzi wako Halafu Nakutana na hii comment. JF haiishi vituko 😂
 
Kila siku nausoma bila kutoa neno langu leo ngoja nianze maan nmefikiria Kwa mda sas

*Kwanza jua kuwa wanawake wapo kwaajir ya kukutuliza unapo changanyikiwa

*Alafu wapo kwaajir kukuchanya unapokuwa umetuliwa

Hapo huenda Mzee kaona Bora akapumzishe kichwa Kwa muda usiojulukana ingawa wanawake huwa wanasifa ya kukimbilia Kwa wazeee na ustawi wa jamii ila mara ndyo hukutana na hatua ila sis tunaona sio tatizo acha tulee watoto
 
Kila siku nausoma bila kutoa neno langu leo ngoja nianze maan nmefikiria Kwa mda sas

*Kwanza jua kuwa wanawake wapo kwaajir ya kukutuliza unapo changanyikiwa

*Alafu wapo kwaajir kukuchanya unapokuwa umetuliwa

Hapo huenda Mzee kaona Bora akapumzishe kichwa Kwa muda usiojulukana ingawa wanawake huwa wanasifa ya kukimbilia Kwa wazeee na ustawi wa jamii ila mara ndyo hukutana na hatua ila sis tunaona sio tatizo acha tulee watoto
 
Kila siku nausoma bila kutoa neno langu leo ngoja nianze maan nmefikiria Kwa mda sas

*Kwanza jua kuwa wanawake wapo kwaajir ya kukutuliza unapo changanyikiwa

*Alafu wapo kwaajir kukuchanya unapokuwa umetuliwa

Hapo huenda Mzee kaona Bora akapumzishe kichwa Kwa muda usiojulukana ingawa wanawake huwa wanasifa ya kukimbilia Kwa wazeee na ustawi wa jamii ila mara ndyo hukutana na hatua ila sis tunaona sio tatizo acha tulee watoto
 
Wakuu,
Huyu jamaa ni jirani yangu haswa, yaani tunashare upande mmoja WA ukuta wa fensi,shughuli nyingi za kifamilia Huwa anashiriki vizuri Sana, migogoro pia anakuja kusuluhisa na kunishauri pia.

Japo Kwa ndoa yake niliamini Ni ndoa iliyokamilika haswa maana tangu miaka yote tuishi hapa sijawahi kusikia kagombana na mkewe Hata siku moja, hivyo Huwa nawaheshimu sn.

Kuna siku mkewe alileta malalamiko kwangu kua mmewe kahama nyumbani kwake ghafla,

Anasema siku ya mwisho kuonekana NYUMBANI, aliaga Kama kawaida anaenda kazini kwake asbh na MAPEMA na ndo hakurudi mazima mpaka Leo hii.

Anadai hakubeba chochote kile nyumbani, Kila kitu Kiko Kama kilivyo kua, hawajagombana na wala hajaambiwa kipi kamkosea.

Anadai Mume wake tangu ahame matumizi ya Kila siku anatoa vzur Ila haifiki kabisa nyumbani. anapewa boda ndo apeleke.

Anasema mumewe akipigiwa simu anapokea anadai atarudi TU Ila kavumilia Sana anaona haioni dalili yoyote ya mumewe kurudi nyumbani.

Anasema alishapeleleza Sana hadi kujua anapoishi, kaenda Sana pale (Hadi mida ya usiku sn) labda Kuna mwanamke anaishi nae pale Ila kathibitisha mumewe anaishi peke yake TU na haijawai kuleta mwanamke yeyote pale Hata siku moja.

Anasema keshapeleka kesi Kwa wazazi pande zote mbili, mumewe anadai hamna tatzo, Kuna mambo anayaweka sawa, yakikaa sawa atarudi nyumbani,wala Hana tatzo nae.

Kavumilia Sana Ila haoni dalili yoyote mumewe kurudi. Anadai keshapeleka kesi kanisani, mumewe alishaitwa Sana kagoma kwenda na Kuna siku kapigiwa kamtukana Hadi askofu.

Anasema ilivyofika miezi 3 haoni dalili yoyote akajaribu kwenda ustawi WA jamii kumfungulia kesi ya kutelekeza familia (labda atapata hofu ya serikali), mumewe alivotoka uko ndo kamchukia kabisa na kamblock kwenye mawasiliano yake yote na pesa za matumizi ya familia Kwa Sasa anachukulia ustawi WA jamii.

Jamaa nimejaribu kumdadisi tatzo Nini,hataki kabisa kufunguka, anadai hana tatzo lolote na mkewe, Kuna mambo yake kadhaa anayaweka sawa, punde tu atarejea home nisijali.

Kila mara nimejaribu kumkubushia mkewe anavoteseka kuukosa uwepo wake nyumbani, jamaa Wala haoneshi kujali, miezi 6 sasa inakatika, jamaa hana mahusiano yoyote nje, kuoa mke mwingine Wala Hana mpango wowote WA kurejea nyumbani kwake.

Watoto wao wote sahv wamerejea mashuleni, mkewe juzi kati kaumwa sn mpk kalazwa, jamaa kataarifiwa Ila katuma pesa TU Hata hajakanyaga hospital Wala kumpiga simu kumjulia hali.

Aliporuhusiwa ikabd ahamie kwangu mpk atakapokaa sawa maana watoto wao wote wamesharud mashuleni, jamaa nilimtaarifu Hilo ili atoe ruksa mkewe augulie kwangu, kasema sawa Haina shida. Ni Mwezi Sasa mkewe anashinda,kula na kulala nyumbani kwangu. Jamaa Hana Hata wasiwasi.

Juzi kati kanunua kiwanja nje ya mji, kaniita nimsainie Kama shahidi na kashaanza msingi anasema hapa ndo anajenga makazi yake mapya.

Namuuliza hii inamaanisha Nini khs hatma ya familia yake, anasema haihusiani kbs na familia yake, na Wala nisije thubutu kumwambia chochote mkewe khs hili suala TUTAGOMBANA. Nkamwambia sawa Haina shida.

Hebu wakuu,
Huenda mi sio nzur kwny mambo kusuluhisha migogoro ya ndoa za watu.

Najua humu mna mawazo mazur sn na wataalam tele WA ishu hizi za ndoa.

Hebu nipeni mawazo mawili matatu niweze kuinusuru hii ndoa ya Hawa jirani zangu.

Mkewe tangu jamaa ahame, saivi Kawa Kama kuchanganyikiwa , simuelewi elewi kabisa. Hata anachoumwa Hata hakieleweki, nahisi ni stress za ndoa zake.

Pia, KUISHI NA MKE WA MTU NYUMBANI KWANGU, KIUKWELI binafsi nijistukia kua kimaadili HAIKAI VIZURI kabisa.

Nawasilisha wakuu🙏
Inawezekana jamaa kagundua mahusiano ya Siri na mwanaume mwingine na hajataka kumwambia mke wake au katika tendo la ndoa mwanamke inawezekana alitamka neno ambalo lilimfedhehesha mshkaji (mume).
Kati ya hizo sababu mbili zinategemeana na ndio ukweli wenyewe ambao unaharibu mahusiano ya ndoa nyingi saana hasa zisizo na sababu za wazi
 
Back
Top Bottom