baby success
JF-Expert Member
- Jul 14, 2022
- 548
- 1,799
SwadaktaKabisa mkuu. Mambo yanaenda ndivyo sivyo siku hizi. Ni kumjenga mtoto tangu akiwa mdogo ili kuweka mipaka kati yake na jinsia zote, awe wa kike au wa kiume. Maombi,sala n dua nayo ni muhimu kwa kila aaminiye
Hata kama....unasimamisha uume kwa mwanao? Mbona haiingii akilini!Chanzo nadhan ule uzungu uzungu mwingi wa skuhizi,
1. Mtoto chuchu saa 6, wanaenda movie na mshua. Akipitiwa usngz anamkumbatia na kumalia baba yake kifuani
2. Mtoto na baba wanaenda vacation hotel za kisasa,Wanaogelea wanaenjoy na binti kavaa bikini n.k
3. Mtoto mwanafunzi shule za kisasa,
sare ya shule Ni kimini na shule anapelekwa/kufatwa na baba ake,Akikaa passeenger seat mapaja yote wazi.
4. Mtoto anashinda nyumban kavaa vile vikaptula au kanga Mmoja tu huku na kule kwnyw shughuli za nyumbn, mshua kakaa seblen anaangalia habar binti anakatiza vishawish kibao
[emoji15][emoji15]Wengine wamezaa na baba zao
Mkuu Miaka 30 bado Ni binti tu, huyo Ni mamaHata matumizi ya pornography huchochea sana huo ujinga.
Pia kizazi chetu hiki hakina hata mshipa wa aibu.
Kuna Binti mmoja miaka 30 rafiki yake na shemeji yangu(Ke) anadai huwa ananunuliwa pedi na Baba yake mzazi, ebu shangaa na wewe.
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Wanaendekeza tamaa,mpaka kwa mwanao!we kenge unawezaje kudinda kwa mtoto wako shwaini
inafikirisha tuache ishu nyingine wafanye wao na mama zaoHata matumizi ya pornography huchochea sana huo ujinga.
Pia kizazi chetu hiki hakina hata mshipa wa aibu.
Kuna Binti mmoja miaka 30 rafiki yake na shemeji yangu(Ke) anadai huwa ananunuliwa pedi na Baba yake mzazi, ebu shangaa na wewe.
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Hapana, shetani hawezi kufanya ujinga huuSababu kubwa hapo ni..... Uwepo wa shetani..... Over
Kashakatafuna kitambo huyoKuna mbaba huku kwetu anakwambia binti yangu mzuri hivi harafu aende akazinduliwe na watu wengine sio kweli [emoji849][emoji849]hapo huyo mwanae YUKO la nne sahiv SASA sijui amesalimika huyo mtoto
...Duh! Hii ya Mpaka Kuzaa ' Nhatai kwei kwei!...[emoji45][emoji45]Wengine wamezaa na baba zao
...Hivi inasimama kweli????....[emoji848][emoji848][emoji848]Wazee wanakuka faida na sio mtaji [emoji23][emoji23]
..Mkuu, Wewe unaweza???....[emoji19][emoji19]Inasemekana shamba ulilolivujia jasho ni vyema ukawa wa kwanza kula mazao yake....