- Thread starter
- #21
Mkuu nimeiwasha sasa hivi iko kwenye silence na hakuna wowote hapa ila inadondosha maji kwenye exhaust.
Ok naweza kuthubutu kusema sio tatizo la ring hilo ila ignition/sparking system na haswa hapo kwenye plugs !!!!!!!
Baada ya kukaa kwenye silence kwa muda nikakanyaga accelerator, ikatoa moshi. Na huu moshi actually ni wa blue siyo mweupe.
Wakati huohuo inapotoa moshi huo inadondosha majimaji
Kitu kingine hii gari sasa hivi inakula mafuta kuliko kawaida!