Nini sababu ya Hamza kufanya yote haya?

Aliyeandika wasap kiswahili hajui litakuwa gaidi la kisomali linamtetea gaidi
 
Waislamu kwenye ubora wenu wa kutetea magaid.....,.,,uyo gaidi km magaidi wengine
 
Ila huyu mwamba alivokuwa kashika ile Ak47 ni kama ana mazoea nayo sana yani... anaijua vizuri alikua habahatishi
 
Huyo ni gaidi juzi ni mbinu za magaidi kutokuua raia wanapoanza ugaidi
 
Waislamu kwenye ubora wenu wa kutetea magaid.....,.,,uyo gaidi km magaidi wengine
Nilitegemea kukutana na vitu kama hivi,, nilijua tu hapa kwa kuwa huyo jamaa ni msomali na kavaa kibagarashia hata kama angeingia benki kuiba basi imani na ugaidi lazima vihusishwe na watu kama nyie lkn wenye chuki binafsi na imani zingine kwa mgongo wa ugaidi.
 
Police ianzie kwa huyu member aliyeleta uzi tutayapata magaidi mengi tuyarudishe kwao
 
Polisi wafanyie kazi habari zote. Kwamba ni 'msomali' kafuga ndevu inaweza kuwa rahisi kuamin kuwa ni gaidi. Lakini kwamba Polisi walitaka 'kumrusha' madini yake si kitu cha kudharau. Tumewahi shuhudia hayo zamani pia.
 
Tuwe wapole, jamaa anaonyesha ana mbinu za kivita, that means somewhere alipata training, tusiwe wepesi kuhukumu polisi.
 
Kumbe unakuwaga na akili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…