Nini sababu ya kuimbwa misemo tata jogging za Jeshi?

Mkuu umewahi kuwasikiliza wale jamaa wa TANESCO wanaochimba na kusimika nguzo za umeme?... Fanya kautafiti kadogo ukiwakuta kwenye kazi hiyo uwasikilize, utagundua kuwa hao wajeshi na wale wanaofanya jogging .... unawaonea. 😉
Huwa wanasemaje?
 
Haaahaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…