Nini sababu ya kuimbwa misemo tata jogging za Jeshi?

Nini sababu ya kuimbwa misemo tata jogging za Jeshi?

Mkuu umewahi kuwasikiliza wale jamaa wa TANESCO wanaochimba na kusimika nguzo za umeme?... Fanya kautafiti kadogo ukiwakuta kwenye kazi hiyo uwasikilize, utagundua kuwa hao wajeshi na wale wanaofanya jogging .... unawaonea. 😉
Huwa wanasemaje?
 
We nyimbo inaleta morali wewe!bila hivo mabio na fatiki zingine haziendi
Mfano voko kama hizi unakosaje morali

Akili zangu sizielewi sijui pombe!sijui bangi!

Ya leo kali weka nusu,ya leo kali weka yote

Kunguru na kanga mzuri nani,mzuri kanga mwenye madoa,nitampataje kunguru ai,ai,wote tukae chini tujiulize,ana ka K kadogo,ai ,ai wote tukae chini tujiulize
Kunguru mwenyewe wa zenji,ai,ai

Kimbelembele maimuna kimemponza ee,maimuna akiona baka lazima asaule!

Mama amina Jero amina buku jero
Haaahaaaa
 
Back
Top Bottom