Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni soseji ya kibongo tamu balaa banduguNdio nini mtura huo?
Hapana Zwenge kuna mitaa nishajilimit kufika, maana nikifika ni tatizo kubwa, siwezi kuangalia papa nikasepa! Bora huku nilipo kidoogo rangi haishwawishi, ila kitu black?! Nitaingia majaribuni tu, ndio maana nikija sependi kwenda sokoniUnajichanganya
Hahaha Sasa sio sehemu zote pale kwa chini Kama unaenda Mori mbona pako fresh tu ,wanauza hizo bidhaa hawapoHapana Zwenge kuna mitaa nishajilimit kufika, maana nikifika ni tatizo kubwa, siwezi kuangalia papa nikasepa! Bora huku nilipo kidoogo rangi haishwawishi, ila kitu black?! Nitaingia majaribuni tu, ndio maana nikija sependi kwenda sokoni
Nimesema Dar hakuna, hata Mbezi/Kimara ambako wachaga ni wengi hakuna!
Hii ni fursa!!!
Nakuja mbezi kufungua Mtura Point!!
Utatisha sana mtaalamHii ni fursa!!!
Nakuja mbezi kufungua Mtura Point!!
Nautafuta mno nikipata nakushtuaDah napata wapi Mtura ?
Ebana nishtue na mm nikipata chimbo nakushtuaNautafuta mno nikipata nakushtua
Unaishi dar sehem gani machimbo nimepata 3 kwa kuulizaEbana nishtue na mm nikipata chimbo nakushtua
Naishi Ununio Mkuu ,ila town nakuja sana tuUnaishi dar sehem gani machimbo nimepata 3 kwa kuuliza
UEFA ukonga mombasa ilikuwa inapatikana.Nautafuta mno nikipata nakushtua
Heee!Mambo vipi WanaJf? Tatizo ni nini hadi MTURA kupotea kwenye Baa nyingi mjini? Wapishi hakuna? Nilikua Kahama miezi mitatu iliyopita pale Choma Zone Mtura ulikuwepo lakini ghafla mpishi akatoweka, Mtura nao ukatoweka! Likawa linapatikana Bomu, mimi silipendi sana.
Bado najiuliza kwanini Mtura haupatikani kwenye Bar nyingi mjini wakati ni mtamu balaa?! Bia inashuka kama maziwa!? Yani hata Kimara/Mbezi hakuna Mtura?! Chefs mliomo humu, nini tatizo?! TUNATAKA MTURAAA
Naishi Nagoya, Aichi, Japan Mkuu, kuna majina mazito zaidi ya hilo😂. Ila nilirudi nyumbani nikashangaa mtura umepotea kabisa?!Nipo nje ya mada mkuu hilo jina la ID mbona lina ukakasi sana usiniambie umelitoa Japan
ushafungua?Hii ni fursa!!!
Nakuja mbezi kufungua Mtura Point!!