Nini sababu ya shule za Kiislamu kuungua kipindi hiki? Mivumoni Islamiki nayo inaungua muda huu!

Sawa naungana nao.
 
wanaoijaribu serikali ya Jpm wanacheza na Mto wawaulize wenzao wa kisarawe kilicho wakuta.
 
It has reached an alarming stage. Most likely a work of an arsonist due to internal squabble.
 
Kuna propaganda hapa! Tutaijua tuuu, tena kabla hata uchaguzi mkuu...
 
Mkuu..kuna kitu ulitaka kusema..ila umebadili gia angani, unapima upepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…