Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
Yah kipepeo yule,sema domo zegeYule ni kipepeo mweusi.
Idara iliyoshindwa kabisa kusaidia nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah kipepeo yule,sema domo zegeYule ni kipepeo mweusi.
Idara iliyoshindwa kabisa kusaidia nchi
Domo zege huyu bwana mdogo!Wakuu salama
Innocent Bashungwa ambaye jana ameteuliwa kuwa Waziri wa Ujenzi amekuwa Waziri anayehamishwa Wizara mara nyingi sana. Nini hasa kipo nyuma ya Bashungwa kuhamishwa Wizara kila mara?
Ukiangalia tangu atotolewe kuwa Naibu Waziri wa Kilimo na kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara mnamo Juni 8, 2019 hadi sasa amekuwa Waziri katika Wizara 5 (Kipindi cha miaka 4).
Kwenye Wizara ya Viwanda na Biashara ndio Wizara pekee alikaa kwa zaidi ya mwaka moja.
Juni 8, 2019 - aliteuliwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara (miezi 22)
Machi 31, 2021 - Aliteuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo (miezi 9)
Januari 8, 2022 - Aliteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) (miezi 9)
Octoba 2, 2022 - Aliteuliwa kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (miezi 11)
Na jana Agosti 30, 2023 Rais Samia amemteuwa kuwa Waziri wa Ujenzi.
Nini siri ya Bashungwa kuhamishwa kwenye Wizara hizi? Hii ya sasa atamaliza mwaka?
Wanashindwa tu kumtema!!! Domo zege hana uwezo
Yaani kama watu wameshindwa ni bora kuchukua wengine kuliko watu wale wale kuwazungusha kila baada muda mfupi ni kama wanafanyiwa ‘trial and error’ matokeo yake kwenye Wizara wanaanza jambo hawamalizi wanaondoka na mwingine akija anaanza yakeUnaulizia bashungwa mbona huulizi simbachawene , pindi chana mkuchika n.k
Sio kwamba anafanya maajbu ila yule ni kipenyo full stop anapelekwa kwenda kunusa kilichomo kisha anapeleka briefing kivyake kwa mteuzi
mwerevu hatoi siri za nguvu, uweza na ufalme wake kwa adui au hadharini.Nguvu yake hasa ipo kwenye nini huyu Mtu hadi iwe namna hii?
Na sasa amehamishwa tena kwenda Mambo ya NdaniWakuu salama
Innocent Bashungwa ambaye jana ameteuliwa kuwa Waziri wa Ujenzi amekuwa Waziri anayehamishwa Wizara mara nyingi sana. Nini hasa kipo nyuma ya Bashungwa kuhamishwa Wizara kila mara?
Ukiangalia tangu atotolewe kuwa Naibu Waziri wa Kilimo na kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara mnamo Juni 8, 2019 hadi sasa amekuwa Waziri katika Wizara 5 (Kipindi cha miaka 4).
Kwenye Wizara ya Viwanda na Biashara ndio Wizara pekee alikaa kwa zaidi ya mwaka moja.
Juni 8, 2019 - aliteuliwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara (miezi 22)
Machi 31, 2021 - Aliteuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo (miezi 9)
Januari 8, 2022 - Aliteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) (miezi 9)
Octoba 2, 2022 - Aliteuliwa kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (miezi 11)
Na jana Agosti 30, 2023 Rais Samia amemteuwa kuwa Waziri wa Ujenzi.
Nini siri ya Bashungwa kuhamishwa kwenye Wizara hizi? Hii ya sasa atamaliza mwaka?