Nini siri ya Bashungwa kuhamishwa Wizara kila mara?

Hahahaaa na hana mvuto haya maisha kuna watu ni dawa acha tuone zaidi yajayo
 
Domo zege huyu bwana mdogo!
 
This underground gentlemen, is among the most powerful individuals within the gov as well as within the ruling party.
ni hatari kumuacha nje ya mfumo.
Nguvu yake hasa ipo kwenye nini huyu Mtu hadi iwe namna hii?
 
Unaulizia bashungwa mbona huulizi simbachawene , pindi chana mkuchika n.k
Yaani kama watu wameshindwa ni bora kuchukua wengine kuliko watu wale wale kuwazungusha kila baada muda mfupi ni kama wanafanyiwa ‘trial and error’ matokeo yake kwenye Wizara wanaanza jambo hawamalizi wanaondoka na mwingine akija anaanza yake
 
Nguvu yake hasa ipo kwenye nini huyu Mtu hadi iwe namna hii?
mwerevu hatoi siri za nguvu, uweza na ufalme wake kwa adui au hadharini.
kufanya hivyo ni kumpa nafasi adui akishughulikie vizur.

Huzificha sirini chini ya ulinzi wa Mungu ili kusudi watesi na adui zake wasipate kujua au kupanga cha kufanya dhidi yake.

The gentleman is the most powerful individual within the ruling party and the Government at large.
 
Na sasa amehamishwa tena kwenda Mambo ya Ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…