Hhhhhhh daah nouma sanaaa me bhna historia ya jina langu imeaanzia kitaani ninapo ishi japo hpo nyuma nina ma nick name mengi kama KISHOMORO, WAKUJAMP, FUKO, RAMANINO ila hili VINJUNGA "limetokana naa uvaaji wa bucta na pensi yaan nguo zisizoficha magoti me nilikuwa sinaaga swaga za suruali yaan ukinipa suruali naenda kwa fundi naikata inakuwa kinjunga asee ni nomaa nikawa maarufu kihivyoo
Sasa tunyamaze tu?Unavyolalamika jamani?? Ila kweli, sio fair
Ndo hvyo yaan mapito ndo 7bu ya mambo kma hya aseeπππ tunafanana mkuu
Tunakuja ila ukiingia kwenye opera mini inaoneshaTayari njooni
Team Makapuku
Hahaha mbavu cnamimi bwana tabia zangu naona toka mdogo nilikuwa mzushi mzushi tu na nishakula makonzi yakutosha utotoni,kuna mzee mmoja aliwahi kusema huyu mbilikimo akisema maneno kumi shika moja tu sababu kanaonekana nikazushi tu ka mambo,basi toka siku hiyo mtaani wakawa wananiita kazushii na unayemwona hapo kwenye avatar hana tofauti na jina langu .
Pole sn, wat hap..Me ni kama Asante kwa mabaya yaliyonikuta since 2015, na avatar that is I was baada ya mabaya , nilikua niko na phone day yote .. totally confused
Bansen Burner inaproduce heat ila ad kujiita hvo ni kipindi nasoma tulikua tukipanda Daladala Toyota Hiace sehem wanafunzi tulikua tunaambiwa tukae ni juu ya engine ya gari hyo sehem inaunguza balaa unaweza ukahis tako linaiva ila ndio hvo umetoka skonga umechoka mbaya unakaa tu ufike"
Avatar ni jamaa mmoja anaitwa Ghost namkubali sana kwenye series ya Power Directed by 50cent. Huyu jamaa si mtu wa Kuongea sana ni mtu wa Actions...Gentleman+kitomb-
Mr James StPatrick aka Ghost
Thank u babyππ Pole kwa kuungua kipindi hicho
Bansen Burner inaproduce heat ila ad kujiita hvo ni kipindi nasoma tulikua tukipanda Daladala Toyota Hiace sehem wanafunzi tulikua tunaambiwa tukae ni juu ya engine ya gari hyo sehem inaunguza balaa unaweza ukahis tako linaiva ila ndio hvo umetoka skonga umechoka mbaya unakaa tu ufike"
Avatar ni jamaa mmoja anaitwa Ghost namkubali sana kwenye series ya Power Directed by 50cent. Huyu jamaa si mtu wa Kuongea sana ni mtu wa Actions...Gentleman+kitomb-
Mr James StPatrick aka Ghost
Haha mkuu unachunguza watu matk ww sio mtu mzrHii inanikumbusha kipindi niko advance boarding school, kwa kuwa mabafu yalikuwa ni ya kushare, mtu wa dar alikuwa anajulikana kwa weusi wa tako lake, na hii tulihypothesize kana ni matokeo ya kukalia bansenburnerππ
Nimei-quote tu kwa huruma ya huyo 'mkaka' teeehe teeehe cute wangu upo?Kuna mkaka mmoja alikuwa king'ang'anizi kama kupe.
Alikuwa ananipenda halafu simpendi,
Sikuwahi kumwambia jina langu basi zake ikawa ni kuniita cute wangu.
Hadi marafiki zangu wakawa wanambeza wakimwona wananiambia B our cutie anakuja.
Basi siku najiunga humu nikatumia cute then B ni herufi ya kwanza ya jina langu.
Cute B
Haha mkuu unachunguza watu matk ww sio mtu mzr