Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,076
Duuuh humu kuna memba wengi sana.
BTW I like your name
Mkuu kumbe huku upo update zaidi kuliko kule ..... anyway mtiririko wako uko vizuri sanaNimependa huo mchanganyiko wako Katika ID yako kama ulivyoelezea. Ila ile avatar yako ya kwanza naikumbuka vizuri sana. Kwanini uliitoa ile?
Hahhaaaa kumbe alikuwa bado hajazaliwa ila ile avatar irudisheHahahaha Id name ni majina yangu yote hapo ila nimecheza na herufi tu plus bond yangu,Avatar hii nimependa tu maneno na dressing style,ila kuna ile avatar yangu ndo naipenda sana ileeee ya Aishrywa anakunywa wineee ile ndo ina story behind,wewe mtoto wa Juzi Juzi huijui hiyo Avatar.
Crocodiletooth
fast attacker...
timing....
unfriendly..
mad n crazy
Once I miss target,my regrets takes longer....
Mkuu dawa ya hili tatizo ni kulibeza, mnapojibu mnalikuza, liacheni litakufa kifo cha kawaida, ni upepo tu utapitaDaaah!!! Hii sasa sio mazeeπ‘π‘
Nitairudishaaa......dahhh tushirikishe na wewe Eddy na hiyo Avatar Nini story nyuma yake.Hahhaaaa kumbe alikuwa bado hajazaliwa ila ile avatar irudishe
Nitairudishaaa......dahhh tushirikishe na wewe Eddy na hiyo Avatar Nini story nyuma yake.
Daah hongera na pole...Joshua ni mtu wa vita ck zote za maisha yako,,,so ujue mwanao atakuwa mtu wa mapito mazito japo atatoboa. ANNA ni aina ya wanawake wenye mapitoazito sana japo nao ni wacha Mungu na wengine ni makahaba 1/2. Ni uchaguzi mzuri japo...Annie Josh (Anna Joshua) siyo majina yangu but ni majina imaginary ya watoto wangu wawili ntakaojaliwa na M/Mungu...Nina Imani atanipa
Nayapenda maana wenye majina hayo wana sifa ya upole na utu Wema mostly wacha Mungu.
Behind my avatar ... I used to trust human beings much! Sikujua binadamu aweza kuwa na tabia Za kinyama au kumtendea binadamu mwingine yasiyofaa! I came to realize human beings are not to be trusted Kwa niliyoyaona Kwa dada yangu! Alitendwa na mumewe yasiyohadithika licha ya kuwa dada yangu aliweka rehani mambo Yake muhimu kwaajili ya Upendo Kwa mumewe...lkn alichotendwa hatokaa asahau!
Pia nami Nimepitia kadhaa yanayonifanya nione sina haja ya kumwamini sana binadamu...naishi naye KIAKILI tuu! But that notion haizuii kuona mema yaliyomo kwenye ubaya mchache wa Mtu
Avatar na jina linawakilisha upenzi wangu kwa katuni niliamua kutumia jina Hilo sababu katuni hiyo inabeba jina langu pia. Ila I'm sad [emoji17] [emoji17] sababu nililikosea badala ya ed edd and eddy nikaliandika hivyo.Nitairudishaaa......dahhh tushirikishe na wewe Eddy na hiyo Avatar Nini story nyuma yake.
Hujakosea hata kidogoHuyu atakuwa mpenzi wa cartoon kama sikosei. Lakini acha aseme mwenyewe ππ
Daah wew kiboko umeisimamia uzi wako hadi inavutia...hongera snThis is mad and crayz
Daah nimejifunza mengi pitia uzi huu, cjui uliwaza nini!Mkuu i dont even believe what is happening before me asee!!
Its a phenomenal, yaani ni balaaπ±π±
mkuu picha uonanayo hapo ni yangu mwenyewe nilipiga bene beach kule Entebe Uganda...... na jina hapo ni sir name yangu ya Msumeno.... kwa kinyamwezi tunaitwa bha mgana msumeno... yaani koo au familia ya msumeno full stop mimi sio mwizi mpaka nifiche sura yanguKuna siri kubwa sana chini ya majina tunayotumia humu JF pamoja na avatar zetu (wale wanaotumia picha zisio zao).
Kwanini uliamua kujiita A na sio B?!
Kwanini a jina feki na sio jina harisi?!
Nadhani nianze na mimi mwenyewe, sizzya007 ni jina modified kidogo, hapo zamani nilikuwa natumia sizya007 humu jf ila nilipobadili device nikawa nimesahau password ikanibidi nifungue acc mpya na kutumia sizzya007, jina hili linatokana na mizuka na mahaba mazito ambayo nilikuwa nayo kwa movie za James Bond. Toka enzi hizo za VHS, mie nilikuwa nazo movie nyingi sana za huyu mwamba! Basi rafiki na ndugu wa karibu walianza kuniita 007, nilivyofika chuo wale nilioachana nao primary ndio wakaliibua upya, ila muda huu ndio likaja na sizya007π
Hili ni jina ambalo nalitumia mitandao yote ya kijamii ambayo nipo, ila kwingine nimelifanyia utundu kidogo.
Sasa, natamani kujua majina ya wengi humu jf atleast origin yake ni nini hasa! Nitamzungumzia mmoja tu ambaye huyu nadhani itabodi alifafanue lake kwani limekaa kifigisufigisu, GENTAMYCINEπ±π±
GENTAMYCINE, nikujaribu kulinyumbua napata ukakasi, GENTA MY CINEπ³
Why should i GENTA your CINE?! And what is CINE?! Na kuGENTA ndio kufanya niniπ±π±
Cc GENTAMYCINE njoo ujibu, jina liko kifigisufigisu sana hili.
Wengine ni
Faizafoxy
TheBoss
Lara1
Rubii
Bitoz
Miss chagga
Bansenburner
Mshana jr
YEOHANDA
perry
tatty
cute b
Evelynsalt
Stroke
Nyani Nyabu
Mwanakijiji
Mwanahabari huru
Mzama chumvini
Nahree
Na wengine kibaaao, ebu funguka kidogo kwanini unatumia jina hilo?!
ππ
You read well [emoji122] [emoji122]Nilijua tu, π
mkuu picha uonanayo hapo ni yangu mwenyewe nilipiga bene beach kule Entebe Uganda...... na jina hapo ni sir name yangu ya Msumeno.... kwa kinyamwezi tunaitwa bha mgana msumeno... yaani koo au familia ya msumeno full stop mimi sio mwizi mpaka nifiche sura yangu