Nini story au kisa nyuma ya username yako na avatar yako hapa JF

hujaeleweka ,...
kwahiyo uko form ngapi sasa hivi???
na wewe ni great thinker????????????
 
Nsoga sana nkoi!! Daah....huu uzi its a blessing to me n to everybodyπŸ˜€πŸ˜€
nsoga dugu, ja wiza... hahaha, mimi ni wa ussoke mnyanyembe au mgalanganza....kule katunguru .... TBR hii kaka karibu Uganda
Yooooooo. mle mhola bhagosha. nayega sana doho abehi. nasega sana. onene nale o shinyanga.πŸ˜€
huu uzi nimeupenda
 
Yooooooo. mle mhola bhagosha. nayega sana doho abehi. nasega sana. onene nale o shinyanga.πŸ˜€
huu uzi nimeupenda

Hahah!! Bhabeja ngosha, afu dragon mbona cute B kapotea aseeπŸ˜€πŸ˜€
 
Uzi umenoga huu....japo sijamuona Faizafoxy pande hizi[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Napenda sana viatu nikiwa na hela kidogo nawaza kununua viatu
Wacha weeeeeeee......kwahiyo nyumbani kwako umejaza viatu ,Looh!!! Nitakuja uniagaie vingine nisije anzishiwa Uzi kama wa siku Ile.....hahahaha......Na Id name?

Long time aiseee nimekumiss mnoo ...... msalimie kaka Yako Ntuzu mwambie yaani naumwa kwa kummiss .
 
Hahahaha my dia ninavyo kama pair....hivi sio hata vingi sema napenda viatu.Jamani hata mie nimekumiss sana hivi utafiti yuko wapi jamani?Salamu zimefika
 
Namkubali sana aliyekuwa Dikteta wa Italy, Benitto Mussolini.

Avatar yangu ninayotumia ni kwa kumbukumbu na heshima kubwa kwa Mwanamapinduzi wa Cuba, Camilo Cienfuegos aliyefariki baada ya ndege aliyopanda kupotea na ndege hiyo haijawahi kuonekana tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…