Nini story au kisa nyuma ya username yako na avatar yako hapa JF

dah!! huu uzi mtamu sna ila siez pitia page zote mana niko fasta

Ila ningependa kujua maan ya jina la mtu mmoja tu humu ndani

Naye ni Fundi chupi
 
Duh zitafika Kama zako kweli[emoji17] [emoji17] [emoji17] ila nazipenda itabidi nivumilie
Zitafika kwasababu hata zangu zilianzia chini kabisa tena walikuwa wananiambia nizitoe maana hazinipendezi ziko kama inzi
 
Ngoja niendelee kuguess tu itakuwa Edison. .......hahhahah wewe danganya tu si umeshakataaa halipo pale basi zawadi ya ushindi ishakupita....
Hahaha sawa kwa kuninyima zawadi ....
Unazidi kupotea kasikilize story 3 ya Jay Mo kama mpenzi wa muziki
 
Yeah thats true bro,the Godfather was the best maana hiyo ndio inayoaanza kutupa the story of a fictitious Mafia family na kazi zake zilizofuata ilikuwa ni kama muendelezo wa the Godfather......salute kiongozi maana inaonyesha na wewe ni crazy wa hii makitu...😎
 

Hizi Novel za jamaa nazirudiaga mara kwa mara sana. Halafu kila nikirudia kunakuwa kama vile kuna vitu sikuviona mwanzo. Godfather ni novel kubwa sana na nadhani ndiyo iliyompa mafanikio makubwa sana, nawakumbuka kina Fanucci, Clemenza, Tersio, Sony, etc.

Zile novel zinafundisha hustle na zinaelezea kinsi mifumo ya nchi inavyokuwa chini ya matajiri, nikifanya link ya jinsi kina Rostam wanavyoikimbiza nchi naona kama Godfather vile.
 
hahaha huyo jamaa na mm nilimsikia,,yani anavoita utadhani ana viwembe kumbe ana masime na mavisu
 
Jina...avatar vyote nadhani vina thread zake miaka ya nyuma...hizi thread
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…