za masiku mrembo?Kuna mkaka mmoja alikuwa king'ang'anizi kama kupe.
Alikuwa ananipenda halafu simpendi,
Sikuwahi kumwambia jina langu basi zake ikawa ni kuniita cute wangu.
Hadi marafiki zangu wakawa wanambeza wakimwona wananiambia B our cutie anakuja.
Basi siku najiunga humu nikatumia cute then B ni herufi ya kwanza ya jina langu.
Cute B
duuuuh lipia tangazoNimemaliza kupitia zooote tokea mwanzo, imenichukua masaa mawili, kwa kweli hongera mleta uzi Na wachangiaji pia!, kwani sijawahi kutumia muda mrefu hivi kwa social media!. Sasa zamu yangu:
Nilihangaika Sana kutumia majina yenye msisimko flani hivi, yote yakawa tayari yana wamiliki wake, nikaona shida yote ya nini, nikatupia jina la mtaa wangu wa nyumbani kabisa( nilipojifunzia mema na mabaya) likakubali!.
Kuhusu avatar:- Mimi jinsia yangu ndizi , pia ndio tunda ninalolipenda, hulikosi mezani pangu nikiwa na sahani ya ubwabwa maharagwe!, na tena ndizi kwa samaki ni chakula bora kabisa kwangu hasa nikila siku ambayo niko happy Sana!, Mwisho warembo wachache Tu waliobahatika kupatiwa huduma Yangu huwa wanahoji nimepaka nini?, mbona tamu?, nimekuwa nikipenda kuwajibu, ndizi mbivu haihitaji kusaidiwa kunoga!. Ni hayo tu! Samahani kwa usumbufu!.
Kama unahitaji ndizi ni-PM ( ladies only).
Salama hofu kwako..za masiku mrembo?
Tangazo la bidhaa gani tena?duuuuh lipia tangazo
Halafu ndizi yenyewe hawana uwezo Kula wakaimaliza.Mkuu nakushukuru kwa kutumia MASAA MAWILI kuusoma uzi huu, its real an honour. Nashukuru sana. Uzi huu umekuwa na baraka kwa JF members, kila mmoja kwa nafasi yake.
Kuhusu jina lako na ndizi story mie nakutakia ugawaji mwema wa ndizi kwa wadada ambao watakuwa interested!! Sharing is caring, kwann uwanyime ndizi kama wanataka ndizi😀
Maana yake ni kwamba sometimes mtu unaweza kufanya maamuzi magumu na ukajikuta unachezea danger zoneJitahidi tu utuambie maana hiyo avatar ni kiboko
Kwakua nawakilisha kile ninachokiandikaAvatar yako je?! Kwann iliichagia hiyo?
Duh.! Nimecheka kwa sauti, watakuwa mapunga hao.Kuna watu humu wanatumia majina ya kike na picha lakini ni dume zima tena lina ndevu mpaka ....
Aisee angaau leo nimepata pa kusemea
Aaah unajua mimi ni mpenzi wa mpira na fan wa ligi ya EPL especialy Club ya Man U. Sasa hii Id niliipata kwenye mechi ya fainali ya Champions League kati yetu sisi na Chelsea. Pele wanaingia wachezaji wamevaa jezi zilizoandikwa RESPECT mikononi huku wakisindikizwa na mabango yaliyotapakaa uwanja mzima yakiwa na maandishi kama hayo. Mwisho wa mechi tunamgonga Chelsea na kuchukua bakuli letu.
So kuanzia siku hiyo nikawa nawatania mashabiki wa chelsea kwa kuwaambia RESPECT kila ninapowaona. Kama hiyo haitoshi na kibanda changu nikaandika Bango kuubwa lenye Maandishi Respect..! Hii WA BODA inawakilisha nitokako (Mpakani Tunduma)
So siku najiunga Jf nikawa nabahatisha kama naweza kujiunga... Nikaandika Id hiyo alhandulilah nikafanikiwa. Kunabaadhi ya watu wanadhani najikweza kwa kujiita RESPECT nadhani ufafanuzi huu unawafaa.
BACK TANGANYIKA
mkuu nikiangalia Man u ya leo na nikikmbuka hzo zama nabaki na stressAisee angaau leo nimepata pa kusemea
Aaah unajua mimi ni mpenzi wa mpira na fan wa ligi ya EPL especialy Club ya Man U. Sasa hii Id niliipata kwenye mechi ya fainali ya Champions League kati yetu sisi na Chelsea. Pele wanaingia wachezaji wamevaa jezi zilizoandikwa RESPECT mikononi huku wakisindikizwa na mabango yaliyotapakaa uwanja mzima yakiwa na maandishi kama hayo. Mwisho wa mechi tunamgonga Chelsea na kuchukua bakuli letu.
So kuanzia siku hiyo nikawa nawatania mashabiki wa chelsea kwa kuwaambia RESPECT kila ninapowaona. Kama hiyo haitoshi na kibanda changu nikaandika Bango kuubwa lenye Maandishi Respect..! Hii WA BODA inawakilisha nitokako (Mpakani Tunduma)
So siku najiunga Jf nikawa nabahatisha kama naweza kujiunga... Nikaandika Id hiyo alhandulilah nikafanikiwa. Kunabaadhi ya watu wanadhani najikweza kwa kujiita RESPECT nadhani ufafanuzi huu unawafaa.
BACK TANGANYIKA