Nini story au kisa nyuma ya username yako na avatar yako hapa JF

Nini story au kisa nyuma ya username yako na avatar yako hapa JF

Mimi langu ni MGOGO27
MGOGO ni kabira langu na
27 niiaka yangu ambapo nianza kupata mafanikio na kujuana na network za kitaifa na kimataifa pia
Avatar yangu ni kuonyesha hata niweje nakumbuka mila na desturi zangu,na niliamua kutumia jina hlo baada ya kpoteza sim na nkasahau password
 
Mimi langu ni MGOGO27
MGOGO ni kabira langu na
27 niiaka yangu ambapo nianza kupata mafanikio na kujuana na network za kitaifa na kimataifa pia
Avatar yangu ni kuonyesha hata niweje nakumbuka mila na desturi zangu,na niliamua kutumia jina hlo baada ya kpoteza sim na nkasahau password
27 ni miaka yangu
 
Kuna mkaka mmoja alikuwa king'ang'anizi kama kupe.
Alikuwa ananipenda halafu simpendi,
Sikuwahi kumwambia jina langu basi zake ikawa ni kuniita cute wangu.
Hadi marafiki zangu wakawa wanambeza wakimwona wananiambia B our cutie anakuja.
Basi siku najiunga humu nikatumia cute then B ni herufi ya kwanza ya jina langu.
Cute B
Hii stori mbona hajaniambia wewe mwanamke.
 
Mim jina langu ni JOSEPHAT na hii _07 ilikuwa mwaka 2007 wakati natengeneza email avatar nimeamua luweka hiyo coz napena sana kusali mii ni mkristo
 
haaa! very intersting, mimi sipo kwenye list yako ila ntakueleza kidgo tu uelewe kwa nini naitwa sifileo na si jina langu?

ilikuwa mwaka, fulani nikiwa azaboy, kidato cha sita, siku hiyo nilikuwa mimi na dogo mmoja wa form one, tukivuka barabara, gafla lilikua uda hatukujua limetokea wapi,likamgonga yule dogo na kufa pale pale mimi sikufa siku hiyo, kilichotokea wakati dogo amekufa, niliona kuwa amekatwa kifua kilitengenishwa na kicha, nilikimbia kutoka faya mpka azania, nikamuita mkuu wa shule aje ashuudie unyama ulio fanywa na dereve aliyekuwa amekwisha kimbia, naikumbuka siku hiyo wanafunzi wa azania, walifunga barabara hakuna aliyepita pale police wte wanao kaaga faya walikimbia ila wewngi wao walipigwa sana, maderva walipigwa na kuuawa palepale walio jifanya wanakuja na madar dara yao.

siku hisyo nilishudia vifo vya watu wanne , ndipo nikajiita sifileo,na kwenye sehemu nyingine natumia jina hilo hilo miaka mingi iliyopita nilikuwa nmeweka profile pict ya Jeneza ilinisaidia sana kuepuka watu kuniomba ufriend, hata leo watu nikwatumia friend request wengi wao wanaignore
 
haaa! very intersting, mimi sipo kwenye list yako ila ntakueleza kidgo tu uelewe kwa nini naitwa sifileo na si jina langu?

ilikuwa mwaka, fulani nikiwa azaboy, kidato cha sita, siku hiyo nilikuwa mimi na dogo mmoja wa form one, tukivuka barabara, gafla lilikua uda hatukujua limetokea wapi,likamgonga yule dogo na kufa pale pale mimi sikufa siku hiyo, kilichotokea wakati dogo amekufa, niliona kuwa amekatwa kifua kilitengenishwa na kicha, nilikimbia kutoka faya mpka azania, nikamuita mkuu wa shule aje ashuudie unyama ulio fanywa na dereve aliyekuwa amekwisha kimbia, naikumbuka siku hiyo wanafunzi wa azania, walifunga barabara hakuna aliyepita pale police wte wanao kaaga faya walikimbia ila wewngi wao walipigwa sana, maderva walipigwa na kuuawa palepale walio jifanya wanakuja na madar dara yao.

siku hisyo nilishudia vifo vya watu wanne , ndipo nikajiita sifileo,na kwenye sehemu nyingine natumia jina hilo hilo miaka mingi iliyopita nilikuwa nmeweka profile pict ya Jeneza ilinisaidia sana kuepuka watu kuniomba ufriend, hata leo watu nikwatumia friend request wengi wao wanaignore

Duuh!! Hilo vagi nalikumbuka, kumbe na wewe ulikuwa mhanga?! Pole sana brother....surely kwa neema za mungu hufi leo wala kesho.

Nice story.
 
Owkey ni hivi.
nilikuwa na kajamaa flan hivi enzi za ujana..kalikuwa kachuchu kangu basi akawa anafupisha jina langu la kinyumbani...akawa ananiita Tatty..ikawa hivyo. Friends mpk familia yake hasa mama yake (Mungu amrehemu) waliniita Tatty. That was 17 years ago.
Hiyo avatar...sifanani sura na hiyo pic..ila skin na nywele kiasi vinafanana.
Ni pm namba yako mkuu tatty
 
Back
Top Bottom