Nini story au kisa nyuma ya username yako na avatar yako hapa JF

Nini story au kisa nyuma ya username yako na avatar yako hapa JF

Hii inanikumbusha kipindi niko advance boarding school, kwa kuwa mabafu yalikuwa ni ya kushare, mtu wa dar alikuwa anajulikana kwa weusi wa tako lake, na hii tulihypothesize kana ni matokeo ya kukalia bansenburner😀😀
Hahahahahahaa
 
Simba songea ni wanyama wanaopatikana Ruvuma kijiji cha lituhi tu. ni wanyama wanaofanana na penguin, hawa wanyama chakula chao kikuu ni kivuli cha shadow, na kimiminika wanachopenda ni mate ya siafu,,, pia wana sifa yao kuu wanauwezo wa kumtongoza mwanadamu wa kike na kuzaa nae...

nikaamua kujiita simba songea tangu nikiwa mtoto i lyk thiz name
 
Walengwa wa uzi huu hawawezi kujitokeza.... Kuna kitu kinatafutwa na wao wanajua wanatafutwa na hawatajionyesha kirahisi....
 
Walengwa wa uzi huu hawawezi kujitokeza.... Kuna kitu kinatafutwa na wao wanajua wanatafutwa na hawatajionyesha kirahisi....

Shekhe😱😱

Mbona unataka kuleta figisufigisu na kuogofya watu?! Hamna kinachotafutwa hapa, hii ni njia ya kusocialize tu na kupata muda wa kufurahia maisha.

Stop overthinking, it will ruin your life before you even realize.
 
Shekhe😱😱

Mbona unataka kuleta figisufigisu na kuogofya watu?! Hamna kinachotafutwa hapa, hii ni njia ya kusocialize tu na kupata muda wa kufurahia maisha.

Stop overthinking, it will ruin your life before you even realize.
Wewe ndio huelewi maana ya ulichoandika, hii ni njia nyingine ya kuwafanya watu watoke kwenye fake id zao.
Watu wanajua kuconnect dot kichizi...
Anyway endelea ku socialize
 
Kuna siri kubwa sana chini ya majina tunayotumia humu JF pamoja na avatar zetu (wale wanaotumia picha zisio zao).

Kwanini uliamua kujiita A na sio B?!
Kwanini a jina feki na sio jina harisi?!

Nadhani nianze na mimi mwenyewe, sizzya007 ni jina modified kidogo, hapo zamani nilikuwa natumia sizya007 humu jf ila nilipobadili device nikawa nimesahau password ikanibidi nifungue acc mpya na kutumia sizzya007, jina hili linatokana na mizuka na mahaba mazito ambayo nilikuwa nayo kwa movie za James Bond. Toka enzi hizo za VHS, mie nilikuwa nazo movie nyingi sana za huyu mwamba! Basi rafiki na ndugu wa karibu walianza kuniita 007, nilivyofika chuo wale nilioachana nao primary ndio wakaliibua upya, ila muda huu ndio likaja na sizya007🙄

Hili ni jina ambalo nalitumia mitandao yote ya kijamii ambayo nipo, ila kwingine nimelifanyia utundu kidogo.

Sasa, natamani kujua majina ya wengi humu jf atleast origin yake ni nini hasa! Nitamzungumzia mmoja tu ambaye huyu nadhani itabodi alifafanue lake kwani limekaa kifigisufigisu, GENTAMYCINE😱😱

GENTAMYCINE, nikujaribu kulinyumbua napata ukakasi, GENTA MY CINE😳
Why should i GENTA your CINE?! And what is CINE?! Na kuGENTA ndio kufanya nini😱😱

Cc GENTAMYCINE njoo ujibu, jina liko kifigisufigisu sana hili.

Wengine ni
Faizafoxy
TheBoss
Lara1
Rubii
Bitoz
Miss chagga
Bansenburner
Mshana jr
YEOHANDA
perry
tatty
cute b
Evelynsalt
Stroke
Nyani Nyabu
Mwanakijiji
Mwanahabari huru
Mzama chumvini
Nahree

Na wengine kibaaao, ebu funguka kidogo kwanini unatumia jina hilo?!

🙄🙄

Binafsi natumia jina langu halisi! Acheni woga tumieni ID za kweli bhana@
 
Shekhe😱😱

Mbona unataka kuleta figisufigisu na kuogofya watu?! Hamna kinachotafutwa hapa, hii ni njia ya kusocialize tu na kupata muda wa kufurahia maisha.

Stop overthinking, it will ruin your life before you even realize.
Wahandisi tuna tabia ya kufikiri mwisho wa jambo kabla ya mwanzo, usimlaumu mhandisi mzalendo
 
Wewe ndio huelewi maana ya ulichoandika, hii ni njia nyingine ya kuwafanya watu watoke kwenye fake id zao.
Watu wanajua kuconnect dot kichizi...
Anyway endelea ku socialize
Mkuu big up, inaelekea mhandisi kweli au!
Umeona vyema, hapa nimesoma sana na nimeishia kukomenti, huu uzi umeweka watu wazi sana kiasi cha kupoteza ule ufikirishi katika Id zao japo namsifu mleta uzi
 
AHAAHAHAHAHA.....ANY ONE HERE WHO REAL CARES?....HAKUNAAA.

JINA LANGU KIKUBWA NI KUJUA NANI ANAYEJALI?....DUNIANI HAKUNA HATA MMOJA ANAYEJALI...TUNGEKUWA TUNAJALI BASI TUSINGEIHARIBU DUNIA YETU NA WENGINE KUFIKIRIA KUANZISHA DUNIA NYINGINE KWENYE OUTER SPACES WAKAISHI WAKATI WAMESHAIHARIBU DUNIA TULIYOPEWA BUREE NA MUUMBA.


AVATAR YANGU NI YA JAMAA MMOJA ANAITWA CURTIS JACKSON AKA 50CENTS...MSHKAJI NI ROLE MODEL WANGU AS AMEKUWA AKI-PROVE KUWA HAJALI KITU...GET RICH OR DIE TRYING..MY FAVORITE ALBUM.... HUNGER FOR MORE.
 
Natumia TAECOLTD kwasababu ndio jina la kampuni yangu na avatar ni ya kampuni hiyo pia...
 
Kwa kweli mimi napenda mizigo kupita maelezo, mwanzo nilitaka ID iwe ya kiswahili yaani "MPENDA MAT*KO MAKUBWA" Nikaona italeta jau kidogo, nikaamua niweke tafsida kwa kutumia lugha ya malkia. Me ni raisi wa wapenda mizigo ulimwenguni, na Avatar zangu nitakuwa naweza MIZIGO TU, I am addicted you know!
 
Siye ni kundi la kukosa tu Mkuu, hivyo sioni kama tuna chetu kwa mara nyingine tena msimu huu. Tatizo letu kubwa ni yule Arsene Wenger. Hata FA tumeikosa tena kwa kufunga kwetu.

Mkuu bak je top 4 mtachukua safari hii? Cz naona vikwazo vingi!!
 
Siye ni kundi la kukosa tu Mkuu, hivyo sioni kama tuna chetu kwa mara nyingine tena msimu huu. Tatizo letu kubwa ni yule Arsene Wenger. Hata FA tumeikosa tena kwa kufunga kwetu.
Yule mzee bado mnaye sana atoki pale lazima muwe wavumilivu kwa Wenger
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom