NullPointer
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 3,461
- 2,273
unamiliki bistoli?
Hakuna cha ndoto wala nini,ni mawazo yako tu mabaya kwa mkeo,acha wivu usiokuwa na faida,ukiona unashindwa kuhimili maisha ya kukaa mbali na mkeo yafaa ufanye uamuzi wa kumchukua na muishi pamoja.
Tabu yetu wanaume tuna tabia ya kufanya jambo na tukimaliza tunaanza kuwaza kuwa hata wake zetu wanaweza kufanya na ndipo wivu unapoanza kujitokeza.
Kama siku husika kukulala na mawazo ya mkeo bali ulichoka na kazi. Kama wewe ni mkweli na si mzinifu na ni mtu wa imani/ibada sana hiyo ndoto ni kweli
Na kama wewe ni wa kawaida ila mwaminifu kwa mkeo hiyo ndoto pia kweli.
Kama wewe ni mzinifu, mpenda wanawake hilo kwako ni onyo kwamba hata wa wenzio wanajisikia vibaya wakiona wewe wafanya uzinifu na ndugu zao/dada zao/shemeji zao/mama wadogo zao/nk
Jitazame wewe ni nani kati ya hapo
Ushauri
Ukifanya mapenzi na wanawake/wasichana wa watu basi jua fidia ya zinaa hiyo italipwa na mwanao au mkeo kwa kupitia kwa mwanamme kama wewe. Cha msingi haki na batili havichangamani fanya ibada sana akifanya zinaa tu anaumbuka nawe usiwe na upendo wa asilimia mia kwa mkeo maana siku ukikuta anafanya upuuzi utaweza kufa kwa mshituko. Pendaneni kwa kiasi na mfanye maombi kwa mola wenu kwa sana ili mpate furaha na jueni kuwa kila mmoja yupo na mapungufu yake na jueni kuwa shetani yuko kazini kutafuta wafuasi na msichoke kupeana nasaha za kuwa na subira katika matatizo
Undo hiyo ndoto faster.
Habari wanajamvi,mara baada ya salaam mimi ndugu yenu ni buheri wa afya,
Dhumuni la uzi huu ndugu zangu ni kuwaletea hiki nilichokiota usiku wa kuamkia leo, nataraji kupewa majibu mbalimbali miongoni mwa wachangiaji na niko tayari kuyapokea.
Usiku wa kuamkia leo nimeaota mkewangu akiwa amelala kitanda kimoja na mwanaume ambea hapo kabla nilishawahikuhisi wanamuhusiano ya kimapenzi lakini alipinga na kunipa vigezo ambavyo kwa upande mwingine nilijiridhisha, tangia hapo sikuona closeness yake na huyo mjamaa tena..
Ndoto yenyewe ilikuwa hivi;
Kwakuwa naishi mbali na mkewangu kutokana na kutenganishwa na kazi niliamua kwenda kumtembelea na kusalimia familia hii nikutokana na kupata kazi mkoa wa jirani ambao sio mbali(km160 aprx), nilipofika nikashtushwa kumkuta mkewangu akiwa namgeni ambae amejipumzisha katika kitanda anacholala,mbaya zaidi ni yule ambaye nilikuwa na mashaka na uhusioano wao.
Kiukweli nilipata uchungu kwenye hiyo ndoto mpaka kufika hatua ya kulia ikiwa pia ndio mara ya kwanza kulia katika mapenzi tangia nizaliwe ikizingatiwa nilshaumizwa na binti ambaye naamin nilimpenda sana kushinda wote kwenye uhusiano lakini sikuwahi kutokwa chozi.
Japo mke alinicomfort nakujaribu kutaka kuamini lakini hali ilizidi kuwa mbaya pale mwanangu wa kike 2 years old,akinisimulia yakuwa mama alikuwa ana kiss na dady kitu kilicho niumiza twice, and sikupata conclusion katika hiyo ndoto.
Cha ajabu sasa mpaka kuomba msaada huu wa kiimani na kimaona na kiutaalam mbalimbali nikwamba,asubuhi ni meamka na hasira kama kweli kile kitu kimetokea na pia nimeshindwa kumpigia mkewangu sim wala yeye hajanipigia sim mpaka sasa wakati si kawaida...
Kunanini hapa?mimi nahofu, mara nyingi nimekua nikiota mambo au matukio na yanakuwa kweli
Labda nikuulize tu mkuu,mpaka sasa unajisikiaje juu ya mwenza wako?Ni Mungu tu aliyebaki ndiye mwenye uwezo wa kutegua kitendawili chako hivyo nakushauri umuelekee yeye na atakupa majibu.ngoja nikwambie ndugu sidhani kama nina wivu kiasi hicho but nadhani najua kupenda,sijawahi kumfikiria mabaya hata mara zote nilizo hisi kama anakwenda ndivyo sivyo and i knowto trust hawa viumbe(u can call my weakness) wala sikuwa nafikra mbaya au nzuri juu yake kwa siku ya jana ingekuwa hivyo ninge unganisha hapa na kufanya conclusion bila kuileta hii issue jamvini but this thing it come automatically
Asante sana tena sana,nmkuu nihivi kati yako na mkeo kunatatizo la kimapepo sasa. husikeni katka imani mliyo nayo. mimi ninao ushuuda, kwa ufupi mkewangu alifaliki mambo haya haya yahusuyo kwamba kesho afariki aliota akasema mmewangu nimechoka kuishi nawe. sasabu nilipomuuliza akasema niota tu. hivyo, tukalala asubuhi 12:44.nikamuuga vizuri niende kazini akanibusu. nikaondoka. sasa 4 napigiwa cm naambiwa mkeo amepoteza faham tunaenda hosp baada yamda alifariki, huni hiyo ndoto yakuachana ilikamilika. naalikuwa ananipenda mno hata mm pia. lakinipia alikuwa mzuri wa umbo, sura na tabia. ushauli ikiwezena kama hautajali waone wachungaji wanao mwabudu MUNGU wakweli, mm sinamke mpaka sana sijata pata hatamwenye kumfananisha. mkuu usipuuze pole
Labda nikuulize tu mkuu,mpaka sasa unajisikiaje juu ya mwenza wako?Ni Mungu tu aliyebaki ndiye mwenye uwezo wa kutegua kitendawili chako hivyo nakushauri umuelekee yeye na atakupa majibu.
Nitaendelea kuwemo humu ili nione utakachokileta mkuubado nampenda sana tu kama tulivyoanza uhusiano miaka kadhaa nyuma,lakini kuna mambo ya kustahajabisha ymaenitokea jana baada ya kuleta uzi..ntajaribu kuuleta hapa tufanye tathimin nyingine