Nini tafsiri ya ndoto hii ?

Nini tafsiri ya ndoto hii ?

Habari wana MMU,
Nimekuwa nikiota nashindwa kupita kwenye daraja nyembamba ya miti au njia za milimani. msaada tafadhal
daraja maana yake ni Yesu, mlima ni sehemu salama mahali pa kukimbilia. Kumbuka Lutu aliambiwa aende mlimani ili kusalimisha Kaisha yake, Yesu alisurubishwa mlimani, pia watu huwa wanajenga kwenye mlima sio bondeni. Hivyo mlimani ni sehemu salama.

Maana ya ndoto yako, maisha yako hayajampwndweza Mungu, ndio sababu haufanyi hatua inayoeleweka katika maisha yako. Neno linasema njia ni nyembamba iyendayo uzimani.

Chakufanya, amua kuokoka kwa kumaaniaha, uyakabidhi maisha yako kwa YESU.
 
We unakaribia kufa halafu ukifa utashindwa kupita kwenye ile njia nyembamba ya kwenda peponi.
 
Grace acha wakubeze ila imeandikwa ' siku za mwisho wazee wataota ndoto na vijana watapata maono'. Mie nabashoro ndoto hii maana yake ni kuondoka kwa utawala wa CCM madarakani na kuingia kwa CDM kwani kama ni damu CCM walishaimwaga sana tu!

akili inakataa kua CDM watachukua nchi kama 2010 walikua vizuri wakashindwa wataweza saivi....HADI WAPINZANI WAUNGANE WASIMAMISHE MGOMBEA 1 LABLA
 
Utakuwa ulishiba sana usiku. Inashauriwa usile sana usiku matokeo yake ndo kuona mawengemawenge kama hayo.

aisee..
1463720_477434085700244_648472951_n.jpg
 
Inamaanisha kuna mtihani wa maisha utakushinda hivi karibuni
 
Kuna ndoto zingine ni majanga tu hadi mtu ukistuka usingizini unatoka jasho ila hiyo yakwako komesha.
 
Habari wana MMU,
Nimekuwa nikiota nashindwa kupita kwenye daraja nyembamba ya miti au njia za milimani. msaada tafadhal

Daa...Ndugu hongera sana kwa ndoto hiyo..., Maana ya hiyo ndoto ni kuwa ROHO MTAKATIFU anakukumbusha na kukutahadharisha kuwa njia unayoenenda siyo sahihi,haimpendezi MUNGU. Hivyo yakupata kutubu na kuacha dhambi?uenende katika njia njema,uwapende wanadamu wenzako kama unavyojipenda mwenyewe,...kuzifuata AMRI za Mwenyezi MUNGU. Nikwambie kwa hakika,ni wachache sana wanaopata bahati ya kuonyeshwa ndoto kama hiyo ili kumrudia Mungu.Fuata tafadhali.
 
Umenisaidia mkuu na anaiota kila siku na inakua hivyo hivyo,
Ameiota mara ngapi?

'sasa tatizo hajasema ndoto ikoje kimtiririko yee ameweka tu theme ya ndoto hajaweka vitendo vyote ndani yake'
 
Hizi ndoto hujirudia, km siyo mlima, daraja au ngazi. Mf. Leo ilikuwa ngazi za kushuka zimesimama wima, watu wanapita
 
Pole that's means utakwama/kushindwa kwy jambo muhimu maishani mwako!kama ni unayeamini uwepo wa bwana na mwokozi Yesu Kristu,sali na kemea maana hizo uwa ni hila za shetani!

AMINA, ndugu ahsante kwa ushauri
 
'sasa tatizo hajasema ndoto ikoje kimtiririko yee ameweka tu theme ya ndoto hajaweka vitendo vyote ndani yake'


NDOTO hii au ya aina hii hujirudia mara nyingi sana kama siyo mlima, inakuwa daraja au ngazi. mfano leo ilikuwa ngazi, zimesimama wima, ukianza kushuka kama zinacheza cheza, nikijaribu kushuka naona kizungu zungu nakaa pembeni watu wengine wanapita tu bila wasiwasi, na wakati huo huo Mr. wangu tayari alishashuka yuko chini ananisubiri na anafoka kwanini nashindwa kushuka, nikawa nimesimama tu pembeni naangalia watu wanavyoshuka, kila nikijaribu nashindwa nakaa pembeni. Nisaidieni tafadhali.
 
Ndiyo ndo hii hujirudia kama siyo kushindwa kushuka au kupanda mlima, basi inakuwa nashindwa kuvuka kwenye daraja au nashindwa kushuka ngazi

Hilo daraja linapita maji chini yake? Kama ndio basi hiyo sio ndoto nzuri. Sali sana, toa sadaka muombe Mungu akuepushie, huenda ni mikosi au vikwazo katka mambo yako
 
daraja maana yake ni Yesu, mlima ni sehemu salama mahali pa kukimbilia. Kumbuka Lutu aliambiwa aende mlimani ili kusalimisha Kaisha yake, Yesu alisurubishwa mlimani, pia watu huwa wanajenga kwenye mlima sio bondeni. Hivyo mlimani ni sehemu salama.

Maana ya ndoto yako, maisha yako hayajampwndweza Mungu, ndio sababu haufanyi hatua inayoeleweka katika maisha yako. Neno linasema njia ni nyembamba iyendayo uzimani.

Chakufanya, amua kuokoka kwa kumaaniaha, uyakabidhi maisha yako kwa YESU.

Kwahiyo huyo mr wake ana matendo mema?..maana yeye hua anavuka
 
Utakuwa wa mwisho kwa kila jambo baada ya Mr wako kukuacha.
 
habari wana mmu,
nimekuwa nikiota ndoto, nashindwa kupita kwenye daraja nyembamba ya miti au njia za milimani au ngazi. Mfano leo nimeota ngazi, ilikuwa mchana na watu wengi tu wanapita mimi nikiwa na mr. Tulipofika sehemu ya kushuka hizo ngazi sasa ni nyembamba imesimama wima na anapita mtu mmoja mmoja, na akiwa anashuka mtu zinakuwa kama zinacheza cheza. Ilipofika zamu yangu nilipojaribu kushuka nikawa naona kizunguzungu nikashindwa nikaa pembembeni wakati huo mr. Alishashuka yupo chini anagomba kwa nini nashindwa kushuka wakati wengine wanashuka.

Msaada tafadhali.

nzia zipo mbili tu 1. Nyembamba iendayo uzimani nayo ni ya wachache sana ila ina vikwazo vingi kwa waiendayo kwayo 2. Iendayo upotevuni ambayo ni pana na inawatu wengi tena haina vikwazo
 
Back
Top Bottom