Asante sana. Hao ni wawekezaji wa Kenya ambao wameona nafasi ya kuongeza mavuno.....wamekuja kuexpand dogo alafu pia mnataka muwe managers kwa izo kampuni ... Zabure nazo??Hii ni taarifa fupi ya TIC
JANUARI-APRILI 2018, MIRADI MIPYA 109 YAANZISHWA - KITUO CHA UWEKEZAJI TANZANIA (TIC)
"Kati ya miradi mipya 109 , miradi 28 ambayo sawa na 34.86% inamilikiwa na wageni , miradi mitatu ni ya ubia na miradi 68 inamilikiwa na Watanzania"
Geofrey Mwambe, Mkurugenzi Mtendaji TIC
Katika hiyo 34.86% wanaoongoza ni wawekezaji kutoka Kenya sasa najiuliza Kenya kuna tatizo gani mbona wawekezaji wengi wanaikimbia na kuja kuwekeza Tanzania
Je Kenya kuna
Ajira nyingi sana?
Fursa za uwekezaji zimeisha?
Serikali imekinai kodi?
Nini tatizo?
hahaha unakumbuka lakini kuwaAsante sana. Hao ni wawekezaji wa Kenya ambao wameona nafasi ya kuongeza mavuno.....wamekuja kuexpand dogo alafu pia mnataka muwe managers kwa izo kampuni ... Zabure nazo??
Magufuli analiza watuππHii ni taarifa fupi ya TIC
JANUARI-APRILI 2018, MIRADI MIPYA 109 YAANZISHWA - KITUO CHA UWEKEZAJI TANZANIA (TIC)
"Kati ya miradi mipya 109 , miradi 28 ambayo sawa na 34.86% inamilikiwa na wageni , miradi mitatu ni ya ubia na miradi 68 inamilikiwa na Watanzania"
Geofrey Mwambe, Mkurugenzi Mtendaji TIC
Katika hiyo 34.86% wanaoongoza ni wawekezaji kutoka Kenya sasa najiuliza Kenya kuna tatizo gani mbona wawekezaji wengi wanaikimbia na kuja kuwekeza Tanzania
Je Kenya kuna
Ajira nyingi sana?
Fursa za uwekezaji zimeisha?
Serikali imekinai kodi?
Nini tatizo?
That's the condition otherwise kafungue kwenu!Asante sana. Hao ni wawekezaji wa Kenya ambao wameona nafasi ya kuongeza mavuno.....wamekuja kuexpand dogo alafu pia mnataka muwe managers kwa izo kampuni ... Zabure nazo??
Na sio projects tu hadi utalii sisi ndio tunaongoza kuja tz alafu mnafyatua midomo mkituponda ati hatuwezi ishi bila nyinyi,sisi ndio tutawatoa kwenye kundi la LDC Mtuheshimu sana...That's the condition otherwise kafungue kwenu!
hamjalazimishwa shenzy type muende Masai mara na Mombasa instead of Serengeti n Zanzibar.Na sio projects tu hadi utalii sisi ndio tunaongoza kuja tz alafu mnafyatua midomo mkituponda ati hatuwezi ishi bila nyinyi,sisi ndio tutawatoa kwenye kundi la LDC Mtuheshimu sana...
If that is the case; you should focus on Investing in Siria, Somalia and Central Africa before considering Tz...THINK BIG!!!!Simple... More problems more opportunities.
sawa kaka bottas asante kwa povu shikamooNa sio projects tu hadi utalii sisi ndio tunaongoza kuja tz alafu mnafyatua midomo mkituponda ati hatuwezi ishi bila nyinyi,sisi ndio tutawatoa kwenye kundi la LDC Mtuheshimu sana...
Naomba utaje kwenye nimeongea uongosawa kaka bottas asante kwa povu shikamoo
Wewe mwehu kwa vile UK wanainvest Tz inamaanisha UK kuna tatizo? Mibongo nayo haina bongo hata.πππHii ni taarifa fupi ya TIC
JANUARI-APRILI 2018, MIRADI MIPYA 109 YAANZISHWA - KITUO CHA UWEKEZAJI TANZANIA (TIC)
"Kati ya miradi mipya 109 , miradi 28 ambayo sawa na 34.86% inamilikiwa na wageni , miradi mitatu ni ya ubia na miradi 68 inamilikiwa na Watanzania"
Geofrey Mwambe, Mkurugenzi Mtendaji TIC
Katika hiyo 34.86% wanaoongoza ni wawekezaji kutoka Kenya sasa najiuliza Kenya kuna tatizo gani mbona wawekezaji wengi wanaikimbia na kuja kuwekeza Tanzania
Je Kenya kuna
Ajira nyingi sana?
Fursa za uwekezaji zimeisha?
Serikali imekinai kodi?
Nini tatizo?
akili hauna wewe,,,je niwakenya wangapi unaowajua waliofungua kiwanda tz,,,?...acha kujipotoshaWatanzania bado hatuna akili. Wakenya wanakuja fungua viwanda ili wasisumbuliwe border
Usitapikie ile mikono inakulisha chunga ulimiwako pumba wewe.hamjalazimishwa shenzy type muende Masai mara na Mombasa instead of Serengeti n Zanzibar.
Wacha hasira mwenye ameweka data. ni mwenzenuπππakili hauna wewe,,,je niwakenya wangapi unaowajua waliofungua kiwanda tz,,,?...acha kujipotosha
hakuna ukweli uliouongea......mkuu ukweli huja na evidenceNaomba utaje kwenye nimeongea uongo
Fungua iyo link yenye umewekwa hapo juu na mwenko, alafu kulikuwa na na uzi mwingine ulikuwa na data TTB utafute alafu uje tujadili.hakuna ukweli uliouongea......mkuu ukweli huja na evidence