Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,039
- 11,822
hakuna hasira,,,,huyo jamaa karopoka TZ hakuna mkenya mwenye kiwanda na hakuna mkenya yeyote mwenye uwezo wakufungua kiwanda tzWacha hasira mwenye ameweka data. ni mwenzenu😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna hasira,,,,huyo jamaa karopoka TZ hakuna mkenya mwenye kiwanda na hakuna mkenya yeyote mwenye uwezo wakufungua kiwanda tzWacha hasira mwenye ameweka data. ni mwenzenu😀😀😀
nataka real evidence sitaki evidence uchwaraFungua iyo link yenye umewekwa hapo juu na mwenko, alafu kulikuwa na na uzi mwingine ulikuwa na data TTB utafute alafu uje tujadili.
Vipi badala ya kuendeleza kuwekeza kwenu ili mtengeneze ajira, mkusanye kodi ili mpunguze madeni, mnazidi kutuletea ajira huku kwetu, sisi hatuna tatizo la ajira kama kwenu na hatuna madeni kama ninyi, pia sisi hatuwaruhusu kuja kutafuta ajira huku kwetu, hivi ninyi wakenya akili zenu mumezisahau wapi?Na sio projects tu hadi utalii sisi ndio tunaongoza kuja tz alafu mnafyatua midomo mkituponda ati hatuwezi ishi bila nyinyi,sisi ndio tutawatoa kwenye kundi la LDC Mtuheshimu sana...
Hivi wewe umefungua link kweli ama we ndio umekurupuka? Nyingi ya hizo projects ni viwanda alafu real estate na agriculture...... soma article uache aibu ndogo ndogo, alafu na umuombe mwenzako msamahahakuna hasira,,,,huyo jamaa karopoka TZ hakuna mkenya mwenye kiwanda na hakuna mkenya yeyote mwenye uwezo wakufungua kiwanda tz
Tanzania ni shamba la bibi, tumekuja tu kuchuma alafu tukishiba twende zetu wacha bla bla😀😀😀Vipi badala ya kuendeleza kuwekeza kwenu ili mtengeneze ajira, mkusanye kodi ili mpunguze madeni, mnazidi kutuletea ajira huku kwetu, sisi hatuna tatizo la ajira kama kwenu na hatuna madeni kama ninyi, pia sisi hatuwaruhusu kuja kutafuta ajira huku kwetu, hivi ninyi wakenya akili zenu mumezisahau wapi?
nimekuambia hivi tuma evidence na siyo maneno...Hivi wewe umefungua link kweli ama we ndio umekurupuka? Nyingi ya hizo projects ni viwanda alafu real estate na agriculture...... soma article uache aibu ndogo ndogo, alafu na umuombe mwenzako msamaha
Kwaivo data kutoka TIC na TTB ni uchwara? Sasa wewe ningetaka lakini siwezi kukusaidia.nataka real evidence sitaki evidence uchwara
ila hata hivyo siyo mbaya........Mpunga ni wetuKwaivo data kutoka TIC na TTB ni uchwara? Sasa wewe ningetaka lakini siwezi kukusaidia.
Labda kama huna akili, mkija kutalii maana yake mnatengeneza ajira za utalii huku Tanzania, wakati huo utalii wa Kenya unakufa, kwanini hamtumii akili?Tanzania ni shamba la bibi, tumekuja tu kuchuma alafu tukishiba twende zetu wacha bla bla😀😀😀
Of course UK kuna limited investment opportunities all already occupied, expensive labor, bigger capital required, bigger competition, challenging market, strictly laws and regulations and so onWewe mwehu kwa vile UK wanainvest Tz inamaanisha UK kuna tatizo? Mibongo nayo haina bongo hata.😀😀😀
Data Imetoka TIC(tanzania investment centre ) na TTB(tanzania tourist board) ambayo ni mashirika husika huko tanzania😀😀😀nimekuambia hivi tuma evidence na siyo maneno...
Kenya ni kama Germany kwa Tanzania, muacha kubishana ili tuwatoe kwenye LDC upesi upesi😀😀😀Of course UK kuna limited investment opportunities all already occupied, expensive labor, bigger capital required, bigger competition, challenging market, strictly laws and regulations and so on
So Kenya and UK on investment spectrum is like Mars and Jupiter
Of course UK kuna limited investment opportunities all already occupied, expensive labor, bigger capital required, bigger competition, challenging market, strictly laws and regulations and so on
So Kenya and UK on investment spectrum is like Mars and Jupiter
Tanzania wajinga ni wengi believe me, wamekalia maneno tu hivo oppoturnity ni nyingi sana hata hazijatumika....tofaut na kwao kuanzisha mrad au kuwekeza inatakiwa mtu uwaze sana maana sehem nyingi zimekua occupied tofaut na uku watu wengi wanakimbilia kuuza vitumbua na barafu hawanaga malengo makubwa!!...Hii ni taarifa fupi ya TIC
JANUARI-APRILI 2018, MIRADI MIPYA 109 YAANZISHWA - KITUO CHA UWEKEZAJI TANZANIA (TIC)
"Kati ya miradi mipya 109 , miradi 28 ambayo sawa na 34.86% inamilikiwa na wageni , miradi mitatu ni ya ubia na miradi 68 inamilikiwa na Watanzania"
Geofrey Mwambe, Mkurugenzi Mtendaji TIC
Katika hiyo 34.86% wanaoongoza ni wawekezaji kutoka Kenya sasa najiuliza Kenya kuna tatizo gani mbona wawekezaji wengi wanaikimbia na kuja kuwekeza Tanzania
Je Kenya kuna
Ajira nyingi sana?
Fursa za uwekezaji zimeisha?
Serikali imekinai kodi?
Nini tatizo?
Acha kujadili mada za hili jukwaa kama za huko chitchatWatanzania bado hatuna akili. Wakenya wanakuja fungua viwanda ili wasisumbuliwe border
Jibu swali, unajua kwamba mkija kutalii huku mnatengeneza ajira za utalii huku Tanzania wakati huo huo mnaumiza utalii wa Kenya ambao unatoa ajira kwa wakenya wengi sana, sasa hivi Kenya unemployment is the highest in Africa, bado ninyi wenyewe mnakimbia nchi yenu kuja kuleta ajira huku kwetu, akili zenu zikoje ninyi watu?, au ndiyo sababu mpo katika kundi la failed state?Kenya ni kama Germany kwa Tanzania, muacha kubishana ili tuwatoe kwenye LDC upesi upesi😀😀😀
Utalii wa kenya wa ndani unakua kwa kasi mno na mimi siogelei utalii nasema hizo projects zingine kama real-estate.Labda kama huna akili, mkija kutalii maana yake mnatengeneza ajira za utalii huku Tanzania, wakati huo utalii wa Kenya unakufa, kwanini hamtumii akili?
Those characters are for first world countries Kenya is not even approaching as the matter of fact 50% and more are unemployed Kenyans so how expensive labor is in Kenya?Kumbe unauliza swali lenye jibu unalo? You already knew why investors from more developed countries invest in less developed countries na bado unauliza. Thank you for proving your stupidity.😀😀😀😀
Sasa wewe umeanza kupandwa na hisia za kike, sasa kama kila saa naenda kutalii mombasa mbona nisijaribu Zanzibar ama Mauritius siku moja ?wacha kua na akili ya ujamaa wewe😀😀😀Jibu swali, unajua kwamba mkija kutalii huku mnatengeneza ajira za utalii huku Tanzania wakati huo huo mnaumiza utalii wa Kenya ambao unatoa ajira kwa wakenya wengi sana, sasa hivi Kenya unemployment is the highest in Africa, bado ninyi wenyewe mnakimbia nchi yenu kuja kuleta ajira huku kwetu, akili zenu zikoje ninyi watu?, au ndiyo sababu mpo katika kundi la failed state?