Bottas
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 1,817
- 1,142
Weka evidence makampuni yanafunga kenya yakija tanzania alafu yanamilikiwa na watu wa nje na sio wakenya.kama unavo shinda ukiimba hapa .....usipo leta iyo evidence mimi siwezi endelea kujadili utoto na wewe.Hahaha hawa wanafikiri wanaofungua makampuni kutoka Kenya ni wakenya kumbe ni wawekezaji walioanzia kuwekeza Kenya ila sasa hivi wanaikimbia Kenya na kuja kuwekeza Tanzania.
Wanasikitisha sana