Isije ikawa imewekwa injini ye helikopta... Passo ikipaa mbona itakuwa full burudani?? kwakuwa unaweza kutua hata juu ya paa la choo cha uswaziHabari zenu members,
Mimi natumia Toyota Passo,ila hivi karibuni nimegundua ninapobadilisha gia kabla haijanipeleka kwnye gia ninayoitaka mf.kutoka kwenye P arking kwenda kwenye Reverse/na nyinginezo gari yangu imekua inafanya kama kuruka/kushtuka kwa kuruka ndio gia inabadilika,Je hilo ni tatizo gani?
Hata kale ka kwako kanashtukaga??Hujawasha OD wewe kweli?
Au kuna sensa imekufa
Mkuu kalikuwa kanawasha check engine kila mara nikakiuza sa hivi na ingineHata kale ka kwako kanashtukaga??
Hahahahaha....umenitengua mbavu ya kushotoIsije ikawa imewekwa injini ye helikopta... Passo ikipaa mbona itakuwa full burudani?? kwakuwa unaweza kutua hata juu ya paa la choo cha uswazi
Hebu ngoja tuwasububiri wataalam, labda kuna ishu ya kiufundi.
Kuna sensa imekufa hata me nilisumbukaga sana mpaka upate fundi hasa wa kujua shida.. ila me niliamua kuuza tuSasa hyo OD inawaka na kuzimika
Umepanda cheo ukakamata Suzuki Kei au Vitz??Mkuu kalikuwa kanawasha check engine kila mara nikakiuza sa hivi na ingine
Kipasso hakina nguvu wala usiogope sema kantaga mafuta ile inapotaka kupokea achia kidogo konyaga tena haitaruka na baada ya hapo unatembea tuYaani itabidi monday nirudi Garage yaan naogopa kuongez speed maana inaweza paa
Babu nipo kwa mjerumani sasa me nipo speed mbayaUmepanda cheo ukakamata Suzuki Kei au Vitz??
Hahahahahaha mm nilishawahi toka nacho Arusha mpk Babati kw mafut y 20000 tena kwnd n kurudi[emoji23]Najua mkuu, nachangamsha damu tu.
Hicho kigari nakiheshimu sana... dadaangu alishapaa (sorry alikiendesha) toka Dar mpaka Moshi kwa mafuta ya elfu 60 tu.