Nini tatizo la gari kutaka kuruka ukibadilisha gia?

Nini tatizo la gari kutaka kuruka ukibadilisha gia?

Naelewa n over drive...ila nimekwmbia kinawak n kuzima ..ukizima still kinaonesha hvy hbyo na hata ukiwash still the same
nenda tu kwa fund wangu,,, mm yangu pia ilikuwa na mkito kama yako ila haiwash OD ,, bila kuiwasha ,,ila inawasha taa ya ABS nimehangaika na mafund imeshindikana ila kuhusu mkito niliambiwa ni maunting ilikatika zote mbili (sijui kama ndo linaandikwa hivyo)ila tatizo.liliisha ,, ila nyie mnaosema n gia box punguzen masihara jaman gia box n mziki mwingine kwa uchum huu wa sasa
 
Hahahaha my dia nina gari huu mwaka w kumi unaniuliza najua kinapowashiwa???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahahaaahaaaaa sa nifanyaje mana nakuwazia tu kwa usawa huu gar ikianza zingua n mziki mwingine
 
nenda tu kwa fund wangu,,, mm yangu pia ilikuwa na mkito kama yako ila haiwash OD ,, bila kuiwasha ,,ila inawasha taa ya ABS nimehangaika na mafund imeshindikana ila kuhusu mkito niliambiwa ni maunting ilikatika zote mbili (sijui kama ndo linaandikwa hivyo)ila tatizo.liliisha ,, ila nyie mnaosema n gia box punguzen masihara jaman gia box n mziki mwingine kwa uchum huu wa sasa
Thnx....nitakwnd kw fundi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahahaaahaaaaa sa nifanyaje mana nakuwazia tu kwa usawa huu gar ikianza zingua n mziki mwingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asante sana mwaya....we acha n jan hii isiyoisha we acha tu
 
Lumumba resident.
Hapana ndugu,hapa niliandika nikiwa sina upande wowote,ufipa au lumumba,mara nyingine tunenapo ni bora kutanguliza busara pasipo kujali itikadi kama mimi nilivyonena.
 
Hapana ndugu,hapa niliandika nikiwa sina upande wowote,ufipa au lumumba,mara nyingine tunenapo ni bora kutanguliza busara pasipo kujali itikadi kama mimi nilivyonena.
Basi sawa.
 
mkuu hujapata solution tuu ya hiyo passo?? vipi ukiwasha gari taa ya OD haiwaki na kuzima? hai flush?? inakuwa inawaka kama taa ya indicator?? inawaka na kuzima??

maana hapo kuna mawili tatizo la umeme au tatizo la mechanical.
 
Habari zenu members,
Mimi natumia Toyota Passo,ila hivi karibuni nimegundua ninapobadilisha gia kabla haijanipeleka kwnye gia ninayoitaka mf.kutoka kwenye P arking kwenda kwenye Reverse/na nyinginezo gari yangu imekua inafanya kama kuruka/kushtuka kwa kuruka ndio gia inabadilika,Je hilo ni tatizo gani?
Jaribu kupitia huo uzi kuna vitu naona vipo common katika ubovu wa hayo magari

Msaada; Mechanical & Technical Problem(s) za Toyota Passo
 
Isije ikawa imewekwa injini ye helikopta... Passo ikipaa mbona itakuwa full burudani?? kwakuwa unaweza kutua hata juu ya paa la choo cha uswazi

Hebu ngoja tuwasububiri wataalam, labda kuna ishu ya kiufundi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naona dose ya Aspirin imezidi.
 
distance 160 km mafuta ya elf 20 kama lita 10 so consumption ya 16 hongera sana

mzima lakin
Hapa uko kikazi au shughuli binafsi??

Unajau haka kagari kanapendwa sana na wale jamaa zetu... nadhani itakuwa strategy ya kupata taarifa.

We ni jiniaz kama Bill Gate.
 
Hapa uko kikazi au shughuli binafsi??

Unajau haka kagari kanapendwa sana na wale jamaa zetu... nadhani itakuwa strategy ya kupata taarifa.

We ni jiniaz kama Bill Gate.

Ha ha ha ha uko vizur sanaa u can see from far hii ilikua research methodology moja hapa matata sana
Nashukuru majibu sahih nmepata ili kuongezea nyama
 
Flash transmission (G/Box) na ubadilishe filter na ukaguzi wa torque converter lazima ufanyike.
 
Hiyo ni kwa lugha ya kwenu... Tumia kiswahili, lugha ya taifa.
Meza metakelfin ili malaria ipone, asprin inapunguza maumivu kwa muda tu.Halafu baadae ukisoma utaelewa kilichoandikwa ni kwa lugha ya Kiswahili au Kipemba.
 
Isije ikawa imewekwa injini ye helikopta... Passo ikipaa mbona itakuwa full burudani?? kwakuwa unaweza kutua hata juu ya paa la choo cha uswazi

Hebu ngoja tuwasububiri wataalam, labda kuna ishu ya kiufundi.
Mjomba unaumiza mbavu zangu kwa cheko. Umeidharau sana passo
 
Hii kitu mafundi wanaiita kiduku unakuta unapo engage gear inaruka [emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom