Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,968
chaiHahahahahaha mm nilishawahi toka nacho Arusha mpk Babati kw mafut y 20000 tena kwnd n kurudi[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chaiHahahahahaha mm nilishawahi toka nacho Arusha mpk Babati kw mafut y 20000 tena kwnd n kurudi[emoji23]
distance 160 km mafuta ya elf 20 kama lita 10 so consumption ya 16 hongera sanaKweli
Kumbe tunazi over-load! Asante kiongozi.mkuu hizi gari hasa toyota passo zina sumbua sana hasa kutembelea km nyingi yani masafa malefu hazitaki hizi ni spesho kwa kuendea job na visafar vifupi fupi pia service za ujanja hazitaki kabisa
mzima miss u too, ulipotea au ndio ulikua busy na passo yako unaitengeneza?Asant..mzima miss u[emoji7]
haiwez kuwaka na kuzima bali unaiminya mwenyew na kuizima bila kujua mf.mm ya kwangu iko chin kidogo ya unapopangulia gia...so ukiishika bahat mbaya ndo inawakaSasa hyo OD inawaka na kuzimika
ndio wewe huoni hata kwa macho vile kadogo tatizo pia huwa kana wahi kupandisha teperactureKumbe tunazi over-load! Asante kiongozi.
ikiwa OD imewaka yan gar inakuwa nyepes mno,,,, hapo unalazimisha gar ikimbie zaidi na mafuta yanalika zaidiOD maana yake ni Over DriveYaani itabidi monday nirudi Garage yaan naogopa kuongez speed maana inaweza paa
Hahahahah busy na majukumu y hapa na pale
ila kinachoka haraka engine yake haina nguvu hizo sanaaa....Najua mkuu, nachangamsha damu tu.
Hicho kigari nakiheshimu sana... dadaangu alishapaa (sorry alikiendesha) toka Dar mpaka Moshi kwa mafuta ya elfu 60 tu.
unajua inapowashiwa??Sijaiwasha mwenyew inawaka n kuzima nimeshazima still inafany hvyo
Naelewa n over drive...ila nimekwmbia kinawak n kuzima ..ukizima still kinaonesha hvy hbyo na hata ukiwash still the sameikiwa OD imewaka yan gar inakuwa nyepes mno,,,, hapo unalazimisha gar ikimbie zaidi na mafuta yanalika zaidiOD maana yake ni Over Drive
BombardierIsije ikawa imewekwa injini ye helikopta... Passo ikipaa mbona itakuwa full burudani?? kwakuwa unaweza kutua hata juu ya paa la choo cha uswazi
Hebu ngoja tuwasububiri wataalam, labda kuna ishu ya kiufundi.
hahaa lazima tufurahi najua mpaka sasa ushapata ufumbuzi japo pa kuanziaHahahah jf hamuish vituk