tya02
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 850
- 1,061
- Thread starter
- #61
Hahaaa eti nusu mkate hahahaha mm naona n kama Bentley[emoji23][emoji23][emoji23]cjui nimepatia uandish[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo lipo kwenye ENGAGE yaan inachelewa kutoa na kupokea gia,mafundi wanaelewa mwambie Kanusu mkate kangu nakapenda Sana lakini tatizo nihilo tu.watakusaidi bro