Nini tatizo la gari kutaka kuruka ukibadilisha gia?

Nini tatizo la gari kutaka kuruka ukibadilisha gia?

itakuwa gear box ina iti lafu mcheki fundi mara moja huku jf wote wana siasa tu kasolo mimi tu
 
Asante my dia..ila nakipenda sana maana hakil mafuta kabisaaa full bata
una kapenda wapi we sema tu sina hela ya kununua nyingine maana.uki kauza hako pesa.yake.hata sunlg ina bei bado
 
Isije ikawa imewekwa injini ye helikopta... Passo ikipaa mbona itakuwa full burudani?? kwakuwa unaweza kutua hata juu ya paa la choo cha uswazi

Hebu ngoja tuwasububiri wataalam, labda kuna ishu ya kiufundi.

Natamani nikuone unavyoendana na maneno haya!!Nimecheka saana tena kwa sauti kubwaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata ikipaa ww funga mkanda tu halaf usikilizie,,,,,! Mwanaume hasifiwi kula tu.
 
una kapenda wapi we sema tu sina hela ya kununua nyingine maana.uki kauza hako pesa.yake.hata sunlg ina bei bado
Mkuu kusema kweli hamna mtu anayependa paso umasikini tu unatufanya tununue hivi vigari


Jamaa anatuzuga tu hapa
 
Isije ikawa imewekwa injini ye helikopta... Passo ikipaa mbona itakuwa full burudani?? kwakuwa unaweza kutua hata juu ya paa la choo cha uswazi

Hebu ngoja tuwasububiri wataalam, labda kuna ishu ya kiufundi.
Yaani wewe..du!
 
Gari auto clutch itke wapi....ww ndio hujui kbs
kaka mengine mezea tu maana hata mleta mada yeye ndie kachanganya wezake gari ya automatic huwa una change direction tu kwa mfano kutoa kwenye paking P kwenda kwenye drive au D kupeleka kama hivyo R
 
Mkuu kusema kweli hamna mtu anayependa paso umasikini tu unatufanya tununue hivi vigari


Jamaa anatuzuga tu hapa
Ni kweli dada kapiga hatua mimi hata baiskeli sina ila sisi wabongo hatujui matumizi ya haya magari ya kijapani haya hataki tabu wala kukatembelea km nyingi na hizi barara zetu za mashimo lazima kawahi kufa na pia service za ujanja zina changia pia
 
Tatizo lipo kwenye ENGAGE yaan inachelewa kutoa na kupokea gia,mafundi wanaelewa mwambie Kanusu mkate kangu nakapenda Sana lakini tatizo nihilo tu.watakusaidi bro
 
xng hua,Hajakosea auto brek inasimama kama cluch,sababu kabla ya kuondoka unakanyaga brek ndio gia inaingia na pia unapotaka kusimama unakanyaga brek gia zinajipangua na kujipanga,sidhan kama amekosea kwauelewa wangu
 
Habari zenu members,
Mimi natumia Toyota Passo,ila hivi karibuni nimegundua ninapobadilisha gia kabla haijanipeleka kwnye gia ninayoitaka mf.kutoka kwenye P arking kwenda kwenye Reverse/na nyinginezo gari yangu imekua inafanya kama kuruka/kushtuka kwa kuruka ndio gia inabadilika,Je hilo ni tatizo gani?
Peleka kwa fundi akuchekia sensor ya gear box sometimes kuna waya zikikatika zinaleta shida hiyo ya gear box kustuka pindi unapobadilisha gia
 
Back
Top Bottom