Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Kwenye kukubali na kukataa niKwenye kukubali na kukataa Ni
Ndiyo boss
Au siyo
Usipoweka Y unakuwa unakosea
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio na Sio. Mfano:
Swali: Ndio huyu mtu mwenyewe?
Hapana sio huyo
Ndio huyo
Ndiyo na siyo hutumika kwa vitu. Mfano
Swali: Hii ndiyo shati uliyokuwa unaitafuta?
Ndiyo hiyo
Siyo hiyo
Ijapokuwa utaona kuna mfanano kwenye matamshi ila utofauti upo kwenye maandishi.
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹ [emoji377]