Nini unaweza fanya na pesa zilizotumika nunulia mtandao wa Twita takriban Trilioni 102 Tsh?

Akili yako finyu mbususu ilikuwa mfano wa pili ila bichwa lako ndo linawaza ngono ndo Maana umeona Kama mbususu Ni ya kwanza
Cheki ulivyo mpuuzi.

Unatia aibu ukoo wako.
 
Kuwa angel investor katika startups za Tanzania kwani vijana wengi wanastartups na idea zao zinazokosa financial aid na kuishia mitini ijapokuwa zina faida kubwa
 
Mifumo yao inawawezesha wao kutajirika, hasa kwa wale wanaojibiidisha.
Ukizaliwa afrika tu, jua utatumia nguvu nyingi sana ili uweze kutajirika.
 
Mkuu, mbona unapangia bajeti ela ya mtu binafsi?
 
Pale Kimboka Bar, Buguruni kwa mara ya mwisho bao lilikuwa Tsh 3,000/= taslimu kwa bei elekezi. Member mmoja ajitolee kupiga mahesabu idadi ya mabao ya Tsh 3000.
 
Nadhani JF nzima tukae kimya dakika moja kukuombea akili kubwa kama wewe kuzaliwa nchi ya Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…