Nasikia mganga wa Mayele Yuko 6 ft under,so inabidi apewe likizo aende Kinshasa kuupdate mzigo!Kosa ni Mayele, Morson na Kisinda,
Mayele pale kuna tatizo tena sio dogo... Inawezekana kabisa kuna jambo linaendelea kwa Mayele... Yanga wasipoliweka sawa tatizo ni kubwa... Mayele hachezi kwa Morali... Morrison hana uthubutu wowote ni kama vile pandikizi na ujinga mwingi... Kisinda ni kopo hili haina hata haja ya kujadili inaeleweka...
Hatutoboi
Umemaliza kila kituuuuuuuuuuu!!!!!Makosa siyo ya leo.Makosa yametengenezwa ili kuuficha uhalisia wa timu.
Kosa la kwanza bahasha kwa waamuzi
Kosa la pili bahasha kwa wachezaji wa timu pinzani. Kosa la tatu bahasha kwa wachambuzi wa mchongo.
Kosa la nne kutoiheshimu Simba
Kosa la tano kutafuta sifa za kijinga unbeaten ya mchongo.
Kosa la sita kufanya mazoezi ya kushangilia badala ya mazoezi ya jinsi ya kufunga
Kosa la saba,kuajiri wachawi wote Tanzania na kuwapa kadi za utopolo ili muifunge Simba.
Msiporekebisha hayo,mashindano ya kimataifa waachieni wengine kama vike Simba na Namungo
Nani huyo anadai?Mmalizieni Malipo yake ya Usajiri.
Bado anadai.
Mkimlipa atafunga magoli ya kutosha huko Tunisia.
Na kuwaingiza Shirikisho
Feitoto na Farid Mussa ni ma husler sana wakiwa uwanjani. Katika list walikuwa watatu ila saizi huyu watatu sijamuweka kutokana na mfululizo mbovu aliokuwa nao Djuma ShabanYanga kama anatakiwa afanikiwe kimataifa afanye yafuatayo-
Kikosi kizima fukuzeni abaki Fei Toto pekee
- Atafute namba tisa wa uhakika, aachane na Mayele, Mayele kimataifa Ni kopo kabisa, yaani hamna kitu pale
- Morisson tupa nje
- Kocha piga chini
- Muache kununua mechi za ndani, maana huwa mnashindwa kujua madhaifu yenu, mfano game na Geita mlikuwa mnapoteza, lakini nguvu ya pesa ikaficha madhaifu yenu
Haya sasa ndio malengo yenu ambayo mnaweza kuya achieve kirahisiSimba ni sawa na pombe ya ngomani tu, Yanga wanajichotea tu.
Mechi ya jana Yanga wamepata freekick almost 10, na freekick zote kapiga Aziz KiAziz Ki mbinafsi, hatulii uwanjani, piga chini, Djuma Shabani anajipigia tu, piga chini
🙌🙌😂😂😂😂 mkuu umewaza nini?Kwa mechi za nje Bahasha apewe mtu sahihi na ifike mda muafaka
mi sio Uto bana minajadili mada kama ilivyoletwa na mleta post.Kisinda huyu huyu mnaemuita mpima umri mara hiyo leo kawa sio mchezaji[emoji2]
Aaaaaa uto eeee[emoji2][emoji2]
Mkuu sijawahi kuwa topolo. Nilijibu jinsi wanavojiliwaza. kama wanavojiliwaka hakuna kikombe cha kuingia makundi au kucheza robo fainali. Huku wakisahau kwamba hakuna kikombe cha kuwa unbeaten hahahaNa hapa ndo mnapofeli,,, we hujui tu hizo unbeaten kuna nguvu kubwa za bahasha zinatumika,
Mbona huku hamfiki mbali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwiiiiihmi sio Uto bana minajadili mada kama ilivyoletwa na mleta post.
mwanauto yupi anaeweza kusema ukweli kama huu nilioisema?,wao ni oyaoya tu awajui lolote.
Na hapa ndipo kwenye tatizo kubwa! Mfano kama ningekuwa mimi ndiyo kocha; kwenye ile mechi ya jana, na hata zile mbili na Al Hilal, ningeanza na viungo wachezeshaji wote muhimu!Kocha hana mbinu mpya.. Ni rahisi mpinzani kumsoma na kumdhibiti kwakua habadiliki,..
Sorry mkuu kwa kukufananisha na wale jamaami sio Uto bana minajadili mada kama ilivyoletwa na mleta post.
mwanauto yupi anaeweza kusema ukweli kama huu nilioisema?,wao ni oyaoya tu awajui lolote.
Dah sorry mkuu kwa kukufananisha na wale jamaaMkuu sijawahi kuwa topolo. Nilijibu jinsi wanavojiliwaza. kama wanavojiliwaka hakuna kikombe cha kuingia makundi au kucheza robo fainali. Huku wakisahau kwamba hakuna kikombe cha kuwa unbeaten hahaha
Nabi aione hii na aijaribu kwenye mechi ya mkondo wa pili tuone matokeo yakeNa hapa ndipo kwenye tatizo kubwa! Mfano kama ningekuwa mimi ndiyo kocha; kwenye ile mechi ya jana, na hata zile mbili na Al Hilal, ningeanza na viungo wachezeshaji wote muhimu!
Mfano Bangala, Sure Boy, Feisal, na Azizi Kii. Halafu viungo washambuliaji wa pembeni kama Morrison na Moloko, wangeanzia nje! Kimsingi timu ina wachezaji wengi wazuri! Changamoto ni namna wanavyopangwa uwanjani.
Kwa kikosi kama hiki, Yanga haiwezi kusumbuliwa na Waarab kamwe; 1. Diarra 2. Juma Shabani 3. Kibwana Shomari, 4. Dickson Job 5. Bangala 6. Aucho 7. Aziz Kii 8. Sure Boy, 9. Mayele, 10. Fei Toto, 11. Farid Mussa!!
Hana consistency au huenda job description aliyopewa aliambiwa ni kuikamia simba tu mengine hayamuhusuMechi ya jana Yanga wamepata freekick almost 10, na freekick zote kapiga Aziz Ki
Hakuna hata moja aliyongongesha hata mwamba
Kuwa mkweli unakumbuka game ya geita na simba ambapo mpole alifunga goli la kusawazisha dakika ya 85 halafu mwamuzi akalikataa kudai kuwa alimchezea madhambi kapombe?Yanga kama anatakiwa afanikiwe kimataifa afanye yafuatayo-
Kikosi kizima fukuzeni abaki Fei Toto pekee
- Atafute namba tisa wa uhakika, aachane na Mayele, Mayele kimataifa Ni kopo kabisa, yaani hamna kitu pale
- Morisson tupa nje
- Kocha piga chini
- Muache kununua mechi za ndani, maana huwa mnashindwa kujua madhaifu yenu, mfano game na Geita mlikuwa mnapoteza, lakini nguvu ya pesa ikaficha madhaifu yenu
kuwazoesha wachezaji bahasha kwenye mechi za simba pekee ndiyo tatizo...Huu uzi ni maalumu kwa ajili ya kuangalia makosa mbalimbali kama wapi benchi la ufundi lilikosea aidha katika selection ya wachezaji walioanza, au sub au makosa ya wachezaji wenyewe ndani ya uwanja kipi hawakutimiza.
Na ipi iwe way forward kwa ajili ya mechi ya mkondo wa pili.
Wee Ni shabiki wa kolo na mayele Ana kukera SanaYanga kama anatakiwa afanikiwe kimataifa afanye yafuatayo-
Kikosi kizima fukuzeni abaki Fei Toto pekee
- Atafute namba tisa wa uhakika, aachane na Mayele, Mayele kimataifa Ni kopo kabisa, yaani hamna kitu pale
- Morisson tupa nje
- Kocha piga chini
- Muache kununua mechi za ndani, maana huwa mnashindwa kujua madhaifu yenu, mfano game na Geita mlikuwa mnapoteza, lakini nguvu ya pesa ikaficha madhaifu yenu