Nini yalikuwa makosa katika Mechi ya Leo kwa Yanga dhidi ya Club Africaine?

Nini yalikuwa makosa katika Mechi ya Leo kwa Yanga dhidi ya Club Africaine?

3 Angels message

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2017
Posts
5,350
Reaction score
15,426
Huu uzi ni maalumu kwa ajili ya kuangalia makosa mbalimbali kama wapi benchi la ufundi lilikosea aidha katika selection ya wachezaji walioanza, au sub au makosa ya wachezaji wenyewe ndani ya uwanja kipi hawakutimiza.

Na ipi iwe way forward kwa ajili ya mechi ya mkondo wa pili.
 
Yanga kama anatakiwa afanikiwe kimataifa afanye yafuatayo-
  • Atafute namba tisa wa uhakika, aachane na Mayele, Mayele kimataifa Ni kopo kabisa, yaani hamna kitu pale
  • Morisson tupa nje
  • Kocha piga chini
  • Muache kununua mechi za ndani, maana huwa mnashindwa kujua madhaifu yenu, mfano game na Geita mlikuwa mnapoteza, lakini nguvu ya pesa ikaficha madhaifu yenu
Kikosi kizima fukuzeni abaki Fei Toto pekee
 
Makosa siyo ya leo.Makosa yametengenezwa ili kuuficha uhalisia wa timu.

Kosa la kwanza bahasha kwa waamuzi
Kosa la pili bahasha kwa wachezaji wa timu pinzani. Kosa la tatu bahasha kwa wachambuzi wa mchongo.

Kosa la nne kutoiheshimu Simba
Kosa la tano kutafuta sifa za kijinga unbeaten ya mchongo.

Kosa la sita kufanya mazoezi ya kushangilia badala ya mazoezi ya jinsi ya kufunga
Kosa la saba,kuajiri wachawi wote Tanzania na kuwapa kadi za utopolo ili muifunge Simba.

Msiporekebisha hayo,mashindano ya kimataifa waachieni wengine kama vike Simba na Namungo
 
Makosa siyo ya leo.Makosa yametengenezwa ili kuuficha uhalisia wa timu.

Kosa la kwanza bahasha kwa waamuzi
Kosa la pili bahasha kwa wachezaji wa timu pinzani
Kosa la tatu bahasha kwa wachambuzi wa mchongo
Kosa la nne kutoiheshimu Simba
Kosa la tano kutafuta sifa za kijinga unbeaten ya mchongo
Kosa la sita kufanya mazoezi ya kushangilia badala ya mazoezi ya jinsi ya kufunga
Kosa la saba,kuajiri wachawi wote Tanzania na kuwapa kadi za utopolo ili muifunge Simba.

Msiporekebisha hayo,mashindano ya kimataifa waachieni wengine kama vike Simba na Namungo
Simba ni sawa na pombe ya ngomani tu, Yanga wanajichotea tu.
 
Makosa siyo ya leo.Makosa yametengenezwa ili kuuficha uhalisia wa timu.

Kosa la kwanza bahasha kwa waamuzi
Kosa la pili bahasha kwa wachezaji wa timu pinzani
Kosa la tatu bahasha kwa wachambuzi wa mchongo
Kosa la nne kutoiheshimu Simba
Kosa la tano kutafuta sifa za kijinga unbeaten ya mchongo
Kosa la sita kufanya mazoezi ya kushangilia badala ya mazoezi ya jinsi ya kufunga
Kosa la saba,kuajiri wachawi wote Tanzania na kuwapa kadi za utopolo ili muifunge Simba.

Msiporekebisha hayo,mashindano ya kimataifa waachieni wengine kama vike Simba na Namungo
Ha ha mkuu asante kwa mchango ila punguza jazba tunahitaji kuwasaidia wenzetu kama waziri mchengerwa alivyoomba
 
Kosa ni Mayele, Morson na Kisinda,
Mayele pale kuna tatizo tena sio dogo... Inawezekana kabisa kuna jambo linaendelea kwa Mayele... Yanga wasipoliweka sawa tatizo ni kubwa... Mayele hachezi kwa Morali... Morrison hana uthubutu wowote ni kama vile pandikizi na ujinga mwingi... Kisinda ni kopo hili haina hata haja ya kujadili inaeleweka...
Hatutoboi
 
Yanga kama anatakiwa afanikiwe kimataifa afanye yafuatayo:
•✓Atafute namba tisa wa uhakika, aachane na Mayele, Mayele kimataifa Ni kopo kabisa, yaani hamna kitu pale
•√Morisson tupa nje
•√Kocha piga chini
•√Muache kununua mechi za ndani, maana huwa mnashindwa kujua madhaifu yenu, mfano game na Geita mlikuwa mnapoteza, lakini nguvu ya pesa ikaficha madhaifu yenu
•√Kikosi kizima fukuzeni abaki Fei Toto pekee
Vipi Bangala mkuu?
 
Huu uzi ni maalumu kwa ajili ya kuangalia makosa mbalimbali kama wapi benchi la ufundi lilikosea aidha katika selection ya wachezaji walioanza, au sub au makosa ya wachezaji wenyewe ndani ya uwanja kipi hawakutimiza

Na ipi iwe way forward kwa ajili ya mechi ya mkondo wa pili
hakuna makosa huo ni mpira bro
 
Mwiko mwiko mwiko
Huu uzi ni maalumu kwa ajili ya kuangalia makosa mbalimbali kama wapi benchi la ufundi lilikosea aidha katika selection ya wachezaji walioanza, au sub au makosa ya wachezaji wenyewe ndani ya uwanja kipi hawakutimiza

Na ipi iwe way forward kwa ajili ya mechi ya mkondo wa pili
 
Back
Top Bottom